JIWE LA SIKU: Ishu ya Kibu, Mnunka ni yale yale

BAADA ya sekeseke la Kiungo mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis na klabu yake kumalizika kwenye tamasha la Simba Day, kuna sinema nyingine imeubuka kwa Wekundu wa Msimbazi, lakini safari hii ni kwenye timu ya wanawake, Simba Queens. Suala la Kibu lilivyoanza, alisaini mkataba mpya na Simba, Juni mwaka huu uliokuwa na hekaheka nyingi akitaka mkwanja…

Read More

Kocha: Kichapo cha Pazi hakikuwa rahisi

BAADA ya Mchenga Star kuifunga Pazi kwa pointi 65-62 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam, kocha wa timu hiyo, Mohamed Yusuph  amesema haikuwa raisi kwa timu yake kuishinda timu hiyo. Yusuph ameliambia Mwanaspoti kuwa Pazi ilionyesha kiwango bora  katika robo zote nne. Alisema ushindi walioupata katika mchezo huo ulitokana na…

Read More

Susu: Mashabiki wa Simba sio bahili

Mwanadada shabiki wa mpira na mwanamitindo, Subira Wahure maarufu kama Susu Kollexion, ambaye mara nyingi huwa anawashangaza watu baada ya kuonekana akiwa amevalia jezi za Simba na Yanga, amesema anaamini kwamba mashabiki wa  Jangwani ni bahili kuliko wale wa Msimbazi. Susu ameweka wazi kuwa hana timu ingawa alishiriki matukio yote ya siku za klabu hizo…

Read More

Dar City balaa, inatupia tu BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) upandae wa wanaume ikiendelea, imeonyesha timu ya Dar City inaongoza kwa kufunga ponti 1786. Pointi hizo zimepatikana kutokana na michezo 21 iliyochezwa ikifuatiwa DB Oratory iliyofunga 1387, Vijana ‘City Bulls’ (1372), Savio  (1357), Mchenga Star (1343), UDSM Outsiders (1231), Srelio (1231) na Pazi (1205). Zingine…

Read More

Eagles wajipange upya Mwanza | Mwanaspoti

MABINGWA watetezi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza (Marba), Eagles imeanza vibaya katika kampeni ya kutetea ubingwa baada ya kufungwa na Profile kwa pointi 81-72. Mchezo huo uliokuwa wa ufunguzi ulichezwa katika Uwanja wa Mirongo uliopo mjini humo Akizungumzia mchezo huo na Mwanasposti, kocha wa kikapu, Benson Nyasebwa alisema  timu nane ndizo zitakazoshiriki michuano…

Read More

Aragija kuziamua Azam, Coastal, Sasii atajwa Simba, Yanga

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imemtangaza Ahmed Aragija kutoka Manyara kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ngao ya Jamii utakaozikutanisha Azam FC na Coastal Union utakaopigwa, keshokutwa, Alhamisi. Wakati huohuo chanzo cha kuaminika kimeiambia Mwanaspoti kuwa licha ya waamuzi watakaochezesha mechi kati ya Simba na Yanga kutowekwa wazi, lakini Elly Sasii ndiye atakuwa…

Read More