Unstoppable Yanga, Chama aanza kazi

YANGA imeendelea kuwapa raha mashabiki wake baada ya kuanza vyema michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa ushindi mabao 4-0 dhidi ya Vital’O ya Burundi. Katika mchezo huo wa awali uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar as Salaam, Yanga ilipata bao la kwanza dakika ya tano lililofungwa Na nyota mshambuliaji Mzimbabwe, Prince…

Read More

Kisaka  ala shavu  Alliance | Mwanaspoti

BAADA ya kumaliza kozi ya Leseni ya Diploma A ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Kocha Ally Kisaka amelamba shavu kwa kuongezewa mkataba wa mwaka mmoja na Alliance FC ya jijini hapa inayoshiriki First League. Mzanzibari huyo aliyewahi kuzinoa Geita Gold, Pamba na Stand United aliisaidia Alliance FC kubaki kwenye ligi hiyo msimu uliopita baada…

Read More

Laki moja yakwamisha Ligi ya Kikapu Kigoma

LICHA ya mipango mizuri ya kutaka kuona Ligi ya Kikapu Mkoa wa Kigoma inaanza na kumalizika mapema, mambo yameenda sivyo kutokana na klabu shiriki kushindwa kukamilisha utaratibu wa kujisajili ikiwemo kulipa ada ya Sh100,000. Ligi hiyo ilipangwa kuanza Agosti 8, lakini hadi sasa imeshindwa kuchezwa na uongozi wa kikapu mkoani humo umeeleza sababu, japo unapambana…

Read More

Ngushi afungua kitabu cha mabao Ligi Kuu Bara

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa FC ya Kigoma, Crispin Ngushi amekuwa mchezaji wa kwanza kwa msimu huu kufunga bao katika mechi za Ligi Kuu Bara 2024-2025 wakati akiitanguliza Mashujaa kwenda mapumziko ikliwa mbele kwa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji. Ngushi ambaye amewahi kutamba na timu za Mbeya Kwanza aliyopanda nao Ligi Kuu misimu mitatu iliyopita, kabla…

Read More

Dube aandika historia mpya CAF

WAKATI Yanga ikienda mapumziko ikiwa mbele kwa bao 1-0 dhidi ya Vital’O ya Burundi, mfungaji wa bao hilo la pekee hadi sasa, mshambuliaji Prince Dube, ameweka historia katika michuano hiyo akiwa nchini. Yanga inacheza dhidi ya Vital’O katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo uliopigwa kwenye…

Read More

TOTAL FOOTBALL: Nani atatoboa? | Mwanaspoti

MANCHESTER, ENGLAND: KUELEKEA msimu huu wa Ligi Kuu England mmoja kati ya mastaa wanaotarajiwa kufanya makubwa ni straika wa Manchester City, Erling Haaland. Haaland ambaye alijiunga na Man City mwaka 2022, anatarajiwa kuvunja rekodi mbalimbali zinazoendelea kuishi katika ligi hiyo. Moja kati ya rekodi hizo ni ile ya Dixie Dean aliyefunga mabao 60 ya EPL…

Read More

Metacha aitaka tuzo ya Matampi

KIPA wa Singida Black Stars, Metacha Mnata amesema msimu huu anaitaka ile tuzo ya kipa bora wa Ligi Kuu Bara iliyochukuliwa na Ley Matampi wa Coastal Union msimu uliopita. Metacha ameliambia Mwanaspoti kwamba, msimu huu anataka kuwa na clean sheet nyingi zitakazomfanya aibuke kinara miongoni mwa wa makipa wa ligi hiyo. “Msimu huu natamani kuandika…

Read More

Kampuni ya siri nyuma ya mgogoro wa P-Square

NI miaka mingi sasa wanamuziki pacha Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square kutoka Nigeria hawana maelewano na hivyo kila mmoja kushika njia yake kimuziki na kifamilia, lakini hiyo haijawa mwarobaini wa tofauti zao. Kampuni ya siri ndiyo ipo nyuma ya mgogoro wao ambao umeshuhudiwa hivi karibani katika mitandao ya kijamii ikiwa ni matokeo…

Read More

Namungo, Fountain Gate wapigwa kalenda

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuahirisha mchezo wa ligi baina ya Namungo FC na Fountain Gate FC uliokuwa uchezwe leo katika Uwanja wa Majaliwa Lindi. Taarifa iliyotolewa na TPLB leo, imesema kuwa tarehe mpya ya kuchezwa mechi hiyo itapangwa. “Mchezo kati ya @namungofc na @fountaingate_fc umeahirishwa na utapangiwa tarehe nyingine,” iliandika TPLB katika…

Read More

Kazi imeanza Kizimkazi Festival | Mwanaspoti

NI michezo, burudani, uchumi na fursa mbalimbali za kijamii katika tamasha la nne la Kizimkazi linalofunguliwa leo Jumapili na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi huko Kizimkazi mkoa wa Kusini Unguja. Tamasha hilo linatajwa kufungua fursa mbalimbali za kijamii, kimichezo na kiuchumi. Katibu wa Kamati Kuu ya tamasha hilo lenye kauli…

Read More