Ouma hajakata tamaa Coastal Union

LICHA ya Coastal Union kufumuliwa mabao 3-0 katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika na Bravos do Marquis ya Angola, kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya David Ouma amesema bado hajakata tamaa na matokeo hayo akijipanga kupindua meza mchezo wa marudiano. Coastal iliyorejea katika michuano ya kimataifa tangu mwaka…

Read More

Tabora United yamruka Yusuph Kitumbo

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuipiga mkwara Tabora United kuwa itaichukulia hatua ya kinidhamu kwa kuendelea kufanya kazi na Yusuph Kitumbo aliyefungiwa maisha kujihusishwa na soka, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kumruka ukidai haumtambui kama kiongozi wa klabu hiyo. TFF jana ilitoa onyo la mwisho kwa Tabora United ambayo jana ilikuwa uwanjani…

Read More

Siku nyingine ya Simba kujiuliza

Makocha Fadlu Davids wa Simba na Francis Kimanzi wa Tabora United leo kila mmoja ataanza kuonja joto la Ligi Kuu Tanzania Bara wakati timu zao zitakapokutana kwenye Uwanja wa KMC, Mwenge, Dar es Salaam kuanzia saa 10:00 jioni. Wawili hao wote hii ni mara yao ya kwanza kufundisha ndani ya ardhi ya Tanzania baada ya…

Read More

WAKALA WA VIPIMO ZANZIBAR WAJIFUNZA KUTOKA WMA BARA

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai (mwenye fulana nyeusi-kushoto), akiwa katika ziara ya mafunzo Bandari ya Mtwara. Agosti 17, 2024 kujionea na kujifunza namna majukumu yanayotekelezwa na Wakala wa Vipimo Tanzania Bara (WMA) katika sekta mbalimbali. Na.Veronica Simba – WMA Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai amefanya…

Read More

KMC yaikamua Simba Sh100 Milioni

WALIOSEMA hakuna mkate mgumu mbele ya chai wala hakukosea, kwani baada ya mikwara mingi ya kudai kumzuia kiungo mshambuliaji Awesu Awesu kutoenda kokote, KMC imemuachia nyota huyo, lakini ikivuna Sh100 milioni kutoka Simba iliyombeba. Awali, KMC iliigomea Simba iliyomsajili Awesu na kumpeleka kambini Ismailia, Misri kabla kukimbilia Kamati ya Sheria na Hadhi la Wachezaji ya…

Read More

SI MCHEZO: U-N’Golo Kanté ndani ya Maxi Nzengeli

MAISHA yako yanaweza au kuna mtu anafananishwa nayo iwe unajua au pasipo kujua. Uko ule ule wa mwonekano kuanzia sura na wa matendo, tabia na mengine kama ilivyo kwa nyota wa soka, hapa namzungumzia Maxi Mpia Nzengeli na Ng’olo Kante. Kwa mambo yao uwanjani na nje ya uwanja, unaweza ukaona kuna baadhi wanafanana na yanavutia…

Read More

Azam FC, JKU kanyaga twende kimataifa

AZAM FC kutoka Bara na JKU ya Zanzibar zitakuwa na jukumu zito leo kuiwakilisha nchi Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali kwenye viwanja mbalimbali. Azam iliyomaliza ya pili katika Ligi Kuu Bara itakuwa katika Uwanja wa Azam Complex kucheza na APR ya Rwanda kuanzia saa 12:00 jioni, huku JKU ikiikaribisha Pyramids ya Misri dimba…

Read More

Kocha Fadlu achimba Mkwara… “Mtaona shoo”

WAKATI pambano la Namungo na Fountain Gate likiahirishwa jana Jumamosi kwa sababu za ishu za usajili, kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam, Mnyama Simba itashuka uwanjani kuanza msako wa taji la 23  la Ligi Kuu Bara kwa kuikaribisha Tabora United inayocheza msimu wa pili sasa. Mechi hiyo itakayopigwa kuanzia saa 10:15…

Read More

Matatizo Ya Mikataba Ya Wachezaji

MWAKA 2000, Yanga ilimsajili kijana wa kidato cha pili shule ya sekondari Makongo, aliyekuwa akiichezea Kagera Stars (sasa Kagera Sugar), aliyeitwa Ephraim Makoye. Baadaye ikabainika kuwa kijana huyo pia alisajiliwa na Simba, hivyo kuzua utata mkubwa. Wakati huo mambo ya mikataba ya wachezaji na klabu hayakuwapo na wala chama cha soka (FAT) hakikuyatambua kabisa. Kilichofanyika…

Read More

NIPE, NIKUPE! Dili za kubadilishana wachezaji zilizokuwa gumzo Ulaya

LONDON, ENGLAND: LISEMWALO ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kutokea dili kubwa la kubadilishana wachezaji, litakalomshuhudia straika Romelu Lukaku akienda Napoli na mwenzake, Victor Osimhen akitua Chelsea. Bila shaka ni dili linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka wa huko Ulaya. Kinachoelezwa ni kwamba, Chelsea inahitaji huduma ya straika mpya kwenye kikosi chao na wanamtazama…

Read More