Siri ya uwezo wa Chama, Pacome mtaalamu wao afunguka

SIRI ya viungo wawili Yanga ambao ni Pacome Zouzoua na Clatous Chama imefichuka, baada ya kuonekana kuwa na viwango bora hasa katika michuano ya kimataifa iliyochezwa wikiendi iliyopita dhidi ya Vital’o ya Burundi.  Huu ni msimu wa pili kwa Muivory Coast Pacome aliyetokea Asec Mimosas na wa kwanza kwa Chama ambaye alikuwa akiichezea Simba. Viungo…

Read More

Tabora United yavunja mwiko ugenini

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata Tabora United juzi katika Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC, umeifanya kuvunja mwiko wa kutoshinda ugenini tangu ipande daraja 2022-2023, baada ya kucheza michezo 17. Mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Majaliwa, Lindi, Namungo ilipata bao kupitia kwa Djuma Shabani kwa penalti dakika ya 60 huku Tabora ikisawazisha kwa…

Read More

HISIA ZANGU: Azam wanakosa kitu kisichoonekana kwa macho

KWA sasa John Bocco anafahamu. Sure Boy anafahamu. Shomari Kapombe anafahamu. Erasto Nyoni anafahamu. Gadiel Michael anafahamu. Aishi Manula anafahamu. Hata Prince Dube ameanza kufahamu. Tatizo la Azam ni nini? Watu wamekuwa wakiulizana. Sina jibu lakini naweza kukisia kwamba kuna kitu kisichoelezeka sawa sawa kinakosekana Azam. Labda zinakosekana hisia kali fulani kwa kila anayehusika pale…

Read More

Sadala matumaini kibao Biashara Utd

NYOTA mpya wa Biashara United ya Mara, Sadala Lipangile ambaye amesajiliwa akitokea KMC amepania kutumia uzoefu alionao kuwa sehemu ya historia ya chama hilo kurejea Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita Biashara ilisaliwa na hatua moja tu kurejea Ligi Kuu lakini ilijikuta wakikwaa kisiki mbele ya Tabora United katika hatua ya mchujo baada ya kupoteza kwa…

Read More

Azam, Coastal muvi ziliisha mapema CAF

WAWAKILISHI wa Tanzania na visiwani Zanzibar katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho, timu za Azam FC, Coastal Union, JKU na Uhamiaji, wameaga kirahisi mashindano hayo makubwa katika michezo ya awali tu. Azam ilicheza Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara msimu uliopita…

Read More

Uchunguzi kesi ya kusafirisha mifupa, kucha za simba bado

Dar es Salaam. Serikali imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kusafirisha nyara za Serikali, ikiwemo mifupa 1,107 ya simba zenye jumla ya thamani ya Sh3.3bilioni, inayowakabili washtakiwa 12 wakiwemo waliokuwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA). Wakili wa Serikali, Titus Aaron ameieleza hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumatatu…

Read More

Prisons yakuna kichwa, yajipaga upya

MATOKEO ya sare mfululizo katika michezo miwili yameonekana kuwatibua Tanzania Prisons, huku wakiahidi kusahihisha makosa ili mechi zinazofuata wafanye kweli. Prisons imeanzia ugenini Ligi Kuu ikicheza mechi mbili dhidi ya Pamba Jiji na Mashujaa na haijaonja ushindi wowote wala bao la kuotea na kujikita nafasi ya nne kwa pointi mbili. Maafande hao wataendelea kubaki ugenini…

Read More