Simba yapewa Waarabu CAF | Mwanaspoti

Dar es Salaam. Simba itakutana na Al Ahli Tripoli ya Libya katika raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu ambapo itaanzia ugenini na kumalizia nyumbani. Hiyo ni baada ya Al Ahli Tripoli kuitupa nje Uhamiaji ya Zanzibar kwa ushindi wa mabao 5-1 katika mechi mbili za raundi ya kwanza ambazo zote zilichezwa…

Read More

Singida BS yaichapa Kagera | Mwanaspoti

SINGIDA Black Stars, wameendeleza ubabe wao katika Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wao, Kagera Sugar. Mchezo huo uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera, Singida Black Stars ilipata bao hilo pekee kupitia beki wake wa kati, Anthony Tra Bi Tra dakika ya 90+2. Mashambulizi ya…

Read More

Yanga yafanya maangamizi kwa Vital’O

TIMU ya Yanga imetinga hatua ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 6-0, dhidi ya Vital’O ya Burundi katika mchezo wa marudiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Dar es Salaam. Yanga imepata bao la mapema tu dakika ya 13 kupitia kwa nyota wa…

Read More

Kirumba bado kugumu kwa Pamba

Mwanza. Pamba Jiji imeshindwa kufurukuta tena katika uwanja wake wa nyumbani wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya kushindwa kuondoka na pointi tatu ikilazimishwa sare ya pili  mfululizo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo ambayo ni mchezo wake wa pili ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa takribani miaka 23, imelazimishwa…

Read More

ARFA yapata mabosi wapya | Mwanaspoti

Chama cha soka mkoa wa Arusha (ARFA) imefanya uchaguzi wa nafasi mbali mbali na kupata viongozi watakaoiongoza kwa miaka minne.  Uchaguzi huo umefanyika leo mjini Namanga wilayani Longido ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya ARFA, wakili Hilda Mwanga na wasimamizi kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Karume Benjamin ambaye ni Makamu Mwenyekiti…

Read More

Nchemba aiangukia Yanga kwa Kagoma 

Mdau wa michezo nchini aliye pia Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amefunguka kwa mara ya kwanza sakata la kiungo Yusuf Kagoma, anayedaiwa kusaini Yanga na baadae kujiunga na Simba. Mwigulu ametumia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram kulifafanua sakata la kiungo huyo akiandika: Sakata la Kagoma bado lipo TFF. Nafahamu undani wa suala la Yusuf…

Read More

WAZIRI JAFO ATAKA WATANZANIA KULINDA VIWANDA VYA NDANI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb.) akiwa ameambatana na ujumbe wake akiongea na waandishi wa habari baada ya kutembelea viwanda mbalimbali Kiwanda cha Kutengeneza Vinywaji baridi cha Kiwanda cha A One product and Bottles Ltd, Kiwanda cha Bonite Bottlers Ltd, Kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi cha Kilimanjaro, Kiwanda cha kutengeneza…

Read More

Mbrazili Fountain Gate aanika ukweli

ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa Fountain Gate, Mbrazili Rodrigo Figueiredo Calvalho amevunja ukimya na kusema ukweli wa kilichotokea, akisema hakuifanyia kusudi katika madai ya fedha wakati akichezea kikosi hicho kama wengi wanavyozungumza. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho, Septemba 21, 2022 akitokea Sem Clube, aliishtaki Fountain katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kwa kile alichodai…

Read More

Somji azamisha dume Uganda Open

MCHEZA gofu kutoka Arusha, Aalaa Somji amekuwa  kipimo cha ubora wa mikwaju katika mashindano ya ubingwa kwa wanawake ya Uganda baada ya kupiga hole-in one katika shimo namba sita la Viwanja vya Gofu Entebbe, jana Ijumaa. Hole-in-one ni alama bora na adimu katika gofu na hupatikana kwa mcheza gofu kuingiza mpira shimoni moja kwa moja kwa…

Read More

Rais wa RT akemea wababaishaji raidha

RAIS wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Silas Isangi amewaonya viongozi wa vyama vya mikoa wasiowajibika na kusisitiza hawafai kuendelea kuongoza. Isangi alitoa kauli hiyo juzi jioni wakati wa ufunguzi wa mashindano ya riadha ya Taifa yaliyofanyika kwa siku mbili. “Mashindano ya taifa yanafanyika mara moja kwa mwaka. Katika mikoa kuna mwenyekiti na katibu wa…

Read More