SIMBA AMJERUHI MWENYEKITI WA KIJIJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Mwenyekiti wa kijiji cha Amani kilichopo katika Kata ya Mundindi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe Issa Luoga amenusurika kuuwawa wakati akipambana na mnyama Simba wakati wakimsaka baada ya kugundua ameingia kijijini hapo.       Akizungumza akiwa katika hospitali ya kanisa Katoliki iliyopo Kata ya jirani Lugarawa, mwenyekiti huyo amesema katika kumsaka Simba huyo…

Read More

Gamondi ashtukia ishu nzito, atangaza vita mpya

KOCHA wa Yanga Miguel Gamondi  amesema matokeo ya ushindi wa jumla wa mabao 10-0 iliyopata timu hiyo kwake yameshapita na sasa akili zake ni kwenye mechi mbili za raundi ya pili dhidi ya CBE ya Ethiopita akiitangazia vita kwa lengo la kutaka kuvunja mwiko ulioitesa vijana wa Jangwani. Yanga imekuwa na rekodi mbovu dhidi ya…

Read More

Chama ashtua!… Wadau wafunguka | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba wamepata mshtuko. Hii ni baada ya mpira mkubwa alioupiga Clatous Chama katika mechi mbili za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na kikosi cha Yanga. Awali mashabiki hao na baadhi wa klabu ya Yanga walikuwa wakiuponda usajili ya kiungo mshambuliaji huyo kutua Jangwani. Walikuwa wakidai ni mzee na aliyepitwa…

Read More

SAID JR Aeleze kilichomwondoa Serbia

NYOTA wengi wanaokipiga nje ya nchi wanatajwa kupita katika timu kubwa za Kariakoo, Yanga na Simba na wachache sana wametokea kwenye timu za kawaida au wameanzia huko na kucheza soka la kulipwa. Mmmoja wao ni Said Khamis na amezunguka timu mbalimbali duniani kucheza soka akitamba eneo la ushambuliaji na aliwahi kupita Mbao FC kwa msimu…

Read More

Mohamed Badru huyooo Songea United

SONGEA United imethibitisha kunasa saini ya Mohamed Badru kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo atakayeiongoza msimu ujao wa Championship kuisaka tiketi ya Ligi Kuu, 2025/26. Timu hiyo ambayo awali ilijulikana kama FGA Talents, kwa sasa makazi yake ni mjini Songea na msimu ujao itacheza Championship ikitumia uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma. Badru aliyewahi kutamba na…

Read More

Tuzo yampa jeuri  Mpole | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Pamba Jiji, George Mpole amefunguka kwa mara ya kwanza tangu arejee Ligi Kuu Bara akijiunga na timu hiyo ya Mwanza, akisema tuzo ya Nyota wa Mchezo dhidi ya Dodoma Jiji ni mwanzo wa kazi kubwa aliyojipanga kuifanya msimu huu, licha ya kukataa kujitabiria ufungaji Bora. Mpole aliyekosa mechi ya kwanza ya msimu huu…

Read More