Gamondi, Maximo uso kwa uso Kagame

KWA mara ya kwanza makocha, Marcio Maximo wa KMC na Miguel Gamondi wa Singida Black Stars watakutana Ijumaa ya Septemba 12 katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame baada ya kila mmoja kutinga kibabe hatua hiyo. Makocha hao wenye historia ya aina yake kwenye soka la Tanzania, wameziongoza klabu hizo…

Read More

Matamasha yawakumbusha mbali | Mwanaspoti

WAKATI leo likifanyika Tamasha la Simba Day, likifuatiwa na Wiki ya Mwananchi keshokutwa Ijumaa, wachezaji waliowahi kucheza Simba na Yanga wametoa kumbukumbu zao juu ya matamasha hayo. Simba Day inayofanyika leo, ni msimu wa 17 tangu Klabu ya Simba kulianzisha mwaka 2009, huku upande wa Yanga ikifanya Wiki ya Mwananchi kwa mwaka wa saba. Katika…

Read More

Simba, Gor Mahia kukumbushia 2018

BAADA ya miaka saba kupita, hatimaye miamba ya soka la Tanzania na Kenya, Simba na Gor Mahia Zinakutana tena leo Jumatano katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day utakaochezwa Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar. Mara ya mwisho timu hizo kukutana, ilikuwa Juni 2018 na Simba ilipoteza huko Kenya kwa…

Read More

Mziki mnene wa Simba Day

LEO ndiyo ile siku ya kipekee kwa Simba na mashabiki wa klabu hiyo, iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu. Ni kilele cha Tamasha la Simba Day na ndiyo siku maalumu ya Wanalunyasi hao kutambulisha kikosi kizima kwa msimu mpya wa 2025/2026. Huu ni msimu wa 16 wa Simba Day tangu lilipoanza rasmi mwaka 2009, chini ya Mwenyekiti…

Read More

Hawa ndio wapinzani wa ‘mnyama’ Simba Day

KATIKA kuhitimisha maandalizi ya msimu mpya, Simba itashuka dimbani leo, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili mabingwa wa kihistoria wa Kenya, Gor Mahia katika tamasha la Simba Day. Mechi hiyo ya haitakuwa tu fursa kwa mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi kuwaona wachezaji wapya, bali ni kipimo cha kikosi hicho kabla ya mechi ya Ngao ya…

Read More

Ecua azua la kuzua Yanga, Mfaransa afunguka

KATI ya wachezaji 11 wapya waliotua Yanga kwa ajili ya msimu wa 2025-2026, kiungo mshambuliaji Celestine Ecua mapema tu ameonekana kuwashtua mabosi wa timu hiyo. Ecua ambaye hivi karibuni akiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Chad alifunga bao dhidi ya Ghana kisha kuwapa jeuri kubwa mashabiki wa Yanga, ameshtua kutokana na uamuzi alioufanya…

Read More

Taifa Stars mambo yake ni magumu

Taifa Stars imepoteza matumaini ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026, baada ya kulala kwa bao 1-0 dhidi ya Niger kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar. Stars ilikuwa inatakiwa kuhakikisha inapata ushindi kwenye mchezo huu ili kufikisha pointi 13 ambazo zingefufua matumaini yake ya kucheza hatua ya mchujo wa michuano hiyo,…

Read More

Ally Salim apewa mmoja Dodoma Jiji

KIPA mpya wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongezewa mwingine endapo akionyesha kiwango cha juu kuisaidia timu hiyo. Kigogo mmoja wa timu hiyo (jina tunalo) alisema sababu ya kumsainisha kipa huyo mwaka mmoja ilitokana na muda mfupi wa kufanya makubaliano ya baadhi ya mambo, hivyo wakaona bora…

Read More

Ninja nje hadi dirisha dogo

BEKI wa kati Abdallah Shaibu ‘Ninja’ licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Transit Camp inayojiandaa kushiriki Ligi ya Championship, huenda asionekane uwanjani hadi utakapofika usajili wa dirisha dogo. Baada ya usajili huo, Mwanaspoti lilimtafuta Ninja kuhusu mipango yake ya Ligi ya Championship na alisema amefurahi kujiunga na timu hiyo, lakini hataanza msimu hadi…

Read More

Pigo lingine Simba | Mwanaspoti

SIMBA itakuwa uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga. Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini mashabiki wa timu…

Read More