Morocco yaibeba Stars, ikiifumua Zambia

LICHA ya kuwa nchi ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Dunia za 2026, Morocco jioni hii imeifumua Zambia ikiwa kwao kwa mabao 2-0 na kuilainishia Tanzania kumaliza nafasi ya pili katika Kundi E. Mabao yaliyofungwa kila moja kipindi kimoja katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja la Levy Mwanawasa, jijini Ndola, lilififisha tumaini la wenyeji…

Read More

Nangu afichua ishu yote Simba

BEKI mpya wa kati wa Simba, Wilson Nangu bado hajaungana na timu hiyo tangu alipotangazwa kutua hapo, lakini anajua kesho Jumatano katika tamasha la Simba Day itakuwa ni fursa yake kuungana na wenzake na kutambulishwa mbele ya mashabiki na anajua shoo ya tamasha hili ilivyo. …

Read More

Gor Mahia kuwasili  leo kuwahi Simba Day

Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema timu ya Gor Mahia kutoka Kenya ambayo itacheza mechi ya kirafiki kwenye kilele cha wiki ya Simba Day itawasili usiku wa leo hapa nchini. Leo Simba ilitembelea na kutoa msaada katika Kituo cha Kutunza Watoto Wenye Uhitaji cha Twarika Kadiliya kilichopo Mabibo, Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi…

Read More

Bado Watatu – 22 | Mwanaspoti

Kwa vile nilikuwa na ahadi na mtu, usingizi uliniruka. Nilikwenda kukaa sebuleni hadi saa tano na nusu nikiangalia televisheni. Baada ya hapo nilizima televisheni, nikaenda kupenua pazia la dirisha na kuchungulia nje.Nilikuwa nimezima taa, hivyo mtu wa nje asingeniona, isipokuwa mimi ndiye ningeweza kumuona. Nilisimama hapo dirishani kwa dakika nyingi nikiangalia nje. Nilikuwa ninataka nimuone…

Read More

Mukwala anahesabu saa tu Msimbazi

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More

Kachwele aanza na kishindo Marekani

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Cyprian Kachwele anayekipiga Whitecaps FC 2 amesema amekuwa na wakati mzuri tangu alipotoka kwenye kipindi cha kuuguza majeraha ya nyama za paja mwezi Juni mwaka huu. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC, huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…

Read More

Kocha BK Hacken amsifU Sabri

KWENYE moja ya mahojiano, kocha wa BK Hacken, Sven-Agne Larsson, amemtaja kiungo mshambuliaji wa Kitanzania, Sabri Kondo, kuwa mmoja wa wachezaji wenye njaa ya mafanikio. Sabri, ambaye msimu uliopita alicheza Coastal Union kwa mkopo, awali alienda katika timu hiyo inayokamata nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ya Sweden, ikicheza mechi 17 na kukusanya pointi…

Read More

27 wajitosa mbio za magari za Afrika

MADEREVA 27 wa Tanzania walikuwa wamejiorodhesha kushiriki raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari barani Afrika hadi kufikia mwishoni mwa juma kabla ya mbio hizo kutimua vumbi katikati ya mwezi huu mkoani Morogoro. Mbio hizo zinajulikana kama Mkwawa Rally of Tanzania na zitafanyikia kwenye hifadhi ya msitu wa Mkundi mkoani Morogoro kati ya…

Read More

Iliyopigwa 10 ina kazi kwa Singida Black Stars

VIBONDE wa michuano ya Kombe la Cecafa Kagame, Garde-Cotes ya Djibout ambayo imechapwa jumla ya mabao 10-0 katika mechi mbili zilizopita, itakuwa na kibarua kizito leo, Jumatatu katika kundi A cha kukabiliana na Singida Black Stars kwenye uwanja wa KMC. Garde-Cotes ndiyo timu iliyoruhusu mabao mengi zaidi msimu huu katika michuano hiyo iliyoanzishwa 1967, ilianza…

Read More