Samatta sasa anukia Cyprus | Mwanaspoti

MABOSI wa Omonia Nicosia ya Cyprus wameripotiwa kuvalia njuga dili la kumnasa nahodha wa timu ya taifav ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta ambaye kwa sasa anaonekana kutokuwa katika mipango ya kocha wa PAOK ya Ugiriki, Razvan Lucescu. Samatta bado ana mkataba wa kuichezea miamba hiyo ya soka la Ugiriki hadi Juni 30, 2025, awali…

Read More

Ngumi za kulipwa zapelekwa Songea

TAMASHA kubwa la ngumi za kulipwa mkoa wa Ruvuma limepangwa kufanyika Septemba 8 kwenye Uwanja wa Majimaji, mjini Songea. Muandaaji wa tamasha hilo, Jofrey Miti  ya Lizaboni alisema kuwa mapambano mbalimbali ya ngumi za kulipwa yatafanyika katika tamasha hilo lililopangwa kuanza saa 11.00 jioni na litasindikizwa na mapambanio kadhaa likiwamo la bondia Chidi Benga wa…

Read More

MIPANGO KABAMBE NA NDOTO KUU ZA MAFANIKIO YANGA ZILIZOBEBWA NA MIGUEL GAMOND – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika ulimwengu wa soka, ambapo kila dakika ni fursa ya kujenga au kubomoa ndoto, kocha mahiri Miguel Gamondi anaonekana kuwa na ramani ya ushindi iliyochorwa kwa umakini mkubwa. Akijiamini lakini akiwa na miguu yote miwili ardhini akijiaanda kukikabili kikosi cha Vital O ya Rwanda hapo kesho, Gamondi anafahamu kwamba mechi iliyopita ilikuwa tu sehemu ya…

Read More

Joao Felix mmoja tu, Chelsea kibao!

LONDON, ENGLAND: NDO hivyo. Uwezo wa kucheza nafasi nyingi tofauti uwanjani unamfanya Joao Felix kumpa machaguo ya kutosha kocha wa Chelsea katika namna ya kupanga kikosi chake msimu huu. Chelsea imekamilisha usajili wa staa huyo wa Ureno kwa ada ya Pauni 42.6 milioni kutoka Atletico Madrid. Fowadi huyo alitumikia miezi sita kwa mkopo Stamford Bridge…

Read More

NJOHOLE: Nilifungiwa kwa kujisaidia uwanjani

Mabadiliko makubwa katika muuondo wa uendeshaji wa soka nchini umekuwa na manufaa makubwa kwa wachezaji wa sasa, hasa wenye fursa za kutoka nje ya nchi tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma enzi za Chama cha Soka Tanzania (FAT) kulikokuwa na mizengwe na ukiritimba mkubwa. Mmoja ya wahanga wa mizengwe na ukiritimba huo, ni Nico Njohole,…

Read More

Mpole hatihati kuivaa Dodoma Jiji

KESHO Pamba Jiji itarusha karata yake ya pili Ligi Kuu itakapoikabili Dodoma Jiji katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, huku shauku ya mashabiki wa timu hiyo kumuona mshambuliaji wao, George Mpole ikiwa njiapanda kutokana na leseni yake kutokamilika. Mchezo huo wa raundi ya pili ya Ligi Kuu Bara utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni, timu…

Read More