Hatma kesi na uchaguzi TFF kujulikana saa 10 ya leo

HATMA ya  Uchaguzi Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, itafahamika saa 10 jioni wakati Mahakama itakapotoa uamuzi wa mapingamizi ya TFF katika shauri linaloikabili pamoja na uamuzi wa maombi kusimamisha kwa muda. ‎Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 16, 2025 mjini Tanga kwa ajili ya kupata…

Read More

Vipigo vyaichanganya Zambia | Mwanaspoti

KWA mujibu wa taarifa kutoka Zambia vipigo vitatu mfululizo kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 yanayoendelea ukanda wa Afrika Mashariki vimemuweka kwenye wakati mgumu kocha mkuu wa Chipolopolo, Avram Grant. Zambia, iyopo kundi A, imeondolewa rasmi kwenye mashindano hayo baada ya Alhamisi kupoteza mechi ya tatu mfululizo kwa kuchapwa…

Read More

Hatma kesi na uchaguzi TFF kujulikana leo

HATMA ya  Uchaguzi Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, itafahamika saa 10 jioni wakati Mahakama itakapotoa uamuzi wa mapingamizi ya TFF katika shauri linaloikabili pamoja na uamuzi wa maombi kusimamisha kwa muda. ‎Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 16, 2025 mjini Tanga kwa ajili ya kupata…

Read More

Hersi akwama tena, CCM yamkata Kongwa

Rais wa Klabu ya Yanga, Hersi Said ameshindwa kupenya katika mchujo wa majina 13 ya wagombea ubunge Jimbo la Kongwa. Hersi ameungana na wagombea wengine 11 ambao majina yao yameshindwa kupenya katika mchakato huo, huku aliyeshika nafasi ya pili kwenye kura za maoni Agosti 4, 2025, Isaya Mngurumi akipenya. Mapema leo, Katibu wa CCM Wilaya…

Read More

Azam, Yanga walimaliza kiaina sakata la Ninju

BAADA ya sintofahamu juu ya usajili wa kiungo Nizar Abubakar ‘Ninju’ kutoka JKU ya Zanzibar akijiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka mitatu, huku Azam FC ikiibuka na kudai ni mali yao, mabosi wa klabu hizo wamekutana na kulimaliza na ni rasmi sasa mchezaji huyo atacheza Jangwani. Imeelezwa kuwa Agosti 6, 2024 Azam ilimpa kijana…

Read More

Mastaa wapya waongeza mzuka Pamba Jiji

PAMBA Jiji imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa kuleta wachezaji wa maana na kuachana na wale ambao haijaridhishwa na viwango vyao baada ya msimu uliomalizika kunusurika kushuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara. ‎‎Miongoni mwa nyota wapya waliosajiliwa ni timu hiyo yenye maskani yake jijini Mwanza, ni viungo wawili wazawa, Najim Mussa ambaye ni kiungo mshambuliaji kutoka…

Read More

Azam FC yaifuata Yanga Kigali

BAADA ya kumaliza kambi ya wiki mbili Karatu mkoani Arusha, kikosi cha Azam FC kimeondoka nchini kwenda Rwanda ambako ndiko kinamalizia maandalizi ya msimu mpya wa mashindano. Azam FC itakuwa timu ya pili kutoka Tanzania Bara kutua nchini humo ambapo Yanga tayari ipo jijini Kigali na leo Ijumaa inacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Rayon…

Read More

Wasauzi wamwashia taa ya kijani Maema Simba 

MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo  mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema. Matajiri hao wa Sauzi, wamemuaga kiungo huyo leo Ijumaa, baada ya kuitumikia klabu hiyo miaka minne kwa mafanikio. Hatua ya Maema kupewa ‘Thank you’ ni kama inawashwa taa ya kijani kwa kiungo huyo kutua Simba. Maema ndani ya Mamelodi…

Read More

Wagosi wamrejesha Makambo JR | Mwanaspoti

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa nyota wa Mtibwa Sugar FC na Mashujaa FC, Athumani Masumbuko ‘Makambo Jr’, baada ya mshambuliaji huyo kudaiwa hayupo tayari kuchezea SC Viktoria 06 Griesheim ya Ujerumani. Nyota huyo alijiunga na 1.FCA Darmstadt Julai 25, 2024 kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Mashujaa aliyojiunga nayo msimu…

Read More

Wasauzi wamwashia taa kijani Maema Simba 

MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo  mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema. Matajiri hao wa Sauzi, wamemuaga kiungo huyo leo Ijumaa, baada ya kuitumikia klabu hiyo miaka minne kwa mafanikio. Hatua ya Maema kupewa ‘Thank you’ ni kama inawashwa taa ya kijani kwa kiungo huyo kutua Simba. Maema ndani ya Mamelodi…

Read More