Rais Samia ataka CHAN ipigwe Samia Suluhu Sports

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza Uwanja wa Samia Suluhu Sports Academy kukamilika Januari 2025 badala ya Aprili ili uweze kutumika katika Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) inapigwa katika uwanja huo. “Tarehe 22, niliweka jiwe la msingi la ujenzi wa Suluhu Sports Academy unaotarajiwa kukamilika kwa ratiba Aprili 2025,…

Read More

Arusha mabingwa wapya riadha Taifa

MKOA wa Arusha umeibuka kinara mpya wa riadha taifa baada ya kutwaa medali 21, dhahabu zikiwa 10, fedha tano na shaba sita. Mshindi wa pili kwenye mashindano hayo yaliyofungwa juzi usiku ni mkoa wa Mjini Magharibi wa Zanzibar uliotwaa medali 13, dhahabu zikiwa saba, fedha na shaba tatu tatu. Mkoa wa Pwani umehitimisha tatu bora…

Read More

Katikati ya Pacome, nawa-misi kina Gaga

MIAKA inaenda kwa kasi sana. Na asikuambie mtu, kuna wakati mtu unaweza kukufuru kwa jinsi maisha ya hapa duniani yanavyotatiza. Maisha yanakatisha tamaa mno. Yaani kama sio kuumbwa kwa sahau, walahi hakuna ambaye angeweza kufanya jambo lolote la maana. We fikiria tu, mtu unasoma au kujilimbikizia mali kwa kujenga majumba, kununua magari ama kuzaa watoto…

Read More

Yanga kumuuza Mzize, yataja thamani yake hadharani

KAMA kuna klabu inampigia hesabu straika chipukizi wa Yanga, Clement Mzize, basi inapaswa kukaa chini na kujipanga kwelikweli, baada ya mabosi wa klabu hiyo kutangaza rasmi bei ya mchezaji huyo. Yaani kama klabu ina fedha za mawazo, isifikirie kabisa kumng’oa mchezaji huyo klabuni hapo kwa sasa. Mabosi wa Yanga wamesema klabu inayotaka Mzize kwa sasa…

Read More

Ouma, Coastal saa zinahesabika | Mwanaspoti

COASTAL Union iko katika mazungumzo ya mwisho ya kuachana na kocha mkuu, David Ouma kwa kile kinachoelezwa viongozi hawaridhishwi na mwenendo wa matokeo inayoyapata. Taarifa za ndani zilizonazwa na Mwanaspoti zinaeleza kwamba, Coastal baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Bravos do Maquis ya Angola katika mchezo wa awali wa Kombe la Shirikisho Afrika, ilimtaka Ouma…

Read More

Simba, Fountain Gate na mwanzo mpya

Dar es Salaam. Historia ya nyuma itazikwa rasmi na leo Simba na Fountain Gate zitaanzisha rasmi ushindani mpya kwenye Ligi Kuu wakati zitakapokutana kwenye Uwanja wa KMC Complex,Mwenge, Dar es Salaam kuanzia saa 10:00 jioni. Mabadiliko ya jina na uendeshaji ambayo Fountain Gate imeyafanya msimu huu yanaipa fursa ya kufuta unyonge wa nyuma ambao ilikuwa…

Read More