
Nyambaya, Lufano nje, Kulunge, Hossea ndani
Uchaguzi wa wajumbe wa Kamati ya Utendaji umepeleka kilio kwa waliokuwa wajumbe wa Kanda Namba Moja Lameck Nyambaya na namba tano Vedastus Lufano baada ya kuanguka. Nyambaya ambaye alikuwa anatetea kiti chake ameanguka baada ya kupata kura 33 wakati mshindi akiibuka Hossea Lugano aliyepata kura 40. Katika uhesabuji wa kura hizo kura tatu ziliharibika, baada…