Simba yamalizana na Israel Mwenda

HATIMAYE sakata la mlinzi wa kulia, Israel Mwenda na Simba limemalizika baada ya klabu hiyo kukubali ombi lake la kuomba kuondoka na kujiunga na timu nyingine. Taarifa ya Klabu ya Simba imebainisha kwamba, beki huyo wa kulia aliyejiunga na timu hiyo Agosti 2021 akitokea KMC, ameruhusiwa na uongozi wa wekundu hao kuondoka baada ya kuomba…

Read More

JIWE LA SIKU: Tatizo Simba sio straika

HAKUNA asiyejua kama Simba kwa sasa ni mpya. Timu hiyo iliyomaliza nafasi ya tatu msimu uliopita imeundwa upya. Ina benchi jipya kabisa la ufundi chini ya Fadlu Davids. Imesajili wachezaji wapya 13. Ni zaidi ya kikosi kizima kuonyesha kwamba Simba kwa sasa ndo kwanza inaanza kujitafuta. Kumbuka ni wiki kama mbili tu, imetoka kambini huko…

Read More

TFF yamrudisha Awesu KMC, Simba yakwepa rungu

Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa kiungo Awesu Awesu kuwa ni mchezaji halali wa KMC hivyo anapaswa kurejea klabuni kwake. Kiungo huyo alitangazwa kutambulishwa na Simba na alikuwa miongoni mwa wachezaji waliokuwepo katika kambi yao ya maandalizi ya msimu ambayo iliwekwa Misri mwezi uliopita….

Read More

Balaa Yanga! Siri za Gamondi zabainika, kazi ipo Ligi Kuu

MIONGONI mwa mambo ambayo yamekuwa yakiibeba Yanga ya Miguel Gamondi kimbinu ni pamoja na viungo wake akiwemo Pacome Zouzoua na Maxi Nzengeli kuwa na uwezo wa kucheza baina ya mabeki wa kati na pembeni ‘half-spaces’ kitu ambacho kimekuwa kikiwaweka wapinzani wao katika wakati mgumu. Katika michezo sita iliyopita kwa Yanga ikiwemo mitatu iliyocheza Afrika Kusini…

Read More

Old School wawekeana mkataba  | Mwanaspoti

Kiongozi wa timu ya kikapu ya Veterani ya Old School kutoka Nairobi, Baikwinga Kobia amesema ujio wa timu yake katika bonanza lililofanyika nchini, umetokana na uhusino mkubwa walionao na Old Gurd. Bonaza hilo la kikapu lilifanyika katika uwanja wa timu ya Old Gurd, ikishirikisha timu za Bahari, Old Gurd, Orji  na Old School. Kobia alilimbia…

Read More

Straika mpya Simba ashtua, Freddy Koublan atajwa!

TAARIFA za Simba kusajili straika mpya kipindi hiki muda mchache kabla ya dirisha kufungwa kesho Alhamisi, zimeshtua wengi, lakini mshtuko zaidi umekuja kwa mchezaji mwenyewe ambaye anatajwa kumalizana na timu hiyo. Leonel Ateba raia wa Cameroon kutoka USM Alger, ndiye anayetajwa kumalizana na Simba akipewa mkataba wa miaka miwili. Straika huyo ana kibarua kigumu cha…

Read More