Hapa ndiyo lilipo anguko la Simba

Mchezo wa saba wa ngao ya jamii baina ya watani wa jadi wa Tanzania, Yanga na Simba, umeamuliwa na bao la dakika ya 43 la Mbappe wa Kindu, Maxi Nzengeli. Kama ilivyo kwa watani wa jadi, matukio ya imani za kishirikina hutawala kabla na wakati mwingine wakati wa mchezo, na kwenye mchezo huu yalikuwepo pia….

Read More

Seine-sational! Paris yatoa kwaheri ya ushindi kwa Olimpiki – DW – 12.08.2024

Cruise aliteremka kwenye waya mbele ya watazamaji 71,500, akashika bendera ya olimpiki na kurukia pikipiki, tukio lililowachangamsha wanariadha na mashabiki waliofurika katika uwanja wa Stade de France. Katika dondoo ya kile ambacho ulimwengu unaweza kutarajia wakati Michezo hiyo itakapoelekea Los Angeles mnamo 2028, nyota huyo wa “Mission Impossible” kisha alionyeshwa akipanda ndege na kuruka angani…

Read More

Yanga yaiwekea mtego Ligi Kuu… Yauliza swali zito!

ILIPOPIGWA Simba katika nusu fainali kwa bao 1-0, Azam FC nayo ikajipanga kuja kulinda heshima, lakini kilichowakuta hadi unavyosoma gazeti hili hawajui kilichotokea wakipoteza kwa kipigo kizuto cha mabao 4-1, huku mabingwa wakiuliza ‘kuna mwingine huko?’ Yanga jana ikitoka nyuma kwa bao 1-0 na kupindua meza na kushinda kibabe ikilirudisha taji la Ngao ya Jamii…

Read More

Fei Toto akumbatiana na Hersi

WAKATI kikosi cha Azam FC inakwenda kuchukua medali ya mshindi wa pili wa michuano ya Ngao ya Jamii, kama kuna tukio kilikuwa linasubiriwa basi ni kiungo Feisal Salum Fei Toto kuonana uso kwa uso na Rais wa Yanga injinia Hersi Said na wamekutana bana. Katika zoezi hilo la kupokea medali Fei Toto amekutana na Hersi…

Read More

Simba yajipoza kwa Coastal, ikitembeza boli Kwa Mkapa

BAO pekee lililowekwa kimiani dakika ya 11 tu ya mchezo na kiungo mshambuliaji, Saleh Karabaka limeiwezesha Simba kumaliza nafasi ya tatu katika michuano ya Ngao ya Jamii, huku Kocha Fadlu Davids akipangua kikosi kilichopoteza mbele ya Yanga kwa kuwapumzisha nyota wanne na timu kutembeza boli la kisawasawa mbele ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union. Simba…

Read More

Kiungo Simba Queens atambulishwa Burundi

BAADA ya kupewa mkono wa kwaheri na Fountain Gate Princess siku nne zilizopita hatimaye kiungo wa zamani wa Simba, Joelle Bukuru amejumuishwa kwenye kikosi cha PVP Buyenzi ya Burundi. Simba Queens ilimtoa kwa mkopo wa miezi sita kiungo huyo kwenda Fountain katika dirisha dogo la usajili msimu uliopita baada ya kocha kutokuwa na mpango na…

Read More

Moloko afichua kilichomzuia Namungo | Mwanaspoti

WINGA wa zamani wa Yanga, Jesus Moloko amefunguka kilichomzuia asirudi Tanzania baada ya kutakiwa na Namungo kisha kujiunga na timu ya Diyala SC iliyopo Ligi Daraja la Kwanza ya Iraq, akisema dau kubwa la usajili alilopewa na timu hiyo aliyompa mkataba wa mwaka mmoja ndio sababu iliyomfanya aende huko. Moloko alikuwa anatajwa kujiunga na Namungo…

Read More

Minziro kiroho safi Kagera | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mechi tatu wanazocheza Uganda ni kipimo tosha cha wao kumkabili bingwa mtetezi Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Agosti 16 kwenye uwanja wao wa nyumbani. Kagera juzi ilijipima nguvu na Wahiso Giants na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 yakifungwa na Cleophas Mkandala na Deogratias…

Read More

KenGold: Tutaishangaza Singida BS | Mwanaspoti

WAKATI Ken Gold ikitarajia kucheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza, benchi la ufundi limetamba kushangaza likisema litaanza kuonyesha ubora wao dhidi ya Singida Black Stars. Timu hiyo ya mkoani Mbeya itafungua pazia ya mashindano hayo dhidi ya Singida BS ikianzia nyumbani Uwanja wa Sokoine Agosti 18 ikiwa ni mara ya kwanza kwao kushiriki ligi…

Read More