Taifa Stars kazi ile ile, muda uleule CHAN

TAIFA Stars imeshafuzu robo fainali za michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024, lakini kocha mkuu Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesisitiza kazi haijaisha na kwamba leo wanakamilisha ratiba, huku dhamira ni kupata ushindi ili kuboresha rekodi waliyoiweka. Stars itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 2:00 usiku muda…

Read More

Kocha Yanga ampa kazi maalumu staa mpya

SIKIA pale Yanga kuna mafundi kadhaa wametua katika dirisha hili la usajili, huku pia wakitua kikosini na kocha mpya, Folz Romain aliyerithi mikoba ya Miloud Hamdi aliyetimkia Ismaily ya Misri mara tu baada ya kuibebesha ubingwa wa Ligi Kuu bara msimu uliopita. Na kama unafuatilia, jana jioni kikosi cha Yanga kilikuwa uwanjani jijini Kigali kuvaana…

Read More

Siri ya Simba kumpandia ndege Maema

JANA, mabingwa wa Afrika Kusini, Mamelodi Sundowns walimuaga nyota wao baada ya kuwatumikia kwa miaka minne ambapo Masandawana walielezea kufurahia kipindi alichodumu ndani ya chama lao na kumtakia kila la heri katika safari yake ya soka. Huyu si mwingine, bali ni Neo Maema, fundi anayeiongoza Afrika Kusini katika michuano ya CHAN 2024 inayoendelea Tanzania, Kenya…

Read More

Winga CHAN awindwa Singida Black Stars|

TIMU ya Singida Black Stars inaendelea na maandalizi ya msimu ujao jijini Arusha chini ya Kocha Miguel Gamondi, huku uongozi ukimfuatilia kwa karibu winga El Mami Tetah anayeicheza Mauritania kwenye michuano ya CHAN 2024. Tetah ni miongoni mwa nyota bora katika kikosi cha Mauritania kinachoshiriki michuano ya CHAN 2024 kikiwa kundi B na timu ya…

Read More

Ateba anavyohesabu saa Msimbazi | Mwanaspoti

KAMA Mwanaspoti ilivyokujuza juzi ni kwamba Simba wanafanya mambo yao kimyakimya, huku kikosi chao kikiendelea kujichimbia nchini Misri kikibadili mji kutoka ule wa awali kwenda katika jiji kuu la nchi hiyo na mji wa kibiashara maarufu katika Ukanda wa Afrika Kaskazini. Kikosi cha Simba kimeshahamisha kambi kutoka Ismailia kwenda Cairo ambako hesabu za benchi la…

Read More

Uchaguzi wa TFF uko palepale, mahakama yajiweka kando

UCHAGUZI Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, utafanyika kama ulivyopangwa baada ya kutupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine kuhoji uhalali wake. Shauri hilo limetupiliwa mbali na Jaji Mfawidhi Salma Maghimbi,  leo Ijumaa Agosti 15, 2025, …

Read More

Kiungo Sudan asaka fursa chan 2024

KIUNGO wa timu ya taifa ya Sudan, Abdul Raouf amesema mashindano ya CHAN kwa upande wake ni fursa ya kuonekana na vigogo wa timu za Afrika. Nyota huyo, kwenye mechi iliyopita dhidi ya Nigeria, alifunga mabao mawili kwenye ushindi wa 4-0, mechi iliyopigwa Uwanja wa New Amaan visiwani Zanzibar. Raouf alisema mbali ya kuchukulia fursa…

Read More

Hatma kesi na uchaguzi TFF kujulikana jioni hii

HATMA ya  Uchaguzi Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, itafahamika saa 10 jioni wakati Mahakama itakapotoa uamuzi wa mapingamizi ya TFF katika shauri linaloikabili pamoja na uamuzi wa maombi kusimamisha kwa muda. ‎Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 16, 2025 mjini Tanga kwa ajili ya kupata…

Read More