Gamondi apewa ramani kwa Pacome mjipange

IKIWA imebaki siku moja tu kabla ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 kuanza, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua amesema ajipanga kivingine kulinda kibarua alichokianza tangu msimu uliopita na kwamba ubora wa mastaa unavyoleta presha mpya ya nafasi naye yupo tayari kupambana kuendeleza moto. Staa huyo, aliyetua Yanga msimu uliopita akitokea Asec Mimosas ya…

Read More

Namba zinavyomtega straika mpya Simba

Leonel Ateba ana kibarua kigumu cha kuthibitisha kuwa Simba haijakosea kumsajili kwa gharama kubwa juzi akitokea USM Alger kutokana na takwimu zake za ufungaji kuonyesha hazijatofautiana sana na zile za Freddy Koublan na Steven Mukwala ambao kocha Fadlu Davids ameonyesha kutoridhishwa nao. Simba ilikamilisha kwa haraka uhamisho wa Ateba kwa gharama zinazotajwa kufikia Dola 200,000…

Read More

KUELEKEA TAMASHA LA KIZIMKAZI MASHABIKI SIMBA,YANGA NUSURA WAZICHAPE VISIWANI ZANZIBAR

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Zanzibar WAKATI wananchi wa Visiwa vya Zanzibar pamoja na Tanzania Bara wakijiandaa kushuhudia mchezo kati ya mashabiki wa Simba na Yanga inayotarajiwa kufanyika Kizimkazi visiwani hapa, mashabiki wa timu hizo wamejikuta wakiingia katika vita ya maneno nusura wazichape. Mashabiki wa timu hizo kila mmoja amejinadi kuwa timu yake itaibuka mbabe na…

Read More

KenGold msiichukulie poa, yajipanga Ligi Kuu

KWA  mara ya kwanza Ken Gold inatarajia kushiriki Ligi Kuu tangu ilipoanzishwa timu hiyo mwaka 2018 ilipobadilishwa jina kutoka Gipco FC iliyokuwa mkoani Geita. Timu hiyo yenye makazi yake Wilayani Chunya mkoani Mbeya, inajiandaa na Ligi Kuu kwa mara ya kwanza baada ya kupanda daraja ikiwa na rekodi ya ubingwa wa Championship. Ken Gold inayomilikiwa…

Read More

Kalambo aichomolea KenGold jioni | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kipa wa Dodoma Jiji, Aaron Kalambo ameshindwa kujiunga na KenGold iliyopanda Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kushindwa kukubaliana maslahi binafsi licha ya kufanya mazoezi kwa takribani wiki tatu. Nyota huyo wa zamani wa Tanzania Prisons na Geita Gold, aliachana na Dodoma Jiji msimu uliopita, hivyo mabosi wa KenGold wakaanza mazungumzo ili ajiunge…

Read More

Simba, Awesu ngoma nzito, mchongo mzima uko hivi!

KAMA wewe ni shabiki wa Simba na ulikuwa unachekelea usajili wa kiungo mshambuliaji fundi kutoka KMC, Awesu Awesu pole yako, kwani dili la nyota huyo wa zamani wa Azam na Madini limebuma na jana klabu aliyokuwa akiichezea ikimtangaza kumkaribisha upya kikosini kutoka kwa Wekundu wa Msimbazi. Awali Mwanaspoti mwishoni mwa wiki liliwajulisha kuwa dili la…

Read More

Singida kufunga usajili na straika

SINGIDA Black Stars iko katika hatua za mwisho  kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji Abdoulaye Yonta Camara kutoka timu ya Milo ya kwao Guinea, likiwa ni pendekezo la kocha Patrick Aussems.  Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti kwamba  mabosi wa Singida wanapambana kukamilisha dili hilo kabla ya usajili haujafungwa leo usiku. “Kama mambo yataenda sawa…

Read More

Majeruhi yaendelea kuiandama Azam FC

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Abdul Suleiman ‘Sopu’ atakuwa nje kwa takribani wiki mbili hadi tatu baada ya kupata majeraha ya kifundo cha mguu, katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimamoto kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Nyota huyo amegundulika kupata majeraha hayo wakati wa mchezo huo uliopigwa Julai 12 mwaka huu, wakati Azam…

Read More