Guede aanza mikwara mapema, afunguka kuelekea msimu mpya

MSHAMBULIAJI mpya wa Singida Black Stars, Joseph Guede aliyekuwa akikipiga Yanga msimu uliopita amechimba mkwara mpema akisema anatarajia msimu bora kutokana na wachezaji waliopo. Guede aliyeitumikia Yanga kwa miezi sita baada ya kusajiliwa dirisha dogo kuchukua nafasi ya Hafiz Konkoni ameliambia Mwanaspoti kuwa ameshamalizana na mabingwa wa soka nchini vizuri na ndio waliohusika kwa kiasi…

Read More

LIGI KUU SPESHO: Rekodi hizi zinasubiriwa kuvunjwa msimu wa 2024\25

REKODI zinawekwa ili zivunjwe, lakini sio kila rekodi zimekuwa zikivunjwa kuna nyingine zimekuwa zikichukua muda mrefu na nyingine zinavunjwa haraka. Mashabiki wa soka wamepata kushuhudia rekodi mbalimbali kwenye Ligi Kuu Bara. Ligi ambayo imekuwa ikitajwa kuwa bora barani Afrika, ikishuhudiwa wachezaji na makocha mahiri kabisa wakipita na kuacha alama. Yanga ina rekodi yake ya kutwaa…

Read More

LIGI KUU SPESHO: Mechi hizi sio za kukosa

RATIBA ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, imetolewa rasmi na Bodi ya Ligi (TPLB) huku kila timu ikitambua mpinzani itakayeanza naye mapema na itaanza kutimua vumbi Ijumaa hii ya Agosti 16, mwaka huu na kuhitimishwa Mei 24, mwakani. Wakati ratiba inapotolewa kwa kila taifa lolote, jambo la kwanza linaloangaliwa ni michezo yenye hisia…

Read More

Lopez astaafu akikumbushia ya gwiji wa riadha

MICHEZO ya 31 ya Olimpiki iliyomalizika Jumapili iliyopita kule Paris, Ufaransa imeacha kumbukumbu mbalimbali za kihistoria zinazoingia kwenye vitabu kama zilizowekwa miaka mingi iliyopita ambazo zimekuwa hazisahauliki. Mmoja kati ya wanariadha walioacha historia katika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika Ufaransa ni mwanamieleka wa Cuba, Mijain Lopez, ambaye alishinda medali yake ya tano ya dhahabu ya mieleka…

Read More

TFF: Wamrudisha Awesu KMC – Mwanahalisi Online

  KAMATI ya Sheria na hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemaliza utata kwenye Sakata la usajili la mchezaji Awesu Ali Awesu na kueleza kuwa mchezaji huyo ni mali halali ya klabu ya KMC. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea). Uamuzi wa kamati hiyo umekuja kufuatia klabu ya…

Read More

Viwanja vya Ligi Kuu Bara 2024-2025

KWA mujibu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), msimu huu wa 2024-2025, Ligi Kuu Bara itachezwa kwenye viwanja 13 vilivyopo mikoa 10 tofauti. Katika orodha ya viwanja hivyo ambavyo vimetajwa kwenye ratiba ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025, Mkoa wa Dar es Salaam ndiyo wenye utajiri wa viwanja kutokana na kuwepo vinne kati…

Read More

Camara: Tumaini jipya la Simba langoni

SIMBA imepata kipa la maana Mussa Camara, aliyewafanya mabosi wa klabu hiyo kupata jeuri hata kudiriki kumpuuza kipa wao aliyewaheshimisha miaka ya karibuni Aishi Manula. Camara amekuwa mchezaji wa 14 kusajiliwa Simba kati ya 15 kama atangazwa mshambuliaji mpya, ambapo mechi tatu tu zikatosha kuthibitisha kwamba wekundu hao wamepata kipa wa boli. Kipa huyu amecheza…

Read More

Pamba Jiji ilivyojipanga kurejesha hadhi yake

PAMBA Jiji maarufu kama TP Lindanda ‘Wana Kawekamo’ wanarudi Ligi Kuu baada ya miaka 23 tangu waliposhuka daraja mwaka 2000, na Ijumaa itacheza mchezo wake wa kwanza wa michuano hiyo itakapofungua pazia la Ligi Kuu dhidi ya Tanzania Prisons katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Pamba ni miongoni mwa timu zenye umaarufu na historia…

Read More