Simba SC kama Reggae Boys

NOBODY can stop reggae! Hii ni ngoma matata iliyowahi kupigwa na kuimbwa na Lucky Dube. Gwiji huyo wa miondoko ya Reggae, kwa sasa ametangulia mbele ya haki, lakini ngoma yake inaendelea kutamba. Si unajua Reggae haipigwi na wanyoa viduku. Miondoko hii inapigwa na kuimbwa na watu wenye rasta. Sasa unaambiwa pale Msimbazi, kuna kikosi cha…

Read More

TAMASHA LA KIZIMKAZI LAZIDI KUNOGA,SIMBA WAKABIDHI JEZI 100

Na Said Mwishehe, Michuzi TV- Makunduchi KLABU ya Simba ya jijini Dar es Salaam imekabidhi jezi 100 kwa mashabiki wa Simba walioko Kizimkazi katika Wilaya ya Kusini visiwani Zanzibar.Jezi hizo zimekabidhiwa leo Agosti 17,2024 kwa Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Mwenyekiti wa Mwanamke Initiatives Foundation Wanu Hafidh Ameir ambaye atakabidhi jezi hizo kwa…

Read More

Jiongeze: Kamwe na ufalme wa Jangwani

Kwa sasa inajulikana yupi ni yupi pale Jangwani. Nenda kwenye kurasa zao mitandaoni, tazama ‘intaraksheni’ ya mashabiki wa timu yao. Kuna namna Kamwe anacheza na akili za mashabiki. Mitaani mpaka mitandaoni anaishi kama sehemu yao. Anaweka picha kamili ya shabiki wa Yanga anayefanya kazi pale Yanga. Akiposti jambo la Yanga, hupata muamko mkubwa na hata…

Read More

MTU WA MPIRA: Azam FC wana deni kubwa kimataifa

PAZIA la michuano ya kimataifa inayoendeshwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ngazi ya klabu limefunguliwa rasmi wikiendi hii. Klabu mbalimbali Afrika sasa zinapambana kuweka heshima kuanzia juzi Ijumaa na jana zilipigwa mechi nyingine kabla ya leo Jumapili kupigwa michezo mingine. Kwa Tanzania timu za Yanga, Azam FC, Simba na Coastal Union zinawakilisha nchi. Simba…

Read More

NDIO IPO KIZIMKAZI HALAFU KUNA KIZIMKAZI YA SAMIA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Kizimkazi NIMETAMANI kukaa kimya lakini nimeshindwa acha nisime japo kidogo angalau moyo uwe huru. Nafahamu kazi kubwa ya moyo ni kusukuma damu lakini chakushangaza moyo wangu eti umeamua kujipa na jukumu la kuhifadhi mambo na matukio. Nisipokuwa makini moyo utaanza kujihusisha na mambo ambayo sio ya kwake.Ni bora niseme moyo uwe…

Read More

Messi alamba Bilioni, Mazembe yakwaa kisiki mahakamani

Dar es Salaam. Mahakama Kuu imelikataa ombi la timu ya Tout Puissant Mazembe Englebert Sarl (TP Mazembe) ya Democratic Republic of Congo (DRC) ya kutaka itoe amri ya kuzuia zaidi ya Sh1.5 bilioni za mchezaji wa kimataifa wa Tanzania. Uamuzi huo ulitolewa Agosti 16,2024 na Jaji Arnold Kirekiano, alisema kutolewa kwa amri ya kuzuia fedha…

Read More

Sababu Onyango kutotangazwa Dodoma Jiji

IMEELEZWA kwamba sababu ya uongozi wa Dodoma Jiji  kuchelewa kumtangaza beki Joash Onyango ni kutaka mchezaji huyo amalizane kabisa na Singida Black Stars aliyoichezea msimu uliopita. Onyango bado ana mkataba na Singida Black Stars, hivyo Dodoma Jiji inataka imchukue kama mchezaji huru na siyo kucheza kwa mkopo kama ilivyokuwa awali. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji,…

Read More

Simba, Yanga kuoga manoti CAF

Dar es Salaam. Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) limetangaza kutoa kiasi cha Dola 50,000 kwa kila timu inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kuanzia msimu huu. Uamuzi huo unalenga kuzisaidia timu ziweze kumudu mechi za raundi mbili za awali za mashindano hayo kabla ya ile ya makundi. Taarifa iliyotolewa…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Shika peni na karatasi Ligi ya mfalme Charles

NA imerudi tena. Wakati inaondoka unaweza kudhani haitarudi tena hivi karibuni lakini ghafla imerudi tena. Ligi Kuu ya England. Zamani ilikuwa Ligi Kuu ya Malkia Elizabeth lakini baada ya yeye kutoweka duniani amemuachia mwanae Mfalme Charles. Dunia imeanza kusimama upya. Inanikumbusha katika kikao fulani cha wakubwa wa Ulaya pale Ujerumani kila kiongozi mkubwa alikuwa anajisifu…

Read More