Taifa yaimba na Mbosso | Mwanaspoti

Ni burudani tu ndani ya Uwanja wa Mkapa katika Simba Day, ambapo mashabiki wa Simba wameimba pamoja na msanii Mbosso. Mbosso ambaye ameanza kwa kuimba wimbo wake mpya wa Selemani kabla ya kuimba vigongo vyake kadhaa amewateka zaidi mashabiki kwa kuimba nao ‘live’ wimbo wake wa ‘Haijakaa sawa’ ambao aliutoa wakati yupo chini ya lebo ya…

Read More

Baba’ke Kamwe ndani kwa Mkapa Simba Day

BABA mzazi wa Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe yupo kwa Mkapa akishuhudia kilele cha wiki ya Simba Day. Mzee Shaaban Kamwe ambaye amekuwa akitangaza kuwa ni shabiki wa Simba ameingia uwanjani akikaa jukwaa la VIP. Mzazi huyo wa msemaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara ameingia uwanjani tangu saa 10:00 jioni akiwa na mtoto…

Read More

Chino aingia na staili ya zombi 

MSANII wa Bongo Fleva na dansa maarufu, Chino Wanaman ndiye msanii wa kwanza kuburudisha kilele cha wiki ya Simba Day akiingia na staili ya zombi. Leo ni kilele cha Simba Day ambacho baadaye kitahitimishwa na burudani ya soka, Simba ikiialika Gor Mahia kutoka Kenya. Msanii huyo ameingia kusherehesha kwa Mkapa akiongozana na msanii wa singeli,…

Read More

Dakika 10 za Joh Makini Simba Day

Msanii wa Hip Hop, John Simon Mseke maarufu Joh Makini amepiga shoo iliyoamsha shangwe kubwa kwaa mashabiki ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa akitumia takriban dakika 10. Joh Makini anayetambulika pia kwa jina la Mwamba wa Kaskazini, amepiga shoo hiyo katika Tamasha la Simba Day linalofanyika leo Septemba 10, 2025. Shoo ya Joh Makini ilianza…

Read More

Biashara ya chakula yatawala kwa Mkapa

ACHANA na mauzo ya jezi, biashara inayoonekana kuuzika kwa kiasi kikubwa ni vyakula mbalimbali. Ukiwatoa wale wanaouza kwenye mabanda hatua chache kidogo na Uwanja wa Mkapa, kuna walioweka meza pembezoni mwa uwanja huo uliowekewa uzuo. Kila aina ya chakula unayoijua ipo kwa Mkapa siyo chipsi na vitu vingine wala wali na ugali zipo sambusa zile…

Read More

Hakuna ‘Mungu kama wewe’ yapigwa kwa Mkapa

TAYARI kumeanza kuchangamka katika Uuwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam ambako Simba ina jambo lake leo kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day ikiwa ni sehemu ya kusheherekea miaka 89 ya klabu hiyo. Achana na mechi za awali ambazo zimechezwa, burudani zimeanza kuchukua nafasi yake hasa kuanzia saa 10:00 jioni. Ilianza kupigwa ngoma moja…

Read More

Kwa Mkapa kunanoga | Mwanaspoti

TAMASHA la Simba Day linaendelea kupamba moto Benjamin Mkapa ambako idadi kubwa ya mashabiki tayari imeshaingia kiwanjani huku kukiwa na sehemu chache za majukwaa ambazo watu hawajakaa bado. Licha ya sehemu hizo chache za majukwaa ambazo hazina  mashabiki, nje kuna idadi kubwa ya mashabiki ambao wanaendelea kuingia. Idadi kubwa ya mashabiki waliopo ndani imeonekana kuwa…

Read More