Ngumi zitapigwa Songea Septemba 8, 2024

TAMASHA kubwa la ngumi za kulipwa Mkoa wa Ruvuma, limepangwa kufanyika Septemba 8, 2024 kwenye Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani humo. Muandaaji wa tamasha hilo, Jofrey Miti wa JBM Fitness Gym ya Lizaboni, alisema kuwa mapambano mbalimbali ya ngumi za kulipwa yatafanyika katika tamasha hilo lililopangwa kuanza saa 11:00 jioni. Miti alisema kuwa bondia…

Read More

Tido Mhando afichua kilichoiponza Tanzania Olimpiki – 2

USHINDI ule wa medali ya dhahabu ya michezo ya Jumuiya ya Madola huko Christchurch, Newzealand, 1974, ukiambatana na rekodi ya dunia ulimweka Fibert Bayi juu kabisa ya orodha ya wanariadha bora duniani na kwa hakika kulipaisha sana jina la Tanzania. Nakumbuka wakati mmoja niliambatana na timu ya Simba kwenda Nigeria na mara tu tulipofika hotelini…

Read More

Dube apewa sharti Yanga SC

WAKATI Prince Dube namba zake zikionekana kuwa nzuri katika kucheka na nyavu ndani ya Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amempa sharti ambalo anaamini kama mshambuliaji huyo akilifuata, basi atakuwa hatari zaidi mbele ya lango la wapinzani. Dube ambaye amejiunga na Yanga dirisha kubwa la usajili msimu huu baada ya kuvunja mkataba ndani…

Read More

Fadlu, Awesu kuna kitu kinapikwa

KUNA kitu kinakuja. Hiyo ni kauli ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids wakati akiendelea kujenga timu yenye wachezaji 15 wapya. Miongoni mwa wachezaji hao yupo kiungo Awesu Awesu ambaye timu hiyo ilipambana vilivyo siku ya mwisho ya dirisha la usajili msimu huu kumalizana na KMC ili atue Msimbazi. Simba katika usajili wa dirisha hili…

Read More

Upelelezi kesi ya aliyekua kocha Simba badobado

UPANDE wa mashtaka katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin inayomkabili aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Muharami Sultan (40) na wenzake umedai kuwa bado unaendelea na upelelezi wa shauri hilo. Sultan na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwemo ya kusafirisha dawa hizo zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja na kutakatisha…

Read More

Azam Fc yakabidhiwa Milioni 5 za Goli la Mama

KLABU ya Azam FC ya jijini Dar es Salaam, imekabidhiwa Sh milioni 5 ya Goli la Mama kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, kutokana na ushindi wake bao 1-0 dhidi ya APR ya Rwanda, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wengine walionyakua zawadi hiyo ya Goli la…

Read More