Watoto Sengerema wapata mafunzo | Mwanaspoti

MAKOCHA wa mpira wa kikapu nchini wanaendelea kuendesha program za mafunzo ya mchezo huo kwa watoto, huku kwa upande wa Mwanza, Kocha wa mkoa huo, Benson Nyasembwa amesema Beka sports consultant ya mkoani humo, iliendesha mafunzo hayo Wilaya ya Sengerema. Nyasebwa aliiambia Mwanasposti mafunzo hayo yaliwahusisha watoto wa kuanzia umri wa miaka 6 hadi 15,…

Read More

KMC yatangaza kumrejesha Awesu akitokea Simba

Klabu ya KMC imetangaza kumrejesha kikosini kiungo Awesu Awesu aliyekuwa akiichezea timu hiyo msimu uliopita kabla ya kuelezwa amesajiliwa na Simba na kutangazwa Julai 17, 2024. Licha ya kutangazwa Simba kama mchezaji mpya atakayekitumikia kikosi hicho cha wekundu kwa msimu wa 2024\25, usajili huo ulikuwa na dosari, kwani KMC ilidai bado ana mkataba na wanakino…

Read More

CIC, Young Proffile zashinda  | Mwanaspoti

CIC iliishinda CUHAS kwa pointi 78-51, katika ligi ya kikapu Mkoa wa Mwanza iliyofanyika katika uwanja wa Mirongo. Katika mchezo huo mchezaji Bryan wa CIC aliongoza kwa kufunga pointi 24 na upande wa CUHAS, Isancho alifunga pointi 17. Mchezo mwingine uliochezwa uwanjani hapo, Young Proffile  iliishindaPlanet kwa pointi 69-51, huku Hamis wa Young Proffile akiongoza…

Read More

Mcameroon aivuruga Chui BDL | Mwanaspoti

POINTI mbili zilizofungwa Mcameroon, Charly Kasseng wa Srelio katika sekunde nne za mwisho za robo ya nne, ziliipa ushindi timu hiyo wa pointi 48-47 dhidi ya Chui, katika ligi ya kikapu (BDL), kwenye Uwanja wa Donbosco, Upanga. Kabla ya sekunde hizo, Chui ilikuwa inaongoza kwa pointi 47 dhidi ya 46 za Srelio na pointi hizo…

Read More

Nani yuko nyuma ya JKU, Uhamiaji?

SAKATA la wawakilishi wa Zanzibar kwenye michuano ya kimataifa kuamua kuchezea mechi zao zote ugenini limeibua sintofahamu kwa wadau. Huku wakihoji ; “Nini kiko nyuma ya timu hizo?” JKU itacheza dhidi ya Pyramids ya Misri mechi zote mbili ugenini sawa na Uhamiaji ambayo pia mechi zake za Shirikisho dhidi ya Al Ahly Tripoli ya Libya…

Read More

Kukamatwa vigogo Chadema kwaibua hofu uchaguzi ujao

Dar es Salaam. Wadau wa siasa na wanaharakati nchini wamesema hatua ya Jeshi la Polisi kuwakamata wanachama na viongozi wakuu wa Chadema na kuzuia kongamano lao vijana wametoa maoni tofauti, baadhi yakieleza hofu kuhusu uwanja sawa kwenye chaguzi zijazo. Vilevile, baadhi ya wadau wame wamekumbushia falsafa ya R4 za Rais Samia Suluhu Hassan – maridhiano,…

Read More

DANKI ya Mabruary yawakuna mashabiki

PAMOJA na ushindi ilioupata Dar City wa pointi 94-60 za Mchenga Stars, lakini kivutio kilikuwa ni Jamel Marbuary aliyekosha mashabiki kutokana na danki zake kwenye mchezo wa Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga. Mabruary alifunga pointi mbili kwa mtindo wa kudanki kwa kuruka na mpira umbali wa mita…

Read More

Matampi awaibukia Waangola | Mwanaspoti

KIKOSI cha wachezaji 22 cha Coastal Union na benchi lote la ufundi, alfajiri ya kesho Jumatano kimeanza safari kuifuata AS Bravo ya Angola huku kipa namba moja na timu hiyo, Ley Matampi akijumuishwa. Coastal Union ambayo inaiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Jumamosi ya wiki hii inatarajiwa kupambana na Waangola hao katika…

Read More

Makambo aanza kutupia Ujerumani | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI kinda wa Tanzania anayekipiga FCA Darmstadt ya Ujerumani, Athuman Masumbuko Makambo ameanza kutupia baada ya kufunga bao moja waliposhinda 2-1 dhidi ya Viktoria Griesheim. Hiyo ilikuwa katika mchezo wa Gruppenliga ya Ukanda wa Hesse nchini humo iliyoanza hivi karibuni. Mechi hiyo ilipigwa Agosti 11, 2024 kwenye Uwanja wa RP1 Griesheim nchini Ujerumani ambapo Makambo…

Read More

Bakari Mwamnyeto: Sergio Ramos wa Bongo

SERGIO Ramos Garcia licha ya kwamba alizaliwa na kuanza maisha yake ya soka ndani ya Klabu ya Sevilla lakini ni moja ya wachezaji wanaoheshimika vilivyo Real Madrid. Heshima ya Ramos Madrid inakuja kwa sababu ya kuiongoza katika mafanikio makubwa akiwa mchezaji wa kawaida na hata pale alipokuwa nahodha akipokea kitambaa kutoka kwa Iker Casillas mwaka…

Read More