Visura 13 kuwania taji la Miss Ilala 2024

WAREMBO 13 wanatarajiwa kuonyeshana kazi wakati wa shindano la kuwania taji la Miss Ilala 2024, litakalofanyika Agosti 16 kwenye Ukumbi wa Warehouse, Masaki huku wakipania kufanya vizuri na kufuata nyayo za watangulizi wao katika fainali za taifa, Miss Tanzania. Tayari warembo hao wameingia kambini, kujiandaa na shindano hilo, huku washindi, pamoja na zawadi nyingine wataingia…

Read More

Huku nako pamechangamka! | Mwanaspoti

ACHANA na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana. Sahau kuhusu Simba Day na Wiki ya Mwananchi matamasha yaliyofanyika wikiendi iliyopita. Kesho na kweshokutwa huko mkoani nako kuna burudani ya kukata na shoka wakati klabu nne tofauti za Ligi Kuu zitakapofanya matamasha ya kuukaribisha msimu mpya wa 2024-2025. Mashabiki wa soka wa mikoa ya Kigoma, Singida, Mwanza…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Ahmed Ally atamponza Steven Mukwala

USAJILI wa mshambuliaji aliyefanya vizuri sana kule Ghana katika Ligi Kuu ya nchi hiyo, Steven Mukwala ulishereheshwa vilivyo na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally. Mshambuliaji huyo hakuwa mwingine bali ni raia wa Uganda,  Mukwala na msimu uliopita alifunga mabao 14 katika mechi 28 za Asante Kotoko katika Ligi Kuu ya Ghana, huku…

Read More

Kagera Sugar nne zinawatosha Uganda

KIKOSI cha Kagera Sugar kimeondoka leo Alhamisi kutoka Bukoba kwenda Uganda kunoa makali ya wachezaji wake kwa kucheza mechi nne za kirafiki ili kujipima nguvu kabla ya kurudi nchini kwa ajili ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho 2024-2025. Kagera iliyokuwa kambini tangu Julai 12 kwa ajili ya…

Read More

Mcolombia, Fei Toto waachiwa msala Azam FC

MSHAMBULIAJI mpya wa Azam FC, Mcolombia Jhonier Alfonso Blanco amepewa mikoba ya kikiongoza kikosi hicho akishirikiana na Feisal Salu ‘Fei Toto’ katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar. Nyota huyo ni ingizo jipya ndani ya kikosi hicho ambacho kilimsajili kutoka Rionegro…

Read More

Mhilu ana kitu anakitafuta huku

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba na Yanga, Yusuph Mhilu amesema kuamua kwake kucheza Ligi ya Championship kuna maana kubwa kwani anakwenda kupata changamoto mpya na kujifunza vitu vipya katika ligi hiyo, akiwa na Geita Gold aliyoshuka nayo daraja. Mhilu alisema hajawahi kucheza ligi hiyo, hivyo anajipanga kuhakikisha atakapoanza majukumu anafanya kazi ya kuisaidia timu hiyo…

Read More

Mingange atoa masharti Chama la Wana

BAADA ya kusini mkataba wa mwaka mmoja kufundisha Stand United ya Shinyanga kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship, Meja Mstaafu Abdul Mingange amesema uongozi, benchi la ufundi na kamati ya usajili wanapaswa kuzungumza lugha moja katika usajili wa timu hiyo ili kupata kikosi kitakachofanya vizuri. Mingange aliyeipandisha Mashujaa Ligi Kuu mwaka 2022, akitamba na…

Read More

Chuku ajifunga mwaka Tabora United

BAADA ya kuikosoa Ligi Kuu kwa msimu mmoja na nusu, beki Salum Chuku amerejea baada ya kusaini mwaka mmoja kuitumikia Tabora United huku akiwa tayari kwa vita ya namba dhidi ya mastaa wa nje kwenye timu hiyo. Chuku ambaye anacheza beki wa kushoto na winga, akitamba na Toto Africans, Mbeya Kwanza, Nkana Reds, KMC na…

Read More

N-Card bado kitendawili Zanzibar | Mwanaspoti

WAKATI homa ya pambano la nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Azam na Coastal Union likipamba moto, mashabiki wa soka visiwani Zanzibar bado wamekuwa na uelewa hasi juu ya matumizi ya kadi za kuingilia uwanjani N-Card. Timu hizo zinakutana kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni, kusaka tiketi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mtibwa Sugar kama wameamua hivi

TUNAJISAHAU na usajili unaofanywa na timu za Ligi Kuu Bara lakini huko katika Ligi ya Championship kuna watu wanajipanga hasa kuhakikisha wamo kwenye Ligi Kuu msimu ujao. Miongoni mwa timu za Championship zinazofanya usajili wa kibabe ni Wakata Miwa wa Mtibwa Sugar ambao msimu uliopita wa 2023/2024 waliaga Ligi Kuu baada ya kushika mkia katika…

Read More