
ALICHOSEMA AHMED ALLY BAADA YA SIMBA KUFUNGWA – MWANAHARAKATI MZALENDO
“Ni matokeo mabaya lakini yenye kutupa maono wapi tunaelekea kwenye ujenzi wa kikosi chetu bora msimu huu (wa 2024/25). Tunakila sababu ya kujivunia maendeleo ya Project yetu ya muda mrefu iliyohusisha wachezaji wengi wapya wenye vipaji vikubwa na umri mdogo. Wana Simba matokeo ya leo (kufungwa bao 1-0…