Jeuri ya Aussems ipo hapa!

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars raia wa Ubelgiji, Patrick Aussems amesema kwa sasa anajivunia upana na ubora wa timu hiyo baada ya kuanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu, huku wachezaji wote wakionyesha utayari wa kupambania kikosi hicho. Aussems amezungumza hayo baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KenGold katika mechi ya kwanza…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Azam kwa APR hatutawaelewa

AZAM FC imeanza vyema Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kushinda mechi ya awali ya raundi ya kwanza nyumbani dhidi ya APR ya Rwanda kwa bao 1-0. Kwa mashindano yanayochezwa kwa mtindo wa mtoano, huu ni ushindi muhimu sana kwa Azam, kwani unaiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele tofauti na watu wengi wanavyoamini. Ujue kuna…

Read More

Kramo amfuata Onana Libya | Mwanaspoti

Aliyekuwa winga wa Simba, Aubin Kramo amejiunga na klabu ya Olimpique Zouia inayoshiriki Ligi Kuu Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja, Mwanaspoti limethibitisha. Usajili huo wa Kramo, umefanya kuwa mchezaji wa pili kutoka Simba kujiunga na klabu za Ligi Kuu Libya baada ya awali mshambuliaji Mcameroon Willy Onana kujiunga na Al Hilal SC ya nchini…

Read More

NIONAVYO: Hommage ya Issa Hayatou

WAPO Watanzania wengi ambao wakiulizwa waonyeshe taifa la Cameroon lilipo katika ramani ya Afrika wanaweza kushindwa mtihani. Ukiondoa rekodi ya kuwa taifa lililoongozwa na Rais mmoja, Paul Biya kwa miaka mingi, Cameroon haiko sana katika vichwa vya habari za kisiasa. Jambo kubwa na la pekee ambalo limeitangaza Cameroon kwenye vichwa vya habari kwa miaka mingi…

Read More

Huko Kigoma kuna vita ya  maafande!

KIVUMBI cha Ligi Kuu Bara kitaendelea tena kesho Ijumaa kwa mchezo mmoja tu wa raundi ya pili kati ya Mashujaa itakayokuwa nyumbani kuwakaribisha maafande wenzao wa Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma. Mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa ligi, Mashujaa ikiwa nyumbani iliondoka na pointi tatu ikiiadhibu Dodoma Jiji bao 1-0 lililowekwa…

Read More

Mkanwa amrithi Josiah Biashara Utd

KLABU ya Biashara United ya Mara imeingia makubaliano ya msimu mmoja na Henry Mkanwa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship, huku akiwa na kibarua cha kuipandisha daraja kwenda Ligi Kuu baada ya kukwama msiimu uliopita. Kocha huyo wa zamani wa Tabora United, Usalama FC na Polisi Mara anachukua…

Read More

Mikoa mguu sawa, Riadha Taifa ikifunguliwa kesho

Mikoa imetambiana kutwaa ubingwa wa riadha kwenye mashindano ya Taifa yanayofunguliwa kesho Ijumaa jijini hapa. Tayari mikoa karibu yote imewasili jijini Mwanza tayari kwa mashindano hayo ya siku mbili yatakayofikia tamati keshokutwa Jumamosi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa baadhi ya mikoa wameeleza walivyojipanga kutwaa ubingwa wa msimu huu. Kocha wa mkoa Pwani, Elias Hotay…

Read More

Mikoa mguu sawa, Riadha Taifa ikifunguliwa leo

Mikoa imetambiana kutwaa ubingwa wa riadha kwenye mashindano ya Taifa yanayofunguliwa kesho Ijumaa jijini hapa. Tayari mikoa karibu yote imewasili jijini Mwanza tayari kwa mashindano hayo ya siku mbili yatakayofikia tamati keshokutwa Jumamosi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa baadhi ya mikoa wameeleza walivyojipanga kutwaa ubingwa wa msimu huu. Kocha wa mkoa Pwani, Elias Hotay…

Read More

Baada ya kukwama, watoto wa Hans Poppe wajipanga upya

WATOTO wa marehemu Zacharia Hans Poppe, wanakusudia kuwasilisha mahakamani maombi mengine ya ama kuziunganisha kampuni tatu zinazomilikiwa na baba yao mzazi ili ziweze kuwa sehemu ya wadaiwa katika kesi ya mirathi au wachukue hatua zingine katika mahakama nyingine. Watoto hao, Angel na Abel ambao ni wasimamizi wa mirathi, katika kesi ya mirathi ya Zacharia HansPoppe …

Read More

Nsekela afafanua ujenzi kituo cha Suluhu Sports Academy

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amesema kituo cha Suluhu Sports Academy kinachojengwa kitakuwa kitovu cha michezo mbalimbali. Nsekela ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa kituo hicho, ameyasema hayo Zanzibar leo, Agosti 22,2024 kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi katika akademi hiyo inayojengwa Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar huku…

Read More