Yanga yadaiwa kuingilia kati dili la Awesu

WAKATI sakata likiwa halijapoa la kiungo Awesu Awesu kugoma kurejea katika klabu yake ya KMC kutokana na usajili wake kwenda Simba kuonekana ni batili, Yanga ni kama imepigilia msumari, baada ya kutajwa kuingilia dili hilo. Ipo hivi: Awesu Awesu alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja na KMC, akaandika barua ya kuvunja na kuilipa timu hiyo…

Read More

U-N’Golo Kanté ndani ya Maxi Nzengeli

KUNA tabia za ndani na nje ya uwanja alizonazo winga wa kushoto Yanga, Maxi Mpia Nzengeli (24), zinazofanana na kiungo mkabaji wa Al-Ittihad ya Saudi Arabia, Ngolo Kante (33). Nzengeli ni kama anaendana na tabia ya jina lake, ambalo kikwao ni malaika, hana mambo mengi na kitu wanachokipenda mashabiki wake ni kuchomekea awapo uwanjani. Staa…

Read More

10 Kali za mwanzo kwa Pamba, KenGold

RATIBA ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, imewekwa hadharani, huku tukishuhudia timu mbili zilizokuwa zinacheza Ligi ya Championship za Pamba ya Mwanza na KenGold ya Mbeya zikipishana na Mtibwa Sugar na Geita Gold zilizoshuka rasmi daraja. Wakati mashabiki wa timu hizo za Pamba na KenGold wakiwa na mzuka na kusubiria kile ambacho miamba…

Read More

Hawa nao kuliamsha Ligi Kuu Bara 2024/25

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara unaanza rasmi leo kila timu ikianza hesabu mpya ikiwania pointi 90 za michezo 30 inayopatikana ndani ya msimu mmoja. Kila timu ilikuwa na muda wa zaidi ya siku 30 za kujipanga kwa kusajili vikosi vyao pamoja na kuboresha mabenchi yao ya ufundi tayari kwa msimu mpya ambao rasmi utafunguliwa…

Read More

Timu mkao wa kula Ligi Kuu Bara 2024/25

Wakati pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024/2025 likifunguliwa kesho, timu zimetamba kuwa maandalizi ziliyofanya yanazipa matumaini ya kila moja kutimiza malengo wakati msimu utakapofikia tamati mwakani. Mchezo baina ya Pamba Jiji na Tanzania Prisons utakaochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kesho utafungua pazia na baada ya hapo utafuatiwa na mechi…

Read More

Noti za Waarabu zaitibulia Simba

SIMBA kabla ya kumsajili Leonel Ateba ilikuwa imepiga hodi kwa Al Ittihad ya Misri kuulizia uwezekano wa kumsajili straika tishio wa Angola, Agostinho Cristovao Paciencia ‘Mabululu’, lakini ghafla mpango wao ukatibuliwa na fedha za kumwaga za Al Ahli Tripoli ya Libya ambayo ndio imefanikiwa kumnasa mshambuliaji huyo. Mpango wa Simba kumsajili Mabululu ulianza tangu baada…

Read More

Mgunda aahidi taji la CECAFA Simba Queens

Wakati msafara wa wachezaji 25 wa Simba Queens wakiondoka jana kuelekea Ethiopia ambako timu hiyo itashiriki mashindano ya klabu bingwa wanawake ya baraza la vyama vya mpira wa miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kocha wa timu hiyo, Juma Mgunda ametamba kutwaa ubingwa. Mashindano hayo ya kila mwaka, bingwa wake ndio hupata nafasi ya kushiriki…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mpole karibu tena nyumbani

HATIMAYE George Mpole amerejea nyumbani baada ya kucheza kwa misimu miwili ugenini huko DR Congo. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Geita Gold, amejiunga na Pamba ya Mwanza ambayo imenasa saini yake akitokea FC Lupopo  ambayo alijiunga nayo mara baada ya kumalizika kwa msimu wa 2021/2022. Suala la George Mpole kushindwa kudumu na kung’aa katika Ligi…

Read More

Bodi ya Ngumi Uingereza kuwanoa Watanzania wawili

Bondia wa zamani wa ngumi za kulipwa, Amos Mwamakula na aliyekuwa kocha wa mabondia wa kike nchini Comoro, Halina Abdallah Ally wamepewa fursa ya kujifunza namna ya kuwahudumia mabondia wanaopata majeraha ‘cutting’ wakiwa ulingoni. Bondia na kocha huyo watajifunza nchini Uingereza kwa siku sita kuanzia Septemba 11-16 kozi ya cut man na corner man ambayo…

Read More