Ishu ya Kagoma Yanga iko hivi, sababu kutocheza Simba yatajwa

MWANASHERIA wa kiungo Yusuf Kagoma, Leonard Richard, ameomba kupewa muda wa kujiandaa kujadili malalamiko yaliyowasilishwa na Yanga baada ya kesi ya kimkataba kufikishwa katika Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Wakati suala hilo likifika kwenye kamati kwa ajili ya kujadiliwa, mwanasheria huyo amebainisha kwamba Kagoma ni mali halali…

Read More

BAUSI: Kina Bacca, Fei Toto wametuheshimisha

KIWANGO cha beki Abdulrahim Seif Bausi, kiliifanya Simba iishie kukitamani kwa macho, baada ya JKT Tanzania kuiwahi huduma yake, ikimtoa Uhamiaji ya Zanzibar na katika mahojiano na Mwanaspoti amezungumzia hilo. Bausi anasema soka kwake siyo kitu cha kubahatisha, kwani baba yake mzazi Seif Bausi ni kocha wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, na…

Read More

MTU WA MPIRA: Simba Imesajili vizuri, Yanga bado ni bora

TUMESHUHUDIA Dabi ya Kariakoo bora kabisa Alhamisi iliyopita. Soka lilipigwa kweli kweli pale kwa Mkapa. Hakuna aliyetaka kupoteza hata sekunde. Licha ya ushindi wa Yanga, mpira ulikuwa mzuri sana. Ulikuwa wa ushindani na ufundi mkubwa. Uliakisi ukubwa wa soka la Tanzania kwa sasa. Kabla ya mchezo Yanga alipewa nafasi kubwa ya kushinda. Wapo walioamini angeshinda…

Read More

KMC yataka Sh200 milioni Awesu acheze Simba

MWANASHERIA wa KMC ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi wa timu hiyo, Cheaf Said amesema kiungo Awesu Awesu bado ni mchezaji wao halali na Simba wakimtaka warudi mezani kwao kwa ajili ya mazungumzo wakiwa na Sh200 milioni. Amefunguka hayo muda mchache baada ya kumalizika kwa kikao chao na Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji…

Read More

Namungo yapiga hesabu za CAF

WACHEZAJI wa Namungo FC, wana matarajio makubwa kuhakikisha msimu ujao, wanapata nafasi ya kucheza michuano ya kimataifa, hivyo wanajifua kupigania nafasi nne za juu. Msimu uliopita timu hiyo ilimaliza nafasi ya sita, ila baadhi ya wachezaji wapya walioongezeka ndani ya kikosi hicho, wameongeza nguvu ni kitu kinachowaamisha kitatimiza ndoto zao. Kiraka wa timu hiyo mkongwe…

Read More

Simbu, Geay wakosa medali, Tola akishinda kwa rekodi

WANARIADHA  Alphonce Simbu na Gabriel Geay wameshindwa kufurukuta katika mbio za Marathoni (Wanaume) katika Michezo ya Olimpiki inayoendelea, Paris Ufaransa huku Tamirati Tola wa Ethiopia akiibuka mshindi leo Jumamosi akiwema rekodi mpya wa michezo hiyo. Tola (32) aliibuka mshindi wa kwanza akitumia muda wa saa 2:06:26 ambao ulimtosha kumfanya avunje rekodi ya kukimbia muda mfupi…

Read More

Pilsner Lager’s New Campaign Kicks Off with a Roaring Celebration at the Benjamin Mkapa National Stadium

  Where were you last weekend if not at the National Stadium??? On a hot Saturday afternoon, Pilsner Lager, in partnership with Simba Sports Club launched a new campaign “Furahia Kila Ushindi na #PilsnerMbili”, meaning “Celebrate Every Win with #PilsnerMbili” This grand event at the Benjamin Mkapa National Stadium came alive with echoing cheers and…

Read More