Wagosi yang’olewa CAF, yakosa penalti

COASTAL Union ya Tanga imerudia kile kile ilichowahi kukifanya mwaka 1989 ilipong’olewa raundi za awali za michuano ya CAF, baada ya jioni ya leo kutoka suluhu na AS Bravo ya Angola na kutolewa kwa jumla ya mabao 3-0. Coastal ilipoteza mechi ya kwanza ugenini kwa mabao 3-0 na leo ilikuwa ikihitaji ushindi wa zaidi ya…

Read More

Lissu afunguka Rais Samia kumpa simba jina lake

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja sababu za kutaka simba aitwe jina la Tundu Lissu, makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amesema aliamua hiyo kutokana na umachachari na ukorofi wa mwanasiasa huyo. Rais Samia ametoa kauli  hiyo Agosti 25, 2024 wakati akifunga Tamasha la Kizimkazi katika viwanja vya Mwehe, Makunduchi, Mkoa wa…

Read More

SIO ZENGWE: Azam FC itafute sababu za kuboronga Afrika

WAKATI mashabiki wa Yanga wakimaliza mapumziko ya mwishoni mwa wiki kwa furaha, wale wa Azam na hasa wadau watakuwa wanakuna kichwa kwa huzuni baada ya timu hiyo, iliyokusanya wachezaji nyota kutoka pembe kadhaa za Afrika na barani Amerika Kusini, kushindwa tena kufurukuta michuano ya Afrika. Azam, klabu inayomilikiwa na mmoja wa matajiri wakubwa nchini na…

Read More

Madina kinara tena Uganda, Tanzania yang’ara

WAGANDA wataendelea kumuota Mtanzania Madina Idd katika viwanja vyao vya gofu vilivyopo katika miji ya Kampala na Entebbe baada ya Mtanzania huyu shupavu kuviteka vyote katika kipindi cha siku saba tu. Madina ameibuka mshindi wa jumla wa michuano ya wazi ya wanawake nchini Uganda yajulikannayo kama John Walker akimshinda Mtanzania mwenzake Hawa Wanyeche kwa mikwaju…

Read More

Azam FC itafute sababu za kuboronga Afrika

WAKATI mashabiki wa Yanga wakimaliza mapumziko ya mwishoni mwa wiki kwa furaha, wale wa Azam na hasa wadau watakuwa wanakuna kichwa kwa huzuni baada ya timu hiyo, iliyokusanya wachezaji nyota kutoka pembe kadhaa za Afrika na barani Amerika Kusini, kushindwa tena kufurukuta michuano ya Afrika. Azam, klabu inayomilikiwa na mmoja wa matajiri wakubwa nchini na…

Read More

Yanga imefuzu, ila ina kibarua

YANGA imetinga kibabe hatua ya kwanza ya mtoano wa Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuwang’oa Vital’O ya Burundi kwa jumla ya mabao 10-0. Matokeo hayo yanaifanya Yanga kwenda kukutana na  CBE ya Ethiopia ambayo nayo imewatupa nje ya mashindano SC Villa ya Uganda kwa jumla ya mabao 3-2. CBE ilishinda ugenini kwa mabao 2-1…

Read More

Mzuka mbio za magari sasa wahamia Iringa

MSISIMKO na mzuka wa mbio za magari umeanza  tena  baada ya klabu ya Mbio za Magari Iringa, IMSC,  kuthibitisha uenyeji wa raundi ya pili ya mbio za ubingwa wa taifa katikati ya mwezi ujao. Kwa mujibu wa kalenda ya chombo kinachosimamia mchezo wa mbio za magari nchini(AAT), mkoa wa Iringa utakuwa mwenyeji wa raundi ya…

Read More

Wageni waanza na gia kubwa

LIGI Kuu Bara imeanza kwa kusuasua kwa timu nyingi kutoka sare, lakini mastaa wa kigeni wameanza na kasi kwa kufumania mabao wakiwafunika wazawa. Kabla ya mechi mbili za jana, tayari ilishapigwa michezo saba na kushuhudiwa jumla ya mabao tisa tu yakiwa yametinga wavuni, ikiwa ni idadi ndogo kulinganisha na misimu ya 2022-2023 na 2023-2024 kwa…

Read More

…Samia ampa tano | Mwanaspoti

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapongeza wachezaji wa gofu wa kike wa Tanzania kwa kuendelea kuipeperusha vyema bendera ya nchi nje ya mipaka yake huku akiahidi kuleta kocha wa kigeni kwa ajili ya kuifundisha timu ya Taifa. Hayo yalisemwa na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Damas Ndumbaro kufuatia mchezaji nyota wa Tanzania, Madina…

Read More

TODD: Ule usajili Chelsea, pesa zinatoka huku

LONDON, ENGLAND: CHELSEA inazidi kushusha watu. Usajili kwao wameufanya jambo jepesi sana. Hawamuachi mchezaji wanaomtaka na hadi sasa inafikia idadi ya wachezaji 40 kwenye kikosi hicho. Wapo 18 waliosajiliwa hadi sasa, huku tisa ikiwa ni kwa kulipa ada na tisa wengine wakiwa ni usajili huru. Bosi wa miamba hiyo wa Jiji la London, Toddy Boehly…

Read More