Mousa Camara amtisha Diarra, Matampi

KIPA mpya wa Simba, Mousa Camara ameweka wazi malengo yake msimu huu na kutangaza vita dhidi ya Djigui Diarra wa Yanga na Lay Matampi kutoka Coastal Union. Camara ambaye ametua Simba msimu huu akitokea Horoya AC ya Guinea na ndiye kipa aliyedaka mchezo wa kwanza wa ligi dhidi ya Tabora United akitoka bila ya kuruhusu…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUWA: Awesu ni MVP mpya Msimbazi?

PENGINE bado ni mapema sana, lakini kuna wachezaji tayari wameanza kuwasha moto mwanzoni kabisa mwa msimu. Joshua Mutale bado anajitafuta. Steven Mukwala bado anajipiga piga kifuani. Debora Fernandez taratibu aanza kuonyesha ni kwanini Simba wamemchukua, lakini Awesu Awesu tayari gari limewaka. Ukitazama mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Mnyama Simba unaona umaridadi wa…

Read More

Ngaiza anakimbiza kimya kimya ‘rebound’

NYOTA chipukizi wa Vijana ‘City Bulls’, Fotius Ngaiza anaendelea kuwakimbiza wakongwe wa mchezo huo katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam kwenye udakaji wa mipira maarufu rebound. Rebound ni mipira inayokosa kuingia katika golini na kudundia ndani ya uwanjani, ambapo mchezaji anayeiwahi mipira hiyo inapogusa ardhi kabla ya mtu mwingine kuichukua ndiye anayehesabiwa…

Read More

Mgulani yatishia kushusha timu BDL

BAADA ya Mgulani (JKT) kuifunga Savio kwa pointi 66-62, timu hiyo ina nafasi ya kubwa ya kucheza hatua ya nane bora ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Nafasi ya kucheza hatua hiyo itakuja endapo timu hiyo itashinda michezo minne iliyosalia ya mzunguko wa pili wa mashindano hayo. Kupanda kwa Mgulani kutoka…

Read More

Irene Uwoya: Mwanzo, mwisho kumrudia Mungu

MARA kadhaa Mwanaspoti limekuwa likimtafuta mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Irene Uwoya ili afunguke kuhusu maisha yake mapya baada ya kuokoka, aliyopitia na sababu kubwa iliyomfanya amrudie Mungu. Kama yalivyo maisha mengine ya wanadamu, haikosi misukosuko, hofu, ndoto za kutisha na hatimaye kupata maono na kuamua kuokoka. Irene anafunguka mengi na aliwahi kusema ipo siku…

Read More

Gibril Sillah anavyomtumia Pacome wa Yanga!

WINGA wa Azam FC, Gibril Sillah, amebainisha kwamba amekuwa akimtumia kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua kama sehemu ya kuimarisha kiwango kutokana na kufurahishwa na namna anavyocheza mwenzake. Kati ya vitu anavyovipenda Sillah kwa Pacome ni pale anapokuwa na mpira mguuni huwa hamuachii nafasi mpinzani  kumnyang’anya, badala yake anatumia akili na nguvu kuufikisha sehemu sahihi. “Pacome…

Read More

Ngoma Arusha kupigwa mwezi ujao

TIMU za kikapu Mkoa wa Arusha zimekuwa zikisubiri kwa muda mrefu kuanza kwa ligi mkoani humo, lakini hatimaye katibu mkuu wa Chama cha Kikapu mkoa, Barick Kilimba ametangaza rasmi tarehe ya kuanza. Akizungumza na Mwanasposti, Kilimba alisema ligi hiyo inatarajiwa kuanza Septemba Mosi. Hata hivyo kiongozi huyo hakusema sababu zilizofanya ligi hiyo ishindwe kuanza mapema,…

Read More

Planet yaichapa CUHAS | Mwanaspoti

Timu ya kikapu ya Planeti imeichapa CUHAS kwa pointi 74 -52 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza (MRBA) kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Mirogo. Michezo mingine iliyochezwa uwanjani hapo ilizikutanisha Profile iliyoifunga Young Profile kwa pointi 74-59 na Eagles ikaifumua Cross Over kwa pointi 68-44. Akizungumzia michezo hiyo, kocha maarufu wa kikapu mkoani…

Read More