Wasauzi wamwashia taa kijani Maema Simba 

MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo  mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema. Matajiri hao wa Sauzi, wamemuaga kiungo huyo leo Ijumaa, baada ya kuitumikia klabu hiyo miaka minne kwa mafanikio. Hatua ya Maema kupewa ‘Thank you’ ni kama inawashwa taa ya kijani kwa kiungo huyo kutua Simba. Maema ndani ya Mamelodi…

Read More

DR Congo yaiong’oa Angola CHAN 2024

KIPIGO  cha mabao 2-0 kutoka kwa DR Congo katika pambano la Kundi A la michuano ya CHAN 2024 umeing’oa Angola katika michuano hiyo ikiungana na Nigeria, Afrika ya Kati na Zambia. DR Congo ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa Nyayo, Nairobi, Kenya katika pambano kali, huku washindi wakipata mabao dakika 45 za pili. Angola iliyokuwa…

Read More

Simba Mwanza wanataka jambo moja tu

BAADA ya kusota na kutaniwa kwa misimu minne mfululizo bila makombe, wanachama wa Simba mkoani Mwanza wamesema msimu ujao ni mwisho wa dhihaka zote na wanataka jambo moja tu, ambalo ni ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Simba imeendelea kuambulia patupu na kuwa mnyonge mbele ya mtani wake, Yanga ambayo imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara…

Read More

Waziri JR arejea Dodoma Jiji

ALIYEKUWA mshambuliaji nyota wa Dodoma Jiji, Waziri Junior Shentembo amerejea tena katika timu hiyo baada ya kuondoka kikosini Februari 7, 2025 na kujiunga na kikosi cha Al-Minaa SC kinachoshiriki Ligi Kuu ya Iraq kwa mkopo wa miezi sita. Nyota huyo alijiunga na Dodoma Jiji kwa mkataba wa miaka miwili, akitokea KMC FC, ingawa ameitumikia kwa…

Read More

Wacongo, Gambia waipa jeuri Mbeya City

WAKATI Mbeya City ikiingia rasmi kambini leo Ijumaa kwa maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu, uongozi wa timu hiyo umetambia usajili uliofanywa ukieleza matarajio ni kumaliza nafasi saba za juu. City iliyorejea Ligi Kuu baada ya kukosekana kwa misimu miwili, imefunga kikosi kwa wachezaji 27 wakiwamo wa kimataifa, Kelvin Kingu na Jeremiah Nkoromon (DR…

Read More

Wasauz wamwashia taa kijani Maema Simba 

MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo  mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema. Matajiri hao wa Sauzi, wamemuaga kiungo huyo leo Ijumaa, baada ya kuitumikia klabu hiyo miaka minne kwa mafanikio. Hatua ya Maema kupewa ‘Thank you’ ni kama inawashwa taa ya kijani kwa kiungo huyo kutua Simba. Maema ndani ya Mamelodi…

Read More

Fofana, Zitoun sasa kimeeleweka Azam FC

KESHO Ijumaa Azam FC inatarajiwa kuwatambulisha wachezaji wapya wawili iliyowasajili kutoka klabu ya Al-Hilal ya Sudan. Nyota hao wanatua Azam kuungana na kocha Florent Ibenge waliyefanya naye kazi wote walipokuwa Al Hilal. Nyota hao wapya ni, kipa Issa Fofana na mshambuliaji Taieb Ben Zitoun, ambao wameshafanyiwa vipimo vya afya na kufuzu. Azam itawatambulisha kabla ya…

Read More

Mido wa boli anukia Coastal

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa kiungo wa Kagera Sugar, Jofrey Manyasi, baada ya nyota huyo kuvutiwa na ofa aliyowekewa mezani, huku kilichobakia kwa sasa ni mwenyewe kusaini mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo ameondoka Kagera Sugar iliyoshuka daraja msimu wa 2024-2025, ikitoka Ligi Kuu Bara na kwenda kushiriki Ligi ya…

Read More

CHAN 2024: Guinea, Algeria ngoja tuone

FAINALI za CHAN 2024 zinaingia wiki ya pili leo Ijuma tangu zilipoanza rasmi Agosti 2 na zitapigwa mechi mbili za Kundi C, mapema saa 11:00 jioni Guinea itavaana an Algeria, huku usiku ni zamu ya Niger itakayoumana na Afrika Kusini kila timu ikisaka ushindi muhimu. Kundi hilo linalocheza mechi zake kwenye Uwanja wa Nelson Mandela,…

Read More

Morocco aita mashabiki Kwa Mkapa

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Mkapa, kesho Jumamosi wakati timu hiyo itakapokuwa inamalizia mechi za Kundi B dhidi ya Afrika ya Kati, huku akiahidi kuwapa raha kama alivyofanya. Stars inakamilisha ratiba kwa kuvaana na vibonde hao wa kundi hilo, kwani…

Read More