‘First 11’ ya wachezaji wa kike kimataifa

UBORA wa ligi ya wanawake Tanzania (WPL) unaonekana kukua na hilo linathibitishwa kutokana na mastaa kusajiliwa katika ligi kubwa Ulaya. Mfano mzuri ni nyota wa Brighton, Aisha Masaka aliyesajiliwa msimu huu akitokea BK Hacken ya Sweden, Clara Luvanga, Opah Clement na wengineo. Kwa wingi wao na ubora wanaoonyesha kwenye klabu zao, Mwanaspoti limekutengenezea kikosi cha…

Read More

Dar City, UDSM ngoma ngumu BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi katika mzunguko wa pili imeonyesha timu zinazoongoza mashindano hayo, Dar City na UDSM Outsiders zikipata upinzani mkubwa kutoka kwa timu zinazofuatia. Upinzani huo unatokana na timu zote kupambana kutafuta nafasi ya kucheza hatua ya nane bora. Mbali ya timu hizo kutafuta nafasi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kila la kheri timu zetu kimataifa

KUANZIA leo Ijumaa hadi Jumapili, timu zetu tano zinazoiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya klabu Afrika zitakuwa uwanjani kuanza kupeperusha bendera katika mashindano hayo. Jumamosi, Yanga itakuwa katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuumana na Vital’O ya Burundi, mchezo ambao wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika watakuwa wakihesabika wapo ugenini. Jioni yake saa…

Read More

FADLU; Kazi ipo hapa Ligi Kuu Bara 2024/25 ikianza

BAADA ya misimu mitatu ya tabu ambayo Simba wameipitia wakati watani zao wa jadi Yanga wakiwa na shangwe kubwa, msala umekwenda kumuangukia Kocha Fadlu Davids ambaye ana kazi kubwa ya kufanya kuirudisha timu hiyo kwenye kilele cha furaha. Ipo hivi; Simba ambayo misimu minne mfululizo kuanzia 2017-2018 hadi 2020-2021 ilikuwa ikitamba kwa kubeba makombe ya…

Read More

Gamondi apiga biti mastaa Yanga mapema

IKIWA imesalia siku moja tu, kabla ya Yanga kushuka uwanjani kuvaana na Vital’O ya Burundi katika mechi ya awali ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kocha wa kikosi cha wananchi, Miguel Gamondi awachimba biti mastaa wa timu hiyo ili isije ikawakuta aibu mbele ya wapinzani wao hao. Yanga itakuwa ugenini mbele ya…

Read More

Dah! APR yaingiwa ubaridi kwa Azam

KOCHA msaidizi wa APR FC ya Rwanda, Thierry Hitimana amesema, baada ya kuwatazama wapinzani wao Azam FC katika michezo yao ya hivi karibuni kabla ya kukutana nao, amegundua wana timu nzuri ya ushindani hivyo wanaenda kupambana kwa heshima. Kauli ya Thierry, inajiri wakati timu hizo zikijiandaa kushuka uwanjani Jumapili katika mchezo wa awali wa raundi…

Read More

Ateba awaweka kikaangoni wawili Simba

Klabu ya Simba jana imekamilisha usajili wa Leonel Ateba kutoka USM Alger ya Algeria na saa 4:00 usiku ikamtambulisha rasmi. Wakati Wanasimba wakitamba na ujio wa Ateba, presha imehamia kwa wachezaji wawili ambao mmojawapo ataonyeshwa mlango wa kutokea ili kumpisha Ateba. Wachezaji hao ni mshambuliaji Freddy Koublan ‘Fungafunga’ na kipa Ayoub Lakred. Inaripotiwa kwamba wachezaji…

Read More

WMA yaeleza fursa uwekezaji sekta binafsi

Veronica Simba na Paulus Oluochi – WMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla ametaja fursa kadhaa za uwekezaji unaoweza kufanywa na sekta binafsi katika tasnia ya vipimo nchini Tanzania. Kihulla ameeleza fursa hizo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga aliyetembelea Kituo cha Uhakiki wa…

Read More