Camara aomba radhi mashabiki Guinea

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Guinea, Ismael Camara amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kufuatia sare ya kufungana bao 1-1 na Algeria iliyowaondoa kwenye nafasi ya kuwania kufuzu robo fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Guinea chini ya kocha Souleymane Kamara ilitangulia kupata bao kupitia kwa Camara dakika…

Read More

El Mami Tetah : Stars ilituumiza kichwa

MSHAMBULIAJI wa Mauritania, El Mami Tetah amefichua kwamba licha ya kupoteza mbele ya Taifa Stars katika mechi ya kundi B, mshikamano wa kikosi chao umewawezesha kumaliza makundi wakiwa na pointi saba. Mauritania ilipoteza mechi moja, ikitoa sare moja na kushinda mbili – matokeo ambayo yameifanya ishike nafasi ya pili kwenye msimamo kabla ya mechi za…

Read More

Kassali aibuka shujaa Niger ikitolewa CHAN 2024

KIPA wa timu ya taifa ya Niger, Mahamadou Kassali amesema walipaswa kushinda dhidi ya Afrika Kusini mechi ya Kundi C kwani walipata nafasi tatu za kufunga lakini walikosa kuzitumia. Mchezo huo uliopigwa Ijumaa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela na kumalizika kwa sare tasa umeiondoa Niger kwenye mbio za kufuzu robo fainali baada ya kukusanya pointi…

Read More

Karia: Hatuendi kulipa kisasi | Mwanaspoti

Muda mfupi baada ya kuchaguliwa kwa kishindo kuendelea kuliongoza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), rais Wallace Karia amesema hawana muda wa kulipa kisasi. Karia akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufunga mkutano wa uchaguzi huo ambao umefanyika katika Hoteli ya Tanga Resort mjini humo amesema licha ya uongozi wake kupitia nyakati ngumu, lakini hawatalipa…

Read More

Mahakama yakataa shauri la mwanahabari aliyeutaka urais TFF

Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo, Jumamosi, Agosti 4, 2025 imekataa kusikiliza shauri lingine lililokuwa limefunguliwa dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kuhusiana na uchaguzi wake mkuu. Uchaguzi Mkuu wa TFF umefanyika leo Jumamosi, Agosti 16, 2025, jijini Tanga, ambapo Wallace Karia amechaguliwa tena kuwa rais wa TFF kwa muhula…

Read More

CHAN 2024: Afrika Kusini yalia na VAR

TIMU ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ imebidi kusubiri mechi za mwisho za kundi C baada kutoka suluhu dhidi ya Niger huku ikilalamikia VAR mara mbili. Huko Afrika Kusini kwa sasa mjadala ni namna ambavyo teknolojia hiyo ilivyowatibulia ushindi wa pili – matokeo ambayo yameifanya kuwa na pointi tano sawa wa Algeria inayoshika nafasi…

Read More

FIFA yaipigia chapuo Mnyanjani soka la vijana

RAIS wa TFF Wallace Karia amesema Uwanja wa Kituo cha Ufundi cha TFF, uliopo Mnyanjani jijini Tanga, umeteuliwa na FIFA kwa lengo la kukuza vipaji vya soka la vijana. Akizungumza katika hotuba yake baada ya kuidhinishwa na wajumbe wa mkutano mkuu, Karia amesema FIFA imetoa nafasi hiyo kutokana na kuridhishwa na maendeleo yaliyopo. “Kwa furaha…

Read More

Mjumbe FIFA ampongeza Karia | Mwanaspoti

Mjumbe wa Baraza la Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Souleyman Waberi, amempongeza rais mteule wa TFF, Wallace Karia huku akiahidi kumpa ushirikiano mkubwa katika utawala wake madarakani. Waberi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Djibouti, ametoa salama hizo katika mkutano mkuu wa TFF, unaofanyika leo jijini Tanga. Akizungumza baada…

Read More

Karia: Chuma kimepita kwenye moto

Rais mteule wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF Wallace Karia amewashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi, kwa imani yao kwake. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo uliofanyika jijini Tanga na kushinda kwa kishindo amesema haikuwa rahisi kwa mchakato huo wa uchaguzi. Karia amewataka wajumbe wa mkutano huo wasiumie na lolote kwani hatua…

Read More

Nyamlani apeta tena TFF akiteuliwa Umakamu wa Rais

Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Athuman Nyamlani amebaki katika nafasi yake baada ya kuteuliwa tena kuendelea na nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Rais anapatikana kwa kuteuliwa na Rais ambapo Karia ametumia fursa hiyo kumteua Nyamlani. “Nimepokea uteuzi…

Read More