Uamuzi kesi ya Magoma, Yanga wakwama

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeshindwa kutoa uamuzi wa shauri la maombi ya marejeo ya uamuzi uliobatilisha Katiba ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports, maarufu Yanga ya mwaka 2011. Uamuzi huo ulipangwa kutolewa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu, Frank Kiswaga leo Jumatano,…

Read More

Uamuzi  sakata la uhalali wa katiba ya Yanga wakwama

Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dar es Salaam, Kisutu imeshindwa kutoa uamuzi wa shauri la maombi ya marejeo ya uamuzi uliobatilisha Katiba ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports,  maarufu kama Yanga, ya mwaka 2011. Uamuzi huo ulipangwa kutolewa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu, Frank Kiswaga leo Jumatano, Agosti 7,…

Read More

Ngao ya jamii 2024, huku moto kule balaa

COASTAL Union itakuwa timu mwenyeji kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni. Timu hiyo iliyo chini ya kocha David Ouma inatarajia kushuka kwenye dimba hilo ikiwa na kumbukum-bu mbaya ya kupata kichapo cha mabao 3-0 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jijini…

Read More

Mkongomani atua Coastal Union | Mwanaspoti

KLABU ya Coastal Union imekamilisha uhamisho wa beki wa kushoto raia wa Congo, Hernest Briyock Malonga kutokea Singida Black Stars kwa mkopo wa mwaka mmoja. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Coastal Union, Abbas Elsabri amethibitisha timu hiyo kukamilisha uhamisho wa beki huyo, huku akiweka wazi ni mikakati kabambe ya msimu ujao. “Msimu…

Read More

Dili la Mpole lakwamia hapa

KILICHOTOKEA kwa mshambuliaji George Mpole, kutojiunga na timu mojawapo alizokuwa anahusishwa nazo,  Kaizer Chiefs, Richards Bay zote za Afrika Kusini na Yanga ya Tanzania ni kuchelewa kupata barua, kutoka FC Lupopo. Mpole alijiunga na FC Lupopo, baada ya kufanya vizuri akiwa na Geita Gold, alipoibuka mfungaji bora wa mabao 17  msimu 2021/22, hivyo hakutaka kusalia…

Read More

Benchikha aivulia kofia Simba mpya “itafanya maajabu”

ALIYEKUWA Kocha wa Simba msimu uliopita, Mualgeria Abdelhak Benchikha amekifuatilia kikosi kipya cha timu hiyo ya Msimbazi kisha kutoa neno, akiitabiria kufanya maajabu msimu wa 2024-2025. Kocha huyo mwenye misimamo na maamuzi magumu alijiunga na Simba, Novemba mwaka jana kabla ya kuachia ngazi  Aprili 2024 mwaka huu mara baada ya Dabi ya Kariakoo iliyoisha kwa…

Read More

Onana kukipiga Ligi daraja la kwanza Qatar

WINGA wa Simba, Willy Onana licha ya kulamba mkwanja mrefu akijiunga na Muaither SC ya Qatar msimu ujao, atacheza Ligi Daraja la Kwanza baada ya timu hiyo kushuka daraja. Inaelezwa kuwa, Onana ameuzwa na Simba kwa dau la Dola 100,000 (zaidi ya Sh 250 Milioni), huku yeye akilamba Dola 150,000 (zaidi ya Sh 300 milioni)…

Read More

Aliyemzushia kifo binti aliyebakwa adakwa

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji Amos Lutakulemberwa Lwizamiaka 54 mkazi wa Tegeta Wazo Kinondoni kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuwa binti anayedaiwa kubakwa na kulawitiwa na vijana wanadaiwa kutumwa na afande, amefariki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo…

Read More

Vital’O yapania kuiondosha Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika

MABINGWA wa Ligi Kuu Burundi msimu uliopita Vital’O wamepania kuwaondosha Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika mapema pale timu hizo mbili zitakapokutana katika hatua ya awali ya michuano hiyo. Vital’O na Yanga zitakutana katika mchezo wa kwanza Agosti 17 mwaka huu kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam ambapo wakali hao wa Burundi watakuwa…

Read More