Simba, Yanga kukipiga tena Oktoba 19, 2024

Wakati ukiendelea kutafakari matokeo ya Derby ya Kariakoo iliyopigwa jana kwa Simba kulala kwa bao 1-0 mbele ya watani zao Yanga, timu hizo mbili zitakutana tena Oktoba 19, mwaka huu kwenye mechi ya Ligi Kuu. Mchezo huo utakuwa wa duru ya nane ya ligi ambapo Simba itakuwa mwenyeji wa Yanga na katika ratiba ya awali…

Read More

Simba yafafanua ishu ya jezi ya Manula

HATIMAYE uongozi wa Simba kupitia Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo, imetoa ufafanuzi juu ya jezi namba 28 inayotumiwa na kipa Aishi Manula ambayo alitambulishwa nayo kipa mpya Moussa Camara kwenye orodha ya kikosi hicho kabla ya mechi dhidi ya Yanga iliyopigwa jana Alhamisi. Camara aliyesajiliwa hivi karibuni akitokea AC Horoya ya Guinea,…

Read More

Simba kama imebipu namba 28 ya Manula

MABOSI wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba ni kama jana Alhamisi ilibifu juu ya namba 28 ya kipa Aishi Manula baada ya kumtambulishia kipa mpya wa timu hiyo, Moussa Camara kabla ya pambano la Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga kisha kubadilisha fasta na kumpa Mguinea huyo namba 26. Katika orodha ya kikosi…

Read More

Tulieni, sasa ni zamu ya Pamba Day!

BAADA ya wikendi iliyopita nchi kuwa bize kwa matamasha ya Simba, Yanga jijini Dar es Salaam na Azam Kigali, Rwanda, kesho ni zamu ya Jiji la Mwanza na litapokea wageni mbalimbali kwa ajili ya tamasha la klabu ya Pamba Jiji itakayokuwa inahitimisha kilele cha tamasha la Pamba Day. Tamasha hilo litafanyika kesho kwenye Uwanja wa…

Read More

Profile yaanza kibabe Kikapu Mwanza

BAADA ya kuukosa ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza msimu uliopita, Profile imekuja kivingine msimu huu baada ya kuanza kwa ushindi dhidi ya bingwa mtetezi, Eagles na kulipa kisasi cha kufungwa kwenye fainali ya msimu uliopita. Profile ambayo ni mabingwa wa kihistoria wa mashindano hayo wakichukua kwa zaidi ya misimu mitano, walianza kwa…

Read More

SI MCHEZO… Ngoma zao zinatembea

BONGO Fleva inazidi kuchacha mbuga.Sio kwenye soko la ndani tu,m hadi kimataifa na tofauti ya miaka ya nyuma ilikuwa wimbo kutoka nje ya mipaka ya nchi, huwa ni jambo la kushangaza na litazungumzwa kila siku. Hata hivyo, miaka ya karibuni imekuwa ni kawaida na wasanii wa Bongo Fleva wameliteka soko la muziki duniani na kuanzia…

Read More

NIONAVYO: Riadha yetu inahitaji kazi ya ziada

WIKIENDI iliyopita Jumamosi na Jumapili, Jiji la Dar es Salaam na nchi kwa jumla kulikuwa na shamrashamra na mashamushamu kutokana na matamasha mawili makubwa ya klabu maarufu za Simba na Yanga. Matamasha hayo yalijaza uwanja likiwamo la Yanga ambalo mashabiki walilazimika kutumia Uwanja wa Uhuru baada ya ule wa Benjamin Mkapa kujaa. Kulikuwa na matukio…

Read More