Nabi kasema…Yanga nusu fainali! | Mwanaspoti

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya raundi za awali za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vital’O ya Burundi, iliyohamishwa kutoka Kwa Mkapa hadi Azam Complex, huku kocha wa zamani wa timu hiyo, Nasreddine Nabi akiitabiria msimu huu kufika nusu fainali ya michuano hiyo. Nabi anayeinoa Kaizer Chiefs ya…

Read More

Dabo aitega APR | Mwanaspoti

AZAM imetua salama jijini Kigali, Rwanda tayari kwa mchezo wao wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika lakini kuna kauli ameitoa kocha wao Yusuf Dabo, juu ya Wanajeshi hao wa Kirundi. Azam iliyoondoka jana alfajiri na kutua Rwanda, itamalizana na APR, kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya mtoano baada ya…

Read More

Washiriki 1200 watarajiwa kushiriki mbio za barabarani

WASHIRIKI wasiopungua 1200 wanatarajiwa kushiriki mbio za barabarani zitakazofanyika Agosti 31 mwaka huu zitakazoanza kutimua vumbi Police Office Mess Masaki. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa The Runners Club, Godfery Mwangungulu ambao ndio waandaaji wa mbio hizo Alisema ni msimu wa saba sasa wa mbio hizo lakini kwa msimu huu zimekuwa na utofauti. Mwangungulu…

Read More

Njohole aeleza sababu ya kuondoka Simba SC

Mabadiliko makubwa katika muuondo wa uendeshaji wa soka nchini umekuwa na manufaa makubwa kwa wachezaji wa sasa, hasa wenye fursa za kutoka nje ya nchi tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma enzi za Chama cha Soka Tanzania (FAT) kulikokuwa na mizengwe na ukiritimba mkubwa. Mmoja ya wahanga wa mizengwe na ukiritimba huo, ni Nico Njohole,…

Read More

NIONAVYO: Inafikirisha klabu kuhamia ugenini

WAPENDWA wasomaji wetu, hii ni makala ya 100 katika safu hii ya Nionavyo. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii, maana kwa zaidi ya majuma 100 ametuwezesha kuifanya kazi hii. Mrejesho na msukumo kutoka kwenu wasomaji ndio umewezesha kufanikiwa katika yote. Udhaifu wa safu hii unabaki kuwa wa kwangu binafsi. Ahsanteni sana! Wiki iliyopita tulishuhudia klabu…

Read More

Simba vs Fountain Gate bado hatihati kuchezwa

KIKOSI cha Fountain Gate kimeanza safari ya kutoka Lindi kuja jijini Dar es Salaam kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba utakaopigwa Jumapili, huku ikiwa bado haijajua hatma kama mechi hiyo itachezwa au la. Timu hiyo ilishindwa kucheza mchezo wa kwanza dhidi ya Namungo, Agosti 17 kwenye Uwanja wa Majaliwa Ruangwa, Lindi kwa…

Read More

Chemundugwao: Nipo tayari kujiunga Dar City

WAKATI timu ya Dar City ikiongoza Ligi ya Kikapu  Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), mchezaji nyota  wa zamani wa timu ya Dar City Trofimo Chemundugwao   anasema kuwa anategemea kujiunga timu yake hivi karibu Chemundugwao ambaye yuko Mtwara kikazi, alisema atajiunga kikosini baada ya kumaliza kazi zilizompeleka Mtwara. “Kazi karibu tunamaliza, nikitoka huku nitakwenda  moja…

Read More

Nne zajiweka pazuri 8 Bora DBL

USHINDANI mkali wa timu zinazotafuta nafasi ya kucheza hatua ya nane bora katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), umeonyesha timu nne ndizo zenye nafasi  kucheza hatua ya nane bora. Hatua ya nane bora  itatokana na timu zilizofanya vyema baada ya kila moja kumaliza kucheza michezo 30. Timu zilizojiweka katika nafasi ya…

Read More