Kipa Simba ajipeleka Dodoma Jiji

BAADA ya Simba kutangaza rasmi kuachana na aliyekuwa kipa wa timu hiyo, Ally Salim inadaiwa Dodoma Jiji ilikuwa katika hatua ya mwisho ya kumbeba, japo JKT Tanzania nayo ilikuwa ikimpigia hesabu kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili usiku wa jana. Kipa huyo aliyekuwa akisubiri mbele ya Aisha Manula, kisha Moussa Camara msimu uliopita alikuwa…

Read More

Kelvin ana kibarua kizito Denmark

LICHA ya kuanza vizuri msimu akiwa na timu ya Aalborg BK inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Kelvin John ‘Mbappe’ amekiri ana kibarua kizito  katika kikosi hicho kwa vile ushindani ni mkubwa kwenye nafasi anayocheza. Kelvin amefunguka hayo wakati akizungumza na Mwanaspoti ambapo aliweka wazi kuwa eneo la ushambuliaji katika kikosi…

Read More

Mechi mbili za maamuzi CECAFA

MASHINDANO ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake yanaendele leo na timu mbili zitapigania nafasi ya nusu fainali, Rayon Sports ya Rwanda itakuwa kibaruani dhidi ya Top Girls ya Burundi, huku JKU ya Zanzibar ikiumana na Yei FC ya Sudan Kusini. Mashindano hayo yanayoendelea Nairobi Kenya, kwa siku 10, yanajumuisha timu tisa na…

Read More

Sapraizi Simba… Magori, Barbara waanzia hapa!

DIRISHA la usajili lilifungwa usiku wa jana, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kuwatema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama utani. Simba iliyotangaza sura za kazi kwa kuwarejesha vigogo wa maana katika safu ya uongozi ya Bodi ya Wakurugenzi akiwamo Barbara Gonzalez,…

Read More

Yanga kutumia Sh 33 Bilioni msimu ujao

YANGA imetangaza itatumia kiasi cha Sh 33 Bilioni kwa msimu ujao wa 2025-2026 kuhakikisha wanaendelea kutamba. Akitangaza bajeti hiyo Makamu wa Rais wa Yanga Arafat Haji amesema bajeti hiyo ni ongezeko la kama Sh 8 bilioni kulinganisha na bajeti ya Sh 25.3 Bilioni ya msimu uliopita. Arafat amesema katika bajeti ya msimu uliopita, Yanga ilibaki…

Read More

City FC Abuja mabingwa Tanzanite Pre-Season International

MASHINDANO ya Tanzanite Pre-Season International yamehitimishwa leo Septemba 7, 2025 kwa City FC Abuja kuwa mabingwa. City FC Abuja kutoka Nigeria, imetwaa ubingwa huo kufuatia ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Namungo ya Ruangwa mkoani Lindi. Katika mchezo huo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, dakika tisini zilimalizika kwa…

Read More

Kasi ya mikopo inapungua, sekta nyingine zinakua

Dar es Salaam. Wakati ukuaji wa mikopo kwa shughuli za kiuchumi ukiendelea kuwa chanya, takwimu mpya zinaonesha kasi yake inapungua, huku baadhi ya sekta zikionekana kupata mwendo wa kasi na nyingine zikibaki nyuma. Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa katika mwaka ulioishia, mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 15.9, ikipungua kutoka…

Read More

Makapu mzuka mwingi Mbuni FC

KIUNGO mkabaji wa zamani wa Yanga, Said Juma ‘Makapu’ ametua Mbuni FC kwa mkataba wa miezi sita, huku akisema anatarajio ya kufanya makubwa akiwa na timu hiyo kwa vile ameshaizoea Ligi ya Championship inayoshiriki timu hiyo. Kiungo huyo wa zamani wa timu ya taifa, Taifa Stars msimu uliopita aliichezea Geita Gold katika Ligi ya Championship…

Read More

APR, KMC zajiweka pazuri CECAFA Kagame Cup

MIAMBA ya soka la Rwanda, APR na vijana wa Kinondoni, KMC zimejiweka pazuri kutuinga nusu fainali kutokana na kushinda mechi mbili za kwanza za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Kagame 2025 inayoendelea jijini Dar es Salaam. Jana Jumamosi, KMC ilichomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bumamuru ya Burundi, likifungwa na…

Read More