Fadlu aandaa Sapraizi Simba | Mwanaspoti

WAKATI joto la dabi ya Kariakoo likiendelea kupanda, kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davies ameandaa sapraizi katika kikosi chake kabla ya kuivaa Yanga Alhamisi, Agosti 8, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mwanaspoti linajua baada ya Simba kumaliza tamasha la Simba Day lililofanyika Jumamosi iliyopita kocha huyo alitoa mapumziko kwa kikosi hicho huku akiwasihi wachezaji kuangalia…

Read More

Kwenye Ngao ya Jamii sapraizi inakuja, mtego uko hapa

SIMBA wameweka kitu na Yanga wakaweka kitu. Simba Day na Wiki ya Mwananchi zimepita. Kila shabiki sasa ni mchambuzi wa soka mitaani kutokana na kile alichokiona Kwa Mkapa. Lakini kiufundi kwa jinsi vikosi vilivyooneka wikiendi katika matamasha hayo, mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Agosti 8 huenda ukawa na sapraizi nyingi. Miguel Gamondi…

Read More

Straika wa Mali atua Coastal Union

DAUDI ELIBAHATI: TIMU ya Coastal Union imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji raia wa Mali, Amara Bagayoko kutoka Klabu ya ASKO de Kara ya Togo. Mshambuliaji huyo msimu uliopita akiwa na ASKO de Kara, Bagayoko alikuwa mfungaji bora wa Ligi ya Togo baada ya kufunga jumla ya mabao 19, huku akichezea timu mbalimbali za FC Nouadhibou ya…

Read More

Simba mpya yamshtua Gamondi, afunguka haya

SIMBA mpya ya msimu ujao wa 2024-2025 imeonekana kumshtua Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi baada ya kutamka kwamba wapinzani wake hao wamefanya usajili mzuri na kutengeneza timu nzuri tofauti na ile iliyopita, hivyo amewaambia mastaa wake kuna kitu cha kufanya. Gamondi ametoa kauli hiyo baada ya kuishuhudia Simba Jumamosi iliyopita ikishinda mabao 2-0 dhidi…

Read More

Edgar apewa mmoja Fountain Gate

ALIYEKUWA mshambuliaji wa KenGold, Edgar William amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Fountain Gate kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo ambaye ni mfungaji bora wa Ligi ya Championship msimu uliopita akifunga mabao 21, amekamilisha dili hilo baada ya awali kukwama kujiunga na kikosi cha Singida Black Stars kilichomuhitaji ili akakichezee kwa msimu ujao. Akizungumza na…

Read More

Clara Luvanga akitamani kiatu Saudia

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga amesema anatamani kuchukua Tuzo ya Kiatu cha Ufungaji Bora msimu huu wa Ligi Kuu Soka Wanawake nchini humo. Msimu uliopita straika huyo alimaliza na mabao 11 akiwa kwenye nne bora za wafungaji nyuma ya Ibtissam Jraidi wa Al Ahli aliyefunga mabao 17…

Read More

Namna mastaa hawa wanavyoibeba Simba Dk 90

Simba imefanya yao kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika tamasha la Simba Day lililoenda kwa jina la Ubaya Ubwela lililofanika Jumamosi na wana Msimbazi wakapata burudani ya aina yake, huku wakishuhudia soka tamu kwa dakika 90 kutoka kwa kikosi hicho kinachojitafuta kwa sasa baada ya misimu mitatu mibovu. Ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR…

Read More