Yanga yajipiga shoti ya mabilioni, Dube aleta uhai

WAKATI mashabiki wa Yanga wakiendelea kuchekelea ubora wa kikosi chao, upo moto unaoiunguza timu hiyo ndani kwa ndani. Yanga kwa misimu mitatu sasa imekuwa ikitingisha katika ligi za ndani na michuano ya kimataifa kutokana na kufanya usajili mzuri wa wachezaji bora wanaoibeba, lakini ikijikuta pia ikipata hasara kutokana na usajili unaofanywa. Iko wazi kuwa kati…

Read More

Ishu ya Freddy, Simba ipo hivi

UONGOZI wa Simba uko katika hatua za mwisho za kuachana na mshambuliaji, Freddy Michael baada ya kuitumikia kwa miezi sita akitokea Green Eagles ya Zambia. Hatua ya Simba kuachana na nyota huyo inakuja baada ya kukamilisha dili la mshambuliaji Mcameroon, Leonel Ateba aliyetua huu akitokea USM Alger ya Algeria. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari na…

Read More

Magoma, Yanga jino kwa jino mahakamani uhalali wa Katiba

 Licha ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutengua hukumu yake iliyobatilisha Katiba ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports,  maarufu kama Yanga, ya mwaka 2011, kufuatia kesi  iliyofunguliwa na Juma Ally Magoma na Geoffrey Mwaipopo, pande hizo mbili zinaendelea kukabana koo mahakamani. Hii inatokana na hatua ya Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya…

Read More

Makambo, Yacouba wakomaliwa Tabora Utd

KIKOSI cha Tabora United kimerejea jana mazoezini baada ya kupoteza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kwa mabao 3-0 mbele ya Simba, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya Francis Kimanzi akiwakomalia nyota wapya akiwemo Heritier Makambo na Yacouba Songne waliokosa mchezo uliopita. Baada ya kichapo hicho, Kimanzi alitoa mapumziko ya siku mbili kwa…

Read More

Mashujaa Queens yahamia Dar | Mwanaspoti

WAKATI msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), ukisubiriwa kwa hamu kuanza, Amani Queens (kwa sasa Mashujaa) imetangaza kuhamia Dar es Salaam kuwa makao makuu badala ya Lindi ilipokuwa awali. Msimu uliopita Amani ilimaliza katika nafasi ya sita katika msimamo wa WPL ikishinda mechi saba, sare mbili na kupoteza mechi tisa. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Vijiwe vya Bodaboda kuonyesha kazi Dar, Dom

VIJIWE vya Bodaboda vya jijini Dar es Salaam na Dodoma vinatarajiwa kuchuana katika soka ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani nchini. Kamanda wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani, Ramadhan Ng’azi ameyasema hayo leo Jumatano, Agosti 21, 2024. Kamanda huyo alikuwa akizungumzia maadhimisho ya Wiki ya Usalama wa barabarani yanaokwenda sambamba na…

Read More

Fei Toto apiga hesabu kali Kigali

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefunguka mipango ya kikosi chao katika mchezo ujao dhidi ya APR ya Rwanda utakaopigwa Jumamosi. Fei katika mchezo wa kwanza uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi alisababisha penalti iliyozaa bao pekee katika mechi hiyo baada ya kufanyiwa madhambi na beki wa APR. Tangu atue…

Read More

Jubilee yaipiga tafu Don Bosco

KATIKA kuendeleza vipaji vya wachezaji wa mchezo wa kikapu nchini, Bima ya Maisha ya Jubilee imeingia katika udhamini wa timu ya Don Bosco Oysterbay yenye wachezaji 60 wa rika mbalimbali kupitia mchezo wa mpira wa kikapu. Akizungumza leo wakati wa kukabidhi vifaa, Mkurugenzi Mkuu wa Bima ya Maisha ya Jubilee, Helena Mzena, amesema kauli mbiu ya…

Read More

Wacheza gofu watano viwanjani Entebbe Uganda Open

BAADA ya Madina Idd kushinda mashindano ya wazi wa gofu ya wanawake nchini Uganda, wacheza gofu watano kutoka Tanzania wako viwanjani kusaka ubingwa wa mashindano ya wazi ya Uganda yanayoanza asubuhi hii kwenye viwanja vya gofu vya Entebbe nchini humo. Ni mashindano makubwa ambayo mdhamini wake mkuu kampuni ya John Walker amemwaga mzigo wa Sh500…

Read More