Usalama wa watoto kwenye viwanja vya michezo

Katika viwanja vya michezo nchini, mchezo wa mpira wa miguu una nafasi ya pekee katika nyoyo za Watanzania. Wakati wa mechi kubwa, hususani zile zinazohusisha timu za Simba na Yanga, viwanja vya mpira hujaa maelfu ya mashabiki. Pamoja na shangwe na vigelegele vinavyosikika, kuna kundi moja linalokabiliwa na hatari nyingi zaidi, kundi la watoto.  Licha…

Read More

Watoto walivyo hatarini kwenye viwanja vya soka

Katika viwanja vya michezo nchini, mchezo wa mpira wa miguu una nafasi ya pekee katika nyoyo za Watanzania. Wakati wa mechi kubwa, hususani zile zinazohusisha timu za Simba na Yanga, viwanja vya mpira hujaa maelfu ya mashabiki. Pamoja na shangwe na vigelegele vinavyosikika, kuna kundi moja linalokabiliwa na hatari nyingi zaidi, kundi la watoto.  Licha…

Read More

Aisha Mnunka sasa kuburuzwa TFF

MRATIBU wa Simba Queens, Selemani Makanya amesema viongozi wa timu hiyo iliyopo Ethiopia kushiriki fainali za michuano ya Klabu Bingwa kwa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kusaka tiketi ya kucheza Klabu Bingwa ya Afrika, wamejiandaa kumburuza straika, Aisha Mnunka kwa Shirikisho la Soka (TFF) kwa utoro. Mnunka anadaiwa hajaripoti hadi sasa katika klabu hiyo kama…

Read More

Madina awasha tena moto Uganda

MTANZANIA Madina Iddi anaendelea kuwanyanyasa Waganda baada ya kushinda tena mashindano ya wazi ya wanawake ya Uganda yaliyomalizika mwshoni mwa juma jijini Kampala. Ushindi huu unakuja takriban mwezi mmoja baada ya Madina kushinda mashindano ya wazi ya wanawake ya Zambia akiimshinda Mganda Peace Kabasweka kwa mikwaju 21. Ikumbukwe kuwa wakati Madina Iddi akimshinda Kabasweka nchini…

Read More

Tanzania Prisons yageukia straika haraka

ACHANA na matokeo ya pointi moja waliyovuna ugenini dhidi ya Pamba Jiji, benchi la Tanzania Prisons limesema linahitaji kuongeza makali eneo la ushambuliaji kabla ya higi haijachanganya. Prisons ilianzia ugenini kukipiga na Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu, ambapo mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, iliisha kwa suluhu ya bila kufungana….

Read More

Kipa KenGold mikwara mingi Bara

KIPA wa Ken Gold, Castory Mhagama amesema wanaoibeza timu hiyo kwa kutokuwa na wachezaji wengi wenye uzoefu, wasubiri kwani ligi ndio imeanza na matokeo yatazungumza. Mhagama anayecheza kwa mara ya kwanza Ligi Kuu, amekuwa na rekodi ya kipekee baada ya kuipandisha timu hiyo ya mkoani Mbeya akiipa ubingwa wa Championship msimu uliopita. Kipa huyo ndiye…

Read More

Azam yapata ushindi mwembamba nyumbani

Azam FC imeanza vyema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua za awali baada ya kuichapa APR FC ya Rwanda bao 1-0 Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Timu mbili kutoka Tanzania Azam FC na Yanga zinawakilisha kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa baada ya kumaliza nafasi mbili za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Gamondi acharuka!… Amtaja Chama | Mwanaspoti

YANGA imeshinda mabao 4-0 dhidi ya Vital’O ya Burundi katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kitu cha kushangaza ni kocha mkuu, Miguel Gamondi amewaka kutokana mastaa wa timu hiyo kukosa umakini katika kutumia nafasi, akisema wenyeji wa mechi hiyo walistahili kupigwa bao nyingi. Yanga ilipata ushindi huyo kwenye Uwanja wa Azam…

Read More