
Aliyezuia usajili Fountain Gate huyu hapa
Mabosi wa Fountain Gate, bado wanahaha kunusuru usajili ili kuanza msimu mpya, lakini kama unataka kumjua staa aliyezuia usajili ni Rodrigo Figueiredo Calvalho. Fountain Gate imeshindwa kucheza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo, kutokana na madai ya kusitishiwa mkataba kwa Rodrigo, raia wa Brazil. Mshambuliaji huyo ambaye aliitumikia timu hiyo kwa…