Ceasiaa yaigomea Yanga Princess | Mwanaspoti

WAKATI Ceasiaa Queens ikitema na kuingiza nyota wapya 10 wakiwamo watano wa kimataifa, kocha mkuu wa timu hiyo, Noah Kanyanga amethibitisha kugomea ofa aliyoletewa na Yanga Princess akidai haikumshawishi. Walioongezwa ni straika Tantine Mushiya (DR Congo), mabeki Lukiya Namubiru, Tukamuhebwa Recho na Dorcus Nabuufu na winga Halima Nanteze wote kutoka Uganda. Wengine walioongezwa ni wazawa…

Read More

Fadlu aanza kwa kishindo, Simba ikikaa kileleni

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameanza kwa kishindo Ligi Kuu Bara baada ya kuiongoza timu hiyo kupata ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Tabora United katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Azam, Complex, jijini Dar es Salaam na kukwea hadi kileleni mwa msimamo ikiing’goa Singida Black Stars. Fadlu ni mara ya kwanza kufundisha…

Read More

Mapromota wafichua tatizo ngumi Mbeya

WADAU wa mchezo wa ngumi mkoani Mbeya wamesema mchezo huo unashindwa kupiga hatua kubwa kutokana na mabondia wa mikoani kutopewa nafasi kama ilivyo Dar es Salaam na hivyo kuwafanya wakali wengi wa mikoani kukimbilia jijini humo. Baadhi ya mabondia ambao awali walikuwa wakitamba kwa kutoa vichapo mkoani Mbeya kama Tony Rashid na Alfonce Mwambalange ‘Mchumiatumbo’…

Read More

OLIMPIKI 2024: Tumevuna tulichopanda | Mwanaspoti

ACHA niwe mkweli tu, tangu mwanzo binafsi niliamini timu yetu ya Tanzania iliyoshiriki Michezo ya 33 ya Olimpiki huko Paris, Ufaransa iliyomalizika Jumapili ya wiki iliyopita ilikuwa dhaifu sana, kiasi haikuwa na uwezo wowote. Sio tu wa kushinda medali, bali hata ile chembe ya kutia kishindo cha maana kwenye michezo hiyo mikubwa kuliko yote duniani….

Read More

Yanga ilivyoonyesha ukubwa mbele Vital’O

YANGA imecheza dakika 90 za kwanza katika mechi ya awali ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Vital’O licha ya tambo na kejeli zilizotolewa mapema na Warundi waliodai Vijana wa Jangwani ni wadogo, hivyo watanywewa kama ‘supu’ mapema tu uwanjani. Hata hivyo, kile kilichoonekana kwenye…

Read More

Arteta mataji yalimpita, pesa zikamfuata

LONDON, ENGLAND: WANASEMA hata bahati mbaya ni bahati. Kwa Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta kwa kukosa taji la Ligi Kuu England misimu miwili mfululizo hasa kutokana na kuwa na kikosi bora, ni bahati mbaya, lakini kwa upande mwingine ni bahati kwake. Arsenal ilishindwa kwa pointi mbili dhidi ya Manchester City na kuambulia nafasi ya pili…

Read More

Singida Black Stars yaanza na moto  Ligi Kuu Bara

Singida Black Stars imeanza kwa kishindo msimu mpya wa Ligi Kuu Bara baada ya kuikaribisha na kipigo kizito, KenGold iliyopanda daraja kwa kuinyuka mabao 3-1 katika pambano tamu lililopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa. KenGold iliyopanda daraja sambamba na Pamba Jiji kutoka Ligi ya Championship, ilikumbana na kipigo hicho licha ya kucheza kwa dakika…

Read More

Kilichoibeba Kriketi U19 | Mwanaspoti

MPANGO wa muda mrefu wa kuupeleka mchezo wa kriketi katika shule za msingi na sekondari nchi nzima ndiyo siri ya ushindi wa timu ya vijana wa chini ya miaka 19 katika michezo ya kufuzu Kombe la Kunia iliyomalizika jijini hivi karibuni. Tofauti na miaka ya nyuma, kriketi hivi sasa inachezwa na vijana wa shuleni karibu…

Read More

CRDB Bank Marathon ilivyonoga Dar

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko ameipongeza taasisi ya CRDB Bank Foundation kwa kuendelea kuandaa mbio za CRDB Bank Marathon ambazo zimejielekeza katika kusaidia jitihada za serikali kuboresha sekta ya afya, kusaidia wenye uhitaji, pamoja na kukuza ustawi wa jamii. Biteko ametoa pongezi hizo wakati wa kilele cha msimu wa tano…

Read More

Pamba Jiji yarudi Ligi Kuu na gundu

PAMBA Jiji juzi Ijumaa ilicheza kwa mara ya kwanza mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita miaka 23 tangu iliposhuka daraja mwaka 2001 na kuishia kutoka suluhu na Tanzania Prisons, lakini sare hiyo huenda ikaigharimu timu hiyo kwa kupigwa faini au  kunyang’anywa pointi kwa tuhuma za kudaiwa kuchezesha wachezaji wasiokuwa na leseni za uchezaji…

Read More