Youssouph Dabo apewa “THANK YOU”

Baada ya majadiliano makali kwenye kikao cha dharura, bodi ya Azam FC imefikia maamuzi ya kuliondoa benchi lote la ufundi chini ya kocha Yousouph Dabo. Muda wowote kuanzia sasa taarifa rasmi itatoka na kinachosubiriwa niĀ  kumalizika kwa taratibu za kimikataba ili kila upande upate kinachostahili. Dabo ataondoka na wasaidizi wake watano ambao ni kocha msaidizi…

Read More

Fadlu: Leonel Ateba gari limewaka

KAMA ulikuwa unajiuliza maswali kuhusu kutokuonekana uwanjani kwa mshambuliaji mpya wa Simba Leonel Ateba basi majibu yamepatikana,baada ya kocha wake Fadlu Davids kusisitiza kuwa alikuwa jikoni sasa ameiva. Mcameroon (25) huyo mwenye uwezo wa kucheza kama winga wa kushoto na kulia na mwenye sifa ya kuwa mchezaji wa kipekee mwenye uwezo wa kushambulia kutoka pande…

Read More

Dora wa Jua Kali yeye na Pacome tu!

MSANII nyota wa filamu nchini anayetamba kwenye tamthilia ya Jua Kali, Wanswekula Zacharia ‘Dora’ humwambii kitu kuhusiana na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua anayemkosha kutokana na aina yake ya uchezaji uwanjani. Dora akijibu swali aliloulizwa na Mwanaspoti wakati akiwa live katika mtandao wa TikTok juu ya mchezaji gani Tanzania anakubali uchezaji wake, ndipo alipomtaja…

Read More

Kwa Simba hii kuna jambo! wapo kila kona

LIGI Kuu Bara imesimama hadi Septemba 11, huku zikishuhudiwa mechi 13 zikipigwa na kufungwa jumla ya mabao 22, ilihali Simba ikitawala kila kona, japo timu sita zimesaliwa na viporo vya mechi moja moja kukamilisha michezo ya raundi ya pili ya ligi hiyo. Ligi hiyo inasimama ikiwa raundi ya pili ili kupisha mechi za kimataifa kwa…

Read More

Mastaa JKT Tanzania waanza upya

WACHEZAJI wa JKT Tanzania baada ya kupata suluhu mechi ya kwanza dhidi ya Azam FC iliyopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, wamejua kipi wakifanye ili waanze kuvuna pointi tatu michezo ijayo. Nahodha wa timu hiyo, Edward Songo alisema haikuwa kazi rahisi katika mechi hiyo, kwani kila timu ilipania kuanza na ushindi, hivyo michezo iliyopo mbele…

Read More

Goran Kopunovic apewa tatu Pamba

MWENYEKITI wa Pamba Jiji, Bhiku Kotecha amesema bado wana imani kubwa na benchi la ufundi na wachezaji na hawawezi kukurupuka kufanya mabadiliko ya haraka kwa kuzingatia matokeo ya mechi mbili za Ligi Kuu, huku akiahidi mambo mazuri. Pamba inakamata nafasi ya sita katika Ligi Kuu ikiwa na alama mbili baada ya kutoka suluhu dhidi ya…

Read More

Mashabiki Wydad wamvaa Mzize | Mwanaspoti

Wakati mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize akiendelea kuhusishwa na klabu ya Wydad, mashabiki wa timu hiyo wamevamia kwenye ukurasa wake wa Instagram wakimkaribisha kwenye timu yao. Baada ya Mzize kufunga bao kali la pili jana kwenye mechi ya kwanza ya ligi, Yanga ikishida kwa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar akaweka chapisho akiandika maneno “Kesho…

Read More

Straika Ken Gold atafunga sana

ACHANA na matokeo iliyoanza nayo Ken Gold, straika wa timu hiyo, Joshua Ibrahim amesema bao aliloanza nalo katika Ligi Kuu wakati timu hiyo ikifumuliwa 3-1 na Singida Black Stars limemuongeza nguvu kikosini na kutamba ataendelea kumfunga yeyote kadri msimu utakavyosonga mbele. Ibrahim aliyewahi kukipiga Tusker ya Kenya alifunga bao hilo katika mechi ya kufungulia msimu…

Read More

Zahera, Namungo lolote linaweza kutokea

NAMUNGO imepoteza mechi ya pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kufungwa mabao 2-0 na Fountain Gate na ghafla Mtendaji Mkuu, Omar Kaya akatangaza kuachia ngazi na uongozi wa juu kuridhia. Lakini, kwa sasa lolote linaweza kutokea kwa kocha mkuu, Mwinyi Zahera. Namungo ilikumbana na kipigo hicho juzi usiku kwenye Uwanja wa…

Read More