Kazi inaendelea viwanja vya Leisure Lodge

AKIWA na matumaini makubwa ya kufanya vizuri, mchezaji Vicky Elias anaiongoza timu ya Watanzania kushinda mashindano ya mfululizo wa viwanja vitano ya Coastal Open ambayo yanaanza asubuhi hii katika viwanja vya Leisure Lodge, Mombasa, Kenya. Elias ambaye anatoka klabu ya TPDF Lugalo  ya jijini Dar es Salaam, ameiambia Mwanaspoti  kutoka Mombasa kwamba yete na wenzake…

Read More

City inahitaji pointi za mapema Championship

WAKATI Mbeya City ikianza kambi yake kwa ajili ya msimu ujao, uongozi umeeleza muelekeo wa timu hiyo ukisisitiza utajipanga ndani na nje ya uwanja kukusanya pointi za mapema. Timu hiyo inajiandaa na Championship kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kushuka daraja 2022/23 na imeanza kambi yake huko Isyesye jijini humo kujiandaa na msimu mpya…

Read More

Mabosi wapya Iringa wamepania sana

UONGOZI mpya wa Chama cha Soka la Wanawake Mkoa wa Iringa umesema baada ya kukamilika kwa uchaguzi, shughuli iliyobaki ni kupiga kazi kuhakikisha mpira unachezwa wilaya zote. Uchaguzi wa chama hicho ulifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na kuwapata viongozi wake watakaokiongoza kwa miaka minne ijayo huku matarajio ya wengi ikiwa ni kuona mabadiliko. Waliochaguliwa ni…

Read More

Wamehama kambi | Mwanaspoti

WAPO wanaosema ni kabila tu mtu ndio hawezi kuhama, lakini imani ya dini watu wanahama. Wapo wanaohama vyama vya kisiasa na hata kwa ishu ya uraia wapo wanaohama na maisha yakaendelea freshi tu na huko katika ushabiki wa soka mambo nako ni moto, ingawa hutokea kwa nadra sana. Ndio, kutokana na mchezo maarufu wa soka,…

Read More

SIO ZENGWE: Simba ijiepushe na laana ya Manula

WAKATI ule wa usajili wa kutotumia mikataba, ilikuwa rahisi kwa klabu kutomwambia lolote mchezaji hadi siku ya mwisho ya usajili anapojikuta hayumo kwenye orodha ya klabu aliyokuwa anaichezea na kwa jumla hayumo kwenye usajili wa klabu yoyote hadi msimu mwingine. Wakati huo hakukuwa na dirisha la katikati ya msimu. Usajili ulikuwa mwanzoni mwa msimu pekee….

Read More

Ishu ya Manula yagawa Simba SC, mashabiki wafunguka

SIMBA juzi ilifanya utambulisho wa kikosi kipya cha msimu wa 2024-2025 kwenye kilele cha tamasha la Simba Day, lakini kuna kitu kilijitokeza na kuzua sintofahamu, baada ya kipa namba moja wa timu hiyo, Aishi Manula kutotambulishwa rasmi kama ilivyozoeleka na kutajwa baadaye sana baada ya zoezi la upigaji wa picha. Hata hivyo, Ofisa Habari wa…

Read More

Chippo anukia Tabora United | Mwanaspoti

UONGOZI wa Tabora United uko katika mazungumzo ya kumuajiri aliyekuwa kocha wa Pamba na Coastal Union, Yusuf Chippo ili akawe msaidizi wa kocha mkuu Mkenya, Francis Kimanzi, ambaye muda wowote atatangazwa kuiongoza timu hiyo kwa msimu ujao. Makocha hao ambao wote ni raia wa Kenya, wako katika hatua za mwisho za kukabidhiwa kikosi hicho ikiwa…

Read More

Mahakama Kuu yabatilisha uuzaji viwanja vya Hans Poppe

Tanga. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi Dar es Salaam, imebatilisha uuzaji wa viwanja viwili na vingine vilivyokuwa vinatakiwa kuuzwa, vilivyokuwa vinamilikiwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili na pia mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Soka ya Simba, Zacharia Hans Poppe, baada ya kubaini uuzaji huo ulikuwa batili. Mahakama imefikia uamuzi…

Read More