Magoma, Yanga walivyochuana mahakamani Dar

Hatma ya uhalali wa rufaa ya klabu ya Yanga, sasa itajulikana Septemba 9, mwaka huu wakati Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi wa pingamizi dhidi ya rufaa hiyo. Rufaa hiyo imefunguliwa na Juma Ally Magoma na mwenzake Geoffrey Mwaipopo, wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam, Kisutu…

Read More

Jinsi mawakili wa kina Magoma, Yanga walivyochuana

Akifafanua hoja ya kwanza, wakili Rashid  (wa Yanga) amedai kuwa uamuzi ambao kina Magoma wameukatia rufaa ni uamuzi mdogo ambao kwa mujibu kifungu cha 74 (2) cha Sheria ya Mashauri ya Madai (CPC), Sura 33, haukatiwi rufaa. Huku akirejea uamuzi wa kesi moja iliyowahi kuamuriwa na aliyekuwa Jaji Mkuu, Francis Nyalali, Wakili Rashid  kwa kuwa…

Read More

Mbivu mbichi rufaa ya Magoma,Yanga Sept 9

Hatma ya uhalali wa rufaa ya klabu ya Yanga, sasa itajulikana Septemba 9, mwaka huu wakati Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi wa pingamizi dhidi ya rufaa hiyo. Rufaa hiyo imefunguliwa na Juma Ally Magoma na mwenzake Geoffrey Mwaipopo, wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam, Kisutu…

Read More

Mashaka afichua ramani vita Simba, amtaja Fadlu

KINARA wa mabao wa Ligi Kuu na klabu ya Simba, Valentino Mashaka, amefichua siri ya kuanza na moto Msimbazi, akisema hii imetokana na kocha wa timu hiyo, Davids Fadlu anayemtaka kujiongeza uwanjani kwa kukaba pindi hawamiliki mpira, jambo ambalo amekuwa akilifanyia kazi mara kwa mara. Mashaka aliyetua Simba akitokea Geita Gold iliyoshuka daraja msimu uliopita,…

Read More

Tulieni, Mtibwa Sugar inarudi Ligi Kuu Bara

LICHA ya kukiri ugumu uliopo katika ligi ya Championship, kiungo wa Mtibwa Sugar, Abdul Hilary amechimba mkwara kwa kusema hakuna timu ambayo inaweza kuwafanya kuwa na presha juu ya mpango wao wa kurejea Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026. Mtibwa iliyowahi kutwaa ubingwa wa Bara misimu miwili mfululizo ya 1999 na 2000 ilishuka daraja msimu…

Read More

BSM, safari ya mafanikio, urithi usiofutika MCL

Bakari Steven Machumu (BSM) ameaga MCL akiwa na urithi mkubwa katika uongozi, uandishi wa habari, na ubunifu.Naam. Rafiki yangu na mwanahabari mwenzangu, Bakari Steven Machumu ambaye anapenda kulifupisha jina lake kwa herufi tatu – BSM, amemaliza safari ya kutukuka kitaaluma, kihabari na kiuongozi katika kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL). Bakari au BSM kama ninavyopenda…

Read More

CEO Namungo abwaga manyanga | Mwanaspoti

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Namungo FC, Omar Kaya ametangaza kujiuzulu wadhifa huo. Kaya ambaye amewahi kuwa katibu mkuu wa Yanga, amethibitisha uamuzi huo kupitia ukurasa wake wa Instagram. “Mimi Omar Kaya siku ya leo Agosti 30, 2024 nimewasilisha kwa viongozi barua ya kujiuzulu nafasi ya Utendaji Mkuu wa Klabu ya NamungoFC. “Hivyo…

Read More

Machumu: Ukuaji MCL utategemea misingi yake kuendelezwa

Dar es Salaam. Ukiihesabu miaka minne kwa umri wa binadamu, basi ni mtoto anayemudu kutembea, anakimbia na sasa anatamka karibu kila neno. Hicho ndicho kipindi ambacho Bakari Machumu amehudumu nafasi ya mkurugenzi mtendaji katika miaka yake 20 aliyofanya kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL). Machumu amekuwa kwenye nafasi hiyo ya juu tangu Aprili…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: David Ouma hatimaye kimemkuta Coastal

WIKI kadhaa zilizopita niliandika hapa kuwa kuna mpango wa Coastal Union kuachana na kocha David Ouma kutoka Kenya kwa kile kilichotajwa kuwa uongozi hauridhishwi na namna anavyolisimamia benchi la ufundi la timu hiyo. Na katika hilo andiko nilishauri Coastal isifanye hivyo kwa kocha huyo kwa vile ingejiweka katika uwezekano wa kutofanya vizuri kwenye Kombe la…

Read More

Dabo aingiwa ubaridi Azam | Mwanaspoti

KOCHA mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema anajua kila kinachoendelea kwa sasa juu ya hatma yake klabuni hapo, lakini hana hofu na kutemeshwa kibarua kutokana na matokeo mabaya iliyopata timu hiyo hivi karibuni na hasa baada ya kuondoshwa katika hatua ya awali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kauli ya Dabo inajiri baada…

Read More