Awesu, Kagoma waiponza Simba | Mwanaspoti

ACHANA na lile sakata la usajili wa beki Lameck Lawi aliyekuwa Coastal Union aliyetimkia kwa sasa KAA Gent ya Ubelgiji, inaelezwa nyota watatu wapya waliosajiliwa na Simba, Awesu Awesu, Yusuf Kagoma na Valentino Mashaka umewaponza Wekundu wa Msimbazi na kuburuza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Wachezaji hao kutoka KMC, Singida Fountain Gate na Geita Gold,…

Read More

TANZANIA KUANDAA JUKWAA LA UNUNUZI WA UMMA AFRIKA MASHARIKI, RAIS SAMIA KUZINDUA MFUMO WA KIELEKTRONIKI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Jukwaa la Ununuzi wa Umma la Afrika Mashariki, ambalo litafanyika kuanzia Septemba 9 hadi 12, 2024, jijini Arusha. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Dennis Simba, amethibitisha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa jukwaa…

Read More

Hatua kwa hatua kesi ya Magoma na Yanga

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu Klabu ya Yanga kufanya mapitio ya marejeo ya shauri la madai namba 187/2022 lililofunguliwa na Juma Magoma na mwenzake Geofrey Mwaipopo. Pia mahakama hiyo imetupilia mbali mwenendo mzima wa kesi hiyo ya madai namba 187/2022 na kuweka kando amri zote zilizotolewa katika katika hukumu iliyotolewa Agosti…

Read More

Ngoma ya Magoma na Yanga ilikuwa hivi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu Klabu ya Yanga kufanya mapitio ya marejeo ya shauri la madai namba 187/2022 lililofunguliwa na Juma Magoma na mwenzake Geofrey Mwaipopo. Pia mahakama hiyo imetupilia mbali mwenendo mzima wa kesi hiyo ya madai namba 187/2022 na kuweka kando amri zote zilizotolewa katika katika hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023. Kuhusu…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Pepe, kizazi cha mwisho cha masela wa ghetto?

MACHOZI yake baada ya mechi iliyowatupa Ureno nje michuano ya Euro pale Ujerumani yalikuwa machozi ya mwisho katika soka. Hatujua. Labda alilia zaidi kwa sababu alijua ilikuwa mechi yake ya mwisho katika soka. Pepe. Mreno kichaa. Mreno jeuri. Aliwahi kuandika Ben Mtobwa. ‘Machozi ndio njia pekee imalizayo huzuni ya mwanamke’. Hapana. Alikosea. Hata wanaume wanatoa….

Read More

Dube bado haamini kilichotokea! | Mwanaspoti

BAADA ya kutoa asisti ya bao pekee katika derby Yanga na Simba Juzi mechi ya pili ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii, mshambuliaji mpya wa kikosi hicho Prince Dube amefunguka kuwa haamini kama hakutikisa nyavu mbele ya Wekundu hao. Dube ambaye alisajiliwa dirisha hili akitokea Azam FC, ni miongoni mwa washambuliaji wanaosifika kwa kuisumbua…

Read More

Mutale: Mambo matamu yanakuja | Mwanaspoti

WINGA wa Simba, Joshua Mutale amesema kicheko kwa mashabiki wa timu hiyo ni suala la muda, akiwapa ahadi yanayokuja mbele yao yanafurahisha, kwani wamejipanga kufanya makubwa msimu ujao. Mutale aliyesajiliwa na timu hiyo, akitokea Power Dynamos ya Zambia, alisema anafahamu mashabiki wameumia kufungwa na Yanga bao 1-0 nusu fainali ya Ngao ya Jamii, lakini amewaomba…

Read More

Magoma akwama Kisutu, atakiwa kulipa gharama za kesi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu Klabu ya Yanga kufanya mapitio ya marejeo ya shauri la madai namba 187/2022 lililofunguliwa na Juma Magoma na mwenzake Geofrey Mwaipopo. Pia mahakama hiyo imetupilia mbali mwenendo mzima wa kesi hiyo ya madai namba 187/2022 na kuweka kando amri zote zilizotolewa katika katika hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023. Pia,…

Read More