TCA Ligi Caravans yafunika T30, ikitota T20

ILIKUWA wikiendi njema kwa timu ya Caravans C baada ya kutwaa ushindi wa wiketi 3 dhidi ya Specialised K&P katika mchezo wa Ligi ya Kriketi ya Mkoa uliopigwa kwenye Uwanja wa Leaders, jijini Dar es Salaam. Ni Ligi ya Kriketi ya mizunguko 30 kwa timu za daraja B kwa mujibu wa msemaji wa Chama cha…

Read More

Fadlu apangua wanne, Simba ikiivaa Coastal

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amepangua wachezaji wanne katika kikosi kilichoanza katika mchezo uliopita  wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga wakati ikivaana na Coastal Union kusaka ushindi wa tatu wa michuano hiyo ya kuzinduliwa msimu mpya wa 2024-2025. Msauzi huyo amegusa maeneo mawili tu ambayo ni ukuta na kiungo kwa kuwaweka…

Read More

Neema Olomi aanza vyema gofu Mombasa

VIWANJA vya mchezo wa gofu vya miji ya mwambao wa Kenya vimekuwa ni rafiki kwa Mtanzania, Neema Olomi kutoka klabu ya Arusha Gymkhana baada ya kufanya vizuri tena katika mashindano ya mwaka huu ya wanawake kwenye viwanja vitano vya mjini Mombasa nchini humo. Olomi alishika nafasi ya pili nyuma ya mwenyeji Mercy Nyanchama katika mchezo…

Read More

Kriketi Tanzania U19 yafuzu Kombe la Dunia

TANZANIA imepanda daraja kwa kutinga fainali za Kombe la Dunia kwa mchezo wa Kriketi kwa vijana chini ya umri wa miaka 19 baada ya wikiendi hii kuifunga Rwanda kwa mikimbio 59 katika mchezo wa nusu fainali uliofanyika kwenye viwanja vya Dar Gymkhana, Dar es Salaam. Kwa kuingia fainali, Tanzania imejihakikishia moja kwa moja nafasi ya…

Read More

Tanzania yatoka kapa Olimpiki 2024

KWA mara nyingine tena Tanzania imetoka kapa katika Michezo ya Olimpiki 2024 wanariadha waliokuwa wamesalia katika michezo hiyo inayomalizika leo jijini Paris, Ufaransa Magdalena Shauri akimaliza wa 40, huku Jackline Sakilu akishindwa kabisa kumaliza mbio za marathoni, zilizoshuhudiwa Mholanzi mwenye asili ya Ethiopia, Sifan Hassan akivunja rekodi ya michezo hiyo akitumia muda wa 2:22:55. Sifan…

Read More

Yanga vs Azam hapa sasa mtainjoi, kisasi kitalipwa

HII utaipenda na mtasema mlikujaje. Ndivyo unavyoweza kusema wakati fainali ya mechi za Ngao ya Jamii itakapopigwa kesho Jumapili. Ndio, ni bonge la mechi kwa mashabiki wa soka nchini. Achana na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Alhamisi. Achana na matokeo ya ushindi wa bao 1-0 iliyopata Yanga mbele ya Simba. Achana na madudu yaliyofanywa na waamuzi wa…

Read More

Boka, Yanga sasa kimeeleweka Yanga

BEKI mpya wa kushoto wa Yanga, Chadrack Boka sasa kila kitu freshi Jangwani baada ya mabosi wa klabu hiyo kumalizana kabisa na FC Lupopo aliyokuwa akiichezea kwa kuwapa mamilioni ya fedha ambayo awali zilikaribia kuzuia Hati ya Uhamisho (ITC) ya mchezaji huyo aliyeanza kuwaka na kikosi hicho. Unaambiwa, licha ya Yanga kumtangaza staa huyo wa…

Read More

Dabi yampa mbinu kocha Vital’O dhidi ya Yanga CAFCL

KOCHA Mkuu wa Vital ‘O ya Burundi, Sahabo Parris amesema ameutazama mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga na ameutumia kuisoma Yanga na kujua uimara wao, huku akiamini hadi timu hizo zitakapokutana atakuwa ameshapata mbinu bora za kuwakabili. Vital’O itakutana na Yanga katika mchezo wa hatua ya awali Ligi…

Read More

Bao dhidi ya Simba lampa mzuka Nzengeli

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Nzengeli amesema timu yake ina wachezaji wengi wenye ubora huku akimtaja Pacome Zouzoua na kuweka wazi kuwa kuifunga Simba kumemjenga zaidi. Maxi alifunga bao pekee na la ushindi la Yanga wakati wakiiua Simba katika mechi ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii na leo watarudi uwanjani kuumana na Azam katika…

Read More