MTU WA MPIRA: Si lazima Yanga imuuze Mzize

NIMEONA maneno mengi mitandaoni kuhusu sakata la mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize. Nimeona mijadala mingi kwenye vyombo vya habari pia. Kuna maoni mengi kuhusu Yanga kukataa ofa tatu tofauti kuhusu Mzize. Inasemekana Wydad Casablanca, Kaizer Chiefs na timu nyingine moja kutoka Ulaya zimetuma ofa Yanga. Maoni mengi ni kutaka Yanga imuuze Mzize kwa sasa. Kwanini?…

Read More

Aussems, Nkata  ngoma nzito Kaitaba

KATIKA soka, rekodi zinaweza kuamua matokeo ya mechi, lakini uwezo binafsi nao huwezi kuuweka kando na hili ndilo linalosubiriwa kushuhudiwa leo kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba wakatui Singida Black Stars na Kagera Sugar zitakapowaingiza vitani makocha wa timu hizo. Wenyeji Kagera Sugara wanacheza mechi hiyo ya kwanza msimu huu ikiwa chini ya kocha mpya,…

Read More

Yanga, Azam zishindwe zenyewe, JKU, Uhamiaji mmh

Dar es Salaam. Timu tatu za Tanzania leo zitakuwa katika viwanja tofauti barani Afrika zikicheza mechi za marudiano za raundi ya kwanza ya mashindano ya klabu Afrika huku kukiwa na mategemeo tofauti kutokana na matokeo ya mechi za mwanzo zilizochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Katika Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, Yanga itaikaribisha Vital’O ya…

Read More

WATANZANIA LINDENI VIWANDA VYA NDANI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb.) akiwa ameambatana na ujumbe wake akiongea na Mkurugenzi wa Kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi cha Kilimanjaro Bw Saiba Edward alipotembelea Kiwanda hicho kilichopo Mkoani Kilimanjaro Agosti 23, 2024 wakati wa ziara yake Mkoani humo kujionea shughuli za uzalishaji, kusikiliza changamoto walizonazo na kutafuta njia…

Read More

Wanaomkejeli Mukwala leo, ndio watakaomshangilia kesho

HUKO mitaani kwa sasa usajili unaojadiliwa sana vijiweni ni ule wa straika mpya wa Simba, Steven Mukwala aliyetua hivi karibuni akitokea, Asante Kotoko ya Ghana. Kuanzia vijiwe vya kahawa, vile vya daladala hadi katika mitandao ya kijamii ni ishu nzima ya usajili wa Mukwala ndani ya Yanga kupitia dirisha kubwa lililofungwa katikati ya mwezi huu….

Read More

Azam FC kumaliza kazi waliyoianza Dar?

Matajiri wa Chamazi, Azam FC wana kibarua kizito jijini Kigali, Rwanda, itakaposhuka uwanja mkubwa nchini humo wa Amahoro kumalizana na APR mabingwa wa nchi hiyo. Azam imeshuka kwa kitisho ikisafiri na msafara wa watu 60 kwenye timu yao tu lakini pia ikasafirisha mashabiki wao mpaka nchini humo ili kuwaongezea hamasa ya kuhakikisha inafuzu baada ya…

Read More

Freddy Michael afichua mazito Simba SC

SAA chache baada ya kutemwa na Simba, mshambuliaji Freddy Michael amevunja ukimya na kufunguka akisema alichofanyiwa imekuwa ni kama sapraizi kwani alikuwa amejipanga kufanya makubwa baada ya kujipata mwishoni mwa msimu uliopita. Pia mshambuliaji huyo wa zamani wa Green Eagles ya Zambia, amesema licha ya kuwaheshimu na kuwakubali mastraika wapya waliotua Msimbazi, lakini amewaponda kwamba…

Read More

Seseme ajishtukia Tabora United | Mwanaspoti

KIUNGO wa zamani wa Kagera Sugar, Abdallah Seseme anayekipiga kwa sasa Tabora United, amejishtukia na kusema anapaswa kukaza buti kama mchezaji, lakini hata timu hiyo inapaswa kukomaa kwa vile anauona msimu huu kuwa ni mgumu zaidi kuanzia klabuni hapo katika Ligi Kuu Bara. Nyota huyo alioyewahi kuwika Simba, amejiunga na Tabora akitokea Kagera ambako hakufunga…

Read More