Kibu Denis aandaliwa programu maalum Simba SC

Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amesema kuwa mshambuliaji Kibu Denis bado hajafikia katika ubora anaouhitaji hivyo amemuandalia programu maalum ya mazoezi. Davids amefunguka hayo siku chache baada ya kumchezesha mchezaji huyo dakika chache kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya APR timu hiyo ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0. Alisema Kibu ni mchezaji…

Read More

Kazi, mapenzi katika safari ndefu ya Rihanna na Drake

Mwaka 2005, Toronto, Canada wakati Drake, 37, akifanya kazi ya kucheza muziki wa asili katika moja ya migahawa ya jiji hilo la nyumbani kwao, anatambulishwa kwa Rihanna, 36, mwanamuziki wa Pop aliyeanza kutikisa dunia. Rihanna alivutiwa na kijana huyo na kusema kweli mambo yalienda kasi, haikuchukua muda Drake akaonekana katika video ya wimbo wa Rihanna,…

Read More

CHINO: Glovu za pilipili zilivunja pambano

WANASEMA kichaa anachekesha akiwa hatoki kwako. Usemi huu umemkumba mmoja wa mabondia wakali wa ngumi za kulipwa, Said Mohamad ‘Said Chino’. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu baada ya kupoteza pambano la mwisho dhidi ya Ibrahim Class wapinzani wake walimbeza kwa kuchukua vipande vya video vya pambano lake hilo kwamba alipigwa kama begi la mazoezi…

Read More

Watano wahofiwa kufa maji wakitoka ‘Siku ya Mwananchi’

Buchosa.Watu watano wamehofiwa kufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafirua  kuzama ndani ya ziwa Victoria walikuwa wakitoka kisiwa cha Yozu kilichopo Kata ya Bulyaheke Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza walipokwenda kwenye kilele cha Yanga day. Mkuu wa wilaya ya Sengerema Senyi Ngaga amethibitisha kutokea kwa tukio ambalo limetokea usiku Agost 5 ,2024   majira ya…

Read More

Timu za Ligi Kuu Bara kutumia viwanja vya Zanzibar

Mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Almas Kasongo amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi 2024/25 ni ruksa kwa timu ya Ligi Kuu Bara kutumia viwanja vya Zanzibar. Kasongo ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari waliohudhuria semina inayoendeshwa na bodi hiyo. Kasongo amesema katika kanuni iliyofanyiwa mmaboresho kuelekea msimu mpya ni…

Read More

Pacome: Nyie subirini | Mwanaspoti

KUELEKEA katika mechi ya dabi itakayochezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa, kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua amefunguka kuhusu mwanzo wake mpya. Kupitia Mwanaspoti iliwahi kuwatarifu mashabiki kuwa, kocha wa kikosi hicho, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa katika mechi hiyo hataangalia majina makubwa ya wachezaji, lakini ubora wa wachezaji. Akizungumza na Mwanaspoti, staa huyo wa kimataifa…

Read More

Yatakayotokea Ngao ya Jamii hamtaamini, ishu hii hapa…

Simba wameweka kitu na Yanga wakaweka kitu. Simba Day na Wiki ya Mwananchi zimepita. Kila shabiki sasa ni mchambuzi wa soka mitaani kutokana na kile alichokiona Kwa Mkapa. Lakini kiufundi kwa jinsi vikosi vilivyooneka wikiendi katika matamasha hayo, mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Agosti 8 huenda ukawa na sapraizi nyingi. Miguel Gamondi…

Read More