Bakari Mwamnyeto: Sergio Ramos wa Yanga

SERGIO Ramos Garcia licha ya kwamba alizaliwa na kuanza maisha yake ya soka ndani ya Klabu ya Sevilla lakini ni moja ya wachezaji wanaoheshimika vilivyo Real Madrid. Heshima ya Ramos Madrid inakuja kwa sababu ya kuiongoza katika mafanikio makubwa akiwa mchezaji wa kawaida na hata pale alipokuwa nahodha akipokea kitambaa kutoka kwa Iker Casillas mwaka…

Read More

Mastaa Yanga kulamba Sh150 milioni

MOTO waliouwasha Mabingwa mara tatu mfululizo umewaka baada ya kubeba Mamilioni waliyoahidiwa kama wangeichapa Simba na Azam FC katika michuano ya Ngao ya Jamii. Iko hivi, kabla ya mechi ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii mabosi wa Yanga walikiita kikosi chao na kutoa ahadi kama wataifunga Simba watatoa 150 Milioni kama zawadi. Na kama…

Read More

Kazini kwa Simba msimu huu kuna kazi

KILA nikitazama Kikosi cha Azam FC na kile cha Yanga, nagundua kabisa kazini kwa Simba msimu huu kuna kazi. Ni vigumu sana kujua kama Simba inakwenda mbele au inarudi nyuma. Ni kama mwendo wa kinyonga. Timu haina haraka. Inakwenda hatua tatu mbele na kurudi tano nyuma. Ni Mwendo unaochanganya sana. Klabu kubwa zote duniani, malengo…

Read More

Gamondi achimba mkwara mzito, Injinia Hersi atia neno

MASHABIKI wa Yanga wanatamba wanavyotaka, hata salamu zao tu zimekaa kwa kejeli wakitambia mwanzo wa msimu wakianza kwa kuchukua mataji wakiwachapa vigogo Simba na Azam lakini kuna kauli ameitoa kocha wao, Miguel Gamondi inazishtua timu pinzani. Kocha Gamondi ametamka kwamba wala hana presha ikitokea timu yake imetangulia kuruhusu bao kwa kuwa hata wachezaji wake wanafanya…

Read More

Simba yashusha straika jionii… Ngoma,Ayoub hatihati

SIMBA imefikia uamuzi wa kushusha straika dakika za jioni kabla ya dirisha la usajili halijafungwa Agosti 15, mwaka huu ikiwa zimebaki takribani siku mbili pekee kutoka leo. Hatua hiyo imekuja baada ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids kutazama mwenendo wa timu hiyo katika michezo mitatu mfululizo ya hivi karibuni kuanzia Simba Day hadi Ngao…

Read More

Amnesty International, TLS na TEF wapaza sauti kukamatwa viongozi Chadema, wanahabari

Dar es Salaam. Shirika la Kimataifa la Kupigania Haki za Binadamu la Amnesty International, limeungana na wadau wa ndani kulaani kukamatwa kwa viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendele (Chadema). Matamko ya kulaani vitendo hivyo yameendelea kutolewa na wadau mbalimbali wa haki za binadamu, wakipinga uamuzi wa Jeshi la Polisi Tanzania kuwashikilia viongozi…

Read More