Jinsi baiskeli ilivyomsaidia kupambana na fisi kwa saa tatu

Sengerema. Bahati Kanfumu, mkazi wa Kijiji cha Kabusuli, Kata ya Nyamatongo, wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza ameeleza jinsi alivyonusurika kushambuliwa na kundi la fisi. Akizungumza jana Agosti 11, 2024, amesema wakati akielekea kutafuta mahitaji ya familia asubuhi, alikutana na kundi hilo la fisi linalosadikika kuwaua watu wawili. Amesema alilazimika kushuka kutoka kwenye baiskeli aliyokuwa akiendesha…

Read More

Lawi afunguka dili lake kukwama Ubelgiji

SAKATA la beki Lameck Lawi limeibua sura mpya baada ya kuelezwa kuwa huenda mchezaji huyo akarudi nchini kutokana na dili lake na K.A.A Gent ya Ubelgiji kuingia mchanga huku mwenyewe akifunguka hali ilivyo. Ipo hivi; Lawi alikuwa anahitajika na timu hiyo kwa makubaliano ya kumnunua moja kwa moja lakini mara baada ya kufika Ubelgiji mambo…

Read More

Bodi ya Ligi haitaki watu wafurahi?

TANZANIA ni ya 131 duniani kwenye korodha ya nchi zenye furaha, kati ya nchi 143 zilizopo duniani. Kwa tafsiri rahisi, Tanzania ni ya 12 duniani kwa nchi zisizo na furaha…hatari sana! Na hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2024 ya taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mtandao wa Suluhisho la Maendeleo Endelevu (The…

Read More

Penzi la Fei na Yanga linakaribia mwisho wake

KAA katika televisheni yako halafu tazama namna penzi la waliloachana. Penzi la Fei Toto na Yanga linavyozidi kunoga. Wapenzi wawili wa zamani. Sasa hivi wanapitia katika kipindi kinachochekesha kidogo. Jana Fei alifunga bao la kuongoza la Azam dhidi ya Yanga. Mbele ya kamera za Azam TV akakata mauno ya furaha. Kwa alichokifanya Fei alikuwa anawakera…

Read More

Mwinyi Zahera ataka mechi 3 Namungo

KOCHA Mkuu wa Namungo, Mwinyi Zahera amesema timu yake ipo tayari kwa asilimia 80, atatumia mechi tatu za kwanza za Ligi Kuu Bara kutengeneza kikosi cha kwanza. Namungo wamecheza mechi tatu za kirafiki wakishinda mbili na kufungwa moja, walianza na Singida Black Stars walishinda mabao 2-0, walifungwa na Dodoma Jiji 3-0 na walishinda dhidi ya…

Read More

Mzize: Chama ana jicho la pasi

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amesema ubora wa pasi ya mwisho ya Clatous Chama ulimpa urahisi wa kukwamisha mpira nyavuni. Mzize alifunga bao la nne na la mwisho kwenye ushindi wa mabao 4-1 ilioupata Yanga dhidi ya Azam katika fainali ya Ngao ya Jamii iliyochezwa juzi Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Mabao…

Read More

Matukio 10 Ngao ya Jamii 2024

FAINALI ya Ngao ya Jamii ilichezwa juzi Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ambapo Yanga imefanikiwa kuwa bingwa baada ya kuifunga Azam mabao 4-1. Taji hilo ni la nane kwa Yanga katika Ngao ya Jamii tangu ilipoanzishwa michuano hiyo mwaka 2001, imezidiwa mawili na Simba ambayo inaongoza ikiwa nayo 10. Msimu…

Read More

Usaajili uliokamilika Ligi Kuu Bara 2024/25

DIRISHA la usajili Ligi Kuu Bara na mashindano mengine ya ndani bado lipo wazi hadi Alhamisi ya wiki hii litakapofungwa tangu lilipofunguliwa rasmi Juni 15, huku klabu mbalimbali zikiendelea kuvuta silaha mpya na kuacha nyota waliokuwa nao ili kujiimarisha. Mwanaspoti linakuletea baadhi ya sajili za nyota wapya zilizokamilika na kutangazwa katika dirisha hili kubwa la…

Read More