JIWE LA SIKU: Kwa hili la Mzize Yanga itulize akili

KATIKA kile kinachoendelea kati ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kuhusishwa ama kutakiwa na klabu mbalimbali Afrika na Ulaya, viongozi wa timu hiyo ya wananchi hao wanapaswa kuwa makini juu ya jambo hilo. Mzize kwa siku za hivi karibuni amekuwa akihitajika na klabu za Wydad AC ya Morocco na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ambazo…

Read More

Mechi nne tu Ken Gold mtaipenda

PAMOJA na kuanza Ligi Kuu kinyonge kwa kupoteza mchezo wa kwanza, Ken Gold imesema wanaoibeza timu hiyo wasubiri baada ya michezo minne wataikubali, huku ikieleza panapovuja. Ken Gold inashiriki ligi hiyo kwa mara ya kwanza na katika mchezo wa kwanza dhidi ya Singida Black Stars ilipopolewa mabao 3-1 ikiwa nyumbani uwanja wa Sokoine jijini hapa…

Read More

Maxime ajipa muda Dodoma Jiji

BAADA ya kuambulia pointi moja katika mechi mbili za Ligi Kuu, Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema anaamini kikosi hicho kina mwelekeo mzuri na baada ya mechi chache kitaanza kupata matokeo ya kuridhisha na kuwatoa presha mashabiki wake. Dodoma ilifungua msimu wa 2024/2025 ugenini dhidi ya Mashujaa na kulala 1-0 mjini Kigoma kabla…

Read More

Simba Queens twenzetu fainali | Mwanaspoti

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michuano ya Klabu Bingwa kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), Simba Queens inashuka tena uwanjani leo kuvaana na Kenya Police Bullets katika mechi ya nusu fainali ikiwa vita ya kusaka tiketi ya kucheza Klabu Bingwa Afrika kwa mara ya pili. Pambano hilo litapigwa kwenye Uwanja wa Abebe Bikila baada…

Read More

Fadlu: Simba hii bado kidogo tu

SIMBA imeendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu na alama sita baada ya juzi kuishushia kichapo cha mabao 4-0 Fountain Gate huku mastaa wapya kikosini hapo akiwemo Charles Ahoua wakionyesha kiwango bora lakini kocha mkuu wa Wanamaimbazi hao, Msauzi Fadlu Davies amesema bado hajapata kile anachokitaka kwa asilimia mia. Akizungumza na Mwanaspoti, Fadlu amesema…

Read More