Sowah atoa msimamo Simba, akimtaja Fadlu

JANA jioni Simba ilimtambulisha rasmi beki raia wa Guinea, Naby Camara, lakini mapema mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Jonathan Sowah ametoa msimamo mzito, huku akimtaja kocha Fadlu Davids. Sowah aliyesajiliwa na Simba hivi karibuni akitokea Singida Black Stars aliyoitumikia kuanzia Januari mwaka huu aliposajiliwa kupitia dirisha dogo ambapo katika mechi 15 za mashindano yote aliifungia…

Read More

Ecua, Conte wana jambo lao maalum Yanga

KLABU ya Yanga itaanza mbio za kufukuzia ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mwezi ujao kwa kupangwa kuumana na Wiliete Benguela ya Angola inayotumikiwa na nyota wa zamani wa mabingwa hao wa Tanzania Skudu Makudubela. Katika kuhakikisha kila kitu kinakaa sawa na kuvaana na kina Skudu, mabosi wa klabu hiyo chini ya kocha Romain Folz…

Read More

Zambia ndio basi tena CHAN 2024

ZAMBIA imekuwa timu ya tatu kuaga michuano ya CHAN 2024 baada ya jioni kupoteza mechi ya tatu ya Kundi A kwa kufungwa mabao 3-1 na Morocco. Ushindi huo wa Morocco umepatikana jijini Nairobi na kuifanya ifikishe pointi sita, huku Zambia ikiwa haina pointi yoyote. Zambia imezifuata Nigeria na Afrika ya Kati zilizoaga michuano kutoka Kundi…

Read More

Wanaotaka kumrithi Ndugai yumo Injinia Hersi

Dodoma. Baadhi ya majina ya wanachama 24 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu kuwania uteuzi wa kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa kufuatia kifo cha aliyekuwa hayati Job Ndugai, yameanza kufahamika, likiwamo la Rais wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said. Fomu za kuomba kugombea ubunge zilichukuliwa na kurudishwa juzi baada ya CCM kutangaza…

Read More

Ceasiaa Queens yabeba kiungo jeshini

BAADA ya kukamilisha usajili wa Wakenya wawili, Ceasiaa Queens inaendelea kushusha vifaa na safari hii imemalizana na kiungo mshambuliaji Halima Mwaigomole kutoka Mashujaa Queens. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya sita msimu uliopita katika mechi 18, ikishinda sita, sare tatu na kupoteza mechi tisa, ikifunga mabao 25 na kuruhusu 37, ikikusanya pointi 21. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Fei Toto kaamua vyema, anastahili pongezi

TETESI nyingi sana zilitolewa kuhusu kiungo wa soka, Feisal Salum Abdallah ambaye hapa kijiweni na maeneo mengi Tanzania tumezoea kumuita Fei Toto na kule Zanzibar wanamuita Failasufi. Kuna kipindi watoa tetesi walituaminisha dogo anaondoka pale kwa wauza aiskrimu na kurejea timu aliyoichezea kabla ya kutua Chamazi kwa maana ya Yanga na kila kitu kipo freshi…

Read More

Tumejiangusha, tumeiangusha nchi CHAN | Mwanaspoti

KWA sasa hapa kijiweni tunaona hadi aibu kuzungumzia fainali za CHAN 2024 maana Watanzania tumeamua kuiangusha nchi yetu kwa kutojitokeza viwanjani kutazama mechi. CAF walipotupa vituo viwili vya mashindano hayo kwa maana ya Dar es Salaam kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na New Amaan Complex kwa Zanzibar walikuwa na sababu moja ya msingi. Sababu hiyo…

Read More

Tanzania Prisons yaanza na mshambuliaji

BAADA ya uongozi wa maafande wa Tanzania Prisons kukamilisha dili la kocha, Mkenya Zedekiah ‘Zico’ Otieno, tayari harakati za usajili zimeanza na kwa sasa timu hiyo imeanza na mshambuliaji wa kati. Miongoni mwa mshambuliaji anayekaribia kujiunga na kikosi hicho ni Lucas Sendama ambaye msimu wa 2024-2025, aliichezea Stand United ‘Chama la Wana’, ambayo imempa mkataba…

Read More

Azam FC yasaka mrithi wa Mustafa

KUNA taarifa zimeelezwa Azam FC ina mpango wa kuachana na kipa wake Mohamed Mustafa aliyemaliza msimu uliyopita akiwa na cleansheets 10 na ipo katika mchakato wa kusaka mbadala wake. Kwa mara ya kwanza Mustafa alijiunga na Azam Februari 7, 2024 akitokea klabu ya El Mereikh ya Sudan, lakini baada ya kufanya mazoezi chini ya kocha…

Read More