Burudani zatawala nje kwa Mkapa

ACHANA na burudani inayotarajiwa kutolewa baadaye na Simba, lakini hivi sasa nje kuna vaibu lingine linaloendelea kwenye maeneo tofauti karibu na Uwanja wa Mkapa. Leo ni kilele cha wiki ya Simba Day ambayo hutambulisha wachezaji wapya na benchi la ufundi ikitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali na mechi ya kirafiki. Kuna kikundi cha mashabiki…

Read More

Wauza jezi kicheko Simba Day

WAKATI zikisalia saa chache kuanza kwa kilele cha tamasha la Simba Day, asilimia kubwa ya mashabiki wamevalia jezi mpya ya timu hiyo, lakini wafanyabishara wa bidhaa hizo wakichekelea. Kilele cha wiki ya Simba Day ni siku ambayo hutambulisha wachezaji wapya, benchi la ufundi kitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwemo Ali Kiba, Yammi, Mbosso…

Read More

Wakamuliwa buku mbili, kupiga  picha bango la mastaa Simba 

WAKATI  biashara mbalimbali zikiendelea kufanywa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa linapofanyika tamasha la Simba Day leo, wapiga picha mnato nao wameanzisha ubunifu wa kuhakikisha wanajipatia pesa katika siku hii kubwa kwa mashabiki wa Simba. Badala ya kupiga picha tu za mashabiki wakiwa wamekaa sehemu tofauti tofauti, sasa wameamua kuweka mabango ambayo shabiki anayehitaji atapigwa picha…

Read More

Sowah awa gumzo  mapema Simba Day

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, raia wa Ghana, Jonathan Sowah amegeuka gumzo mapema kwa mashabiki wa timu hiyo walihudhuria katika tamasha la Simba Day, linalofanyika kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Katika mitaa mbalimbali ya nje ya uwanja huo, mashabiki wa timu hiyo wanazungumzia usajili wa nyota wapya msimu huu, huku Sowah akibeba…

Read More

Kwa Mkapa ni  nyekundu, nyeupe 

IKIWA saa zinazidi kukatika kabla ya kuanza rasmi shughuli ya utambulisho wa nyota wapya wa kikosi cha Simba kwa msimu wa 2025-2026, ikishindikizwa na mechi ya kirafiki kati ya timu hiyo na Gor Mahia ya Kenya Kwa mMkapa kunakofanyika tamasha la Simba Day ni nyekundu na nyeupe. Rangi hizo zinazotumiwa na klabu ya Simba ndio…

Read More

Lupaso imechangamka | Mwanaspoti

WAKATI tamasha la Simba Day likifikia kilele leo, mashabiki wa timu hiyo wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo linafanyika leo likiwa ni msimu wa 17 tangu lilipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2009, chini ya uongozi wa Hassan Dalali na Mwina Kaduguda. Nje ya Uwanja wa Benjamin…

Read More

Bado Watatu – 24 | Mwanaspoti

Hata kama nitaendelea kuificha maiti ya Shefa, mtu aliyemuua atakuwa anajua kuwa maiti ya Shefa nimeificha humu ndani. Kama ataamua kunisaliti, anaweza kuwatonya polisi wakaja wakapekua nyumba yangu na kuikuta. Mawazo yote hayo yalipita katika akili yangu na kunikatisha tamaa. Niliona kwamba muda wangu wa kukamatwa na kuhusishwa na mauaji yale ulikuwa karibu sana. Kwanza,…

Read More

SIMBA DAY: Nje moto ndani moto

UMEUONA mziki wa Simba SC? Najua hujauona vizuri, sasa Septemba 10, 2025, vyuma vyote vinawekwa hadharani kwa kutambulishwa mbele ya mashabiki kisha utapigwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia kutoka Kenya. Hiyo itakuwa ni kilele cha Tamasha la Simba Day ambalo mwaka…

Read More

Wanachama 160 kutoka Mwanza kushuhudia Simba Day

MAKAMU Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Mkoa wa Mwanza, Juma Kayugwa amesema mashabiki na wanachama 54 wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kushuhudia Tamasha la Simba Day litakalofanyika leo, Jumatano kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kayugwa alisema wanatarajia kuwa na zaidi ya wanachama 160 kutoka Mwanza. “Tumeambatana na baadhi ya viongozi…

Read More