JKU yawalainishia Waarabu CAF | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikipata mtelezo kutoka kwa Vital’O ya Burundi iliyoamua mechi za nyumbani ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2024-2025 kucheza Dar es Salaam, JKU ya Zanzibar nayo imewalainishia wapinzani wao Waarabu wa Misri, Pyramids. Ipo hivi. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na wawakilishi wa visiwa hivyo katika Ligi ya Mabingwa Afrika,…

Read More

Mashabiki Azam, Coastal mdogo mdogo

MASHABIKI mbalimbali wameendelea kujitokeza mdogo mdogo kwa ajili ya kununua tiketi za mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, kati ya Azam FC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar. Mwanaspoti ambalo limewe kambi visiwani hapa kwa ajili ya mchezo huo, limeshuhudia mashabiki wakiendelea kujitokeza…

Read More

Dabi yazitibulia Azam , Coastal Union Zenji

MASHABIKI mbalimbali wa soka visiwani Zanzibar, wamekuwa na mitazamo tofauti juu ya mchezo wa Azam na Coastal Union kuwekwa siku moja na Dabi ya Kariakoo ya watani wa jadi Yanga na Simba. Azam FC inakutana na Coastal Union katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii itakayopigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa New…

Read More

Rekodi dabi za Agosti | Mwanaspoti

MECHI ya lawama imefika. Ndio, watani wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga kesho Alhamisi watashuka uwanjani kumalizana katika pambano la Ngao ya Jamii, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam baada ya wikiendi iliyopita kutesti mitambo katika matamasha ya klabu hizo kongwe yaliyofana. Simba ilifanya tamasha la 16 la Simba Day Jumamosi…

Read More

Ngao ya Jamii 2024 wababe wanakutana

AZAM vs Coastal Union ni mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Ngao ya Jamii utakaochezwa leo Alhamisi kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni. Baada ya kuanza kwa mchezo huo, tutashuhudia Kariakoo Dabi itakayopigwa Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Yanga ikiikaribisha Simba kuanzia saa 1:00 usiku. Kumbuka Simba…

Read More