SIMULIZI YA HADITHI: Machozi ya mshumaa – 2

ZAWADI alijikuta akishangaa busara za yule mwanaume aliyeonekana mwenye busara na huruma. Japo hakupenda kuyakumbuka alichofanyiwa na mpenzi wake ambayo huufanya moyo uvuje damu kwa ndani. Hakuwa na jinsi zaidi ya kumhadithia  mkasa mzima uliosababisha kuvunjika penzi lake na mchumba wake aliyebakisha siku chache afunge ndoa. Zawadi baada ya kunywa funda chache za maji alishusha…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 1)

KIJIJI cha Mbwira, kilikuwa mbali na mjini.  Inawezekana ndio sababu ya maendeleo yake kuchelewa ikilinganishwa na vijiji vingine vinavyopakana navyo ambayo sasa vimeshakuwa miji. kwa sababu hata wananchi waliokwenda kuishi au kufanya kazi huko, walikuwa wakisita kurudi mara kwa mara na kujenga nyumba zao na za wazazi wao, au kuanzisha hata biashara ndogondogo. Kijuu juu,…

Read More

Pacha ya Makambo, Yacouba ngoja tuone!

MSHAMBULIAJI wa Tabora United, Heritier Makambo amesema kitu pekee kinachoweza kubadilisha staili ya ushangiliaji wake wa kuwajaza ni supastaa wa  Al Nassr ya  Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo Makambo alisema kama Ronaldo amedumu na staili yake ya suuu na imekuwa maarufu dunia nzima, huku wachezaji wengine wakiiga, yeye ni nani hadi abadili ya kwake, hivyo alisisitiza…

Read More

Azam FC kujiuliza kwa maafande Dar

BAADA ya kutupwa nje ya michuano ya kimataifa mbele ya APR ya Rwanda, matajiri wa Chamazi, Azam FC watakuwa na kibarua kizito kesho Jumatano dhidi ya JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Msimu uliopita Azam ilivuna pointi sita dhidi ya JKT Tanzania…

Read More

JKT Stars yaitembezea kichapo Vijana Queens

TIMU ya JKT Stars imeifunga Vijana Queens kwa pointi 73-56 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam uliochezwa kwenye Uwanja wa Donbosco Osterbay na kuacha maswali kwa wapenzi wakiijadili timu hiyo kongwe. Hata hivyo mchezo huo ulitaka uingie dosari kutofanyika  kutokana na wachezaji wa Vijana Queens kuamini hivyo. Picha hiyo ilionekana…

Read More

Tumwagile, Taudencia kazi ipo | Mwanaspoti

MCHUANO mkali upande wa udakaji mipira ya rebound, kwa wanawake umeonyesha kwuapo kwa wachezaji Tumwagile Joshua kutoka DB Lioness na Taudencia Katumbi wa DB Lioness. Tumwagile mwenye umbile kubwa anaongoza kwa udakaji wa mipira ya rebound mara 290, huku Taudencia ambaye ni raia  Kenya akidaka mara 286. Wakali hao wanafuatiwa na Irene Kapambala wa Polisi…

Read More

Mabeki wageuka tishio kutupia nyavuni BDL

WAKATI timu zote zikiwa zimecheza michezo 26 ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kuna vita mpya imeonekana kuwapo kwa wachezaji wanne wanaocheza nafasi ya ulinzi namba 4 maarufu kama center wanaoonekana kuwa tishio katika wa kufunga. Wachezaji hao ni Haji Mbengu wa Dar City, Jimmy Brown (UDSM Outsiders), Fotius Ngaiza (Vijana)…

Read More

Fadlu aweka masharti mawili Simba

KOCHA mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kukiongoza kikosi chake kuibuka na ushindi katika mechi mbili kilizocheza, lakini wakati timu ikiongoza msimamo wa ligi ametoa maagizo mawili ambayo anataka yafanyiwe kazi kwa haraka. Agizo la kwanza ni kupandishwa kwa wachezaji watano kutoka katika kikosi cha vijana chini…

Read More