Katwila apewa mmoja Geita Gold

Geita Gold imempa mkataba wa mwaka mmoja, Zuberi Katwila kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship. Katwila ambaye amewahi kuzifundisha Mtibwa Sugar, Mbeya City na Tanzania Prisons, atasaidiwa na Paul Nonga ambaye pia atakuwa kocha wa viungo pamoja na Agustino Malindi akiwa kocha wa makipa. Katwila anachukua mikoba iliyoachwa…

Read More

Bado Watatu – 23 | Mwanaspoti

Isitoshe, mume wangu alinipigia simu akiwa Dar, akaniambia kwamba anatarajia kwenda Zambia alfajiri ile. Hapo nikaona Shefa hakushambuliwa na mume wangu.Sasa atakuwa ni nani ambaye alimfuata humu ndani? Na ni kwa nini aje amshambulie hapa kwangu? Pia nikajiuliza huyo mtu alijuaje kuwa Shefa alikuwa kwangu mpaka akaja kumshambulia?Swali hilo likanigutusha mimi mwenyewe. Nikajiambia kumbe kuna…

Read More

Taifa Stars v Niger Mechi ya hesabu

KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars jioni ya leo kinatarajia kushuka kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikabili Niger ikiwa ni mechi ya hesabu za kuisaka tiketi ya kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia 2026. Baada ya kukosa tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki fainali hizo za mwakani kutokana na Morocco kuinasa…

Read More

Taifa Stars Stars v Niger Mechi ya hesabu

KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars jioni ya leo kinatarajia kushuka kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikabili Niger ikiwa ni mechi ya hesabu za kuisaka tiketi ya kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia 2026. Baada ya kukosa tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki fainali hizo za mwakani kutokana na Morocco kuinasa…

Read More

JKU yang’olewa kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika

Yei Joint Stars ya Sudan Kusini imeanza kwa ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKU ya Zanzibar kwenye mechi ya kwanza ya kundi C la michuano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex, Nairobi, Kenya. Matokeo hayo yanaifanya JKU kuondolewa kwenye mashindano hayo ya Cecafa kwa Wanawake…

Read More