Shughuli imekwisha, tukutane ‘Nane Nane’

UKISIKIA funga kazi, basi ilikuwa jana wakati Yanga ilipohitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, saa 24 tu tangu Simba kufanya tamasha la Simba Day na kutambilisha mashine mpya za msimu wa 2024-2025m, huku mashabiki wa timu hiyo baada ya kuona vikosi vyote kutamba wakisema ‘Tukutane Nane Nane’. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Alhamisi hii kwenye…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA MSIMU WA 2024/25 – MWANAHARAKATI MZALENDO

  𝗚𝗼𝗮𝗹𝗸𝗲𝗲𝗽𝗲𝗿𝘀 01. 🇲🇱 Djigui Diarra. 02. 🇹🇿 Khomeini Abubakar 03. 🇹🇿 Aboutwalb Mshery.     𝗗𝗲𝗳𝗲𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀 : 04. 🇨🇩 Chadrack Boka. 05. 🇹🇿 Kibwana Shomari. 06. 🇹🇿 Nickson Kibabage. 07. 🇨🇮 Kouassi Attohoula. 08. 🇹🇿 Ibrahim Bacca. 09. 🇹🇿 Bakari Mwamnyeto. 10. 🇹🇿 Dickson Job.     𝗠𝗶𝗱𝗳𝗶𝗲𝗹𝗱𝗲𝗿𝘀 : 11. 🇹🇿 Aziz Andambwile. 12. 🇰🇪…

Read More

Hamis Mabetto sasa ni Mwananchi

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga, Haji Manara ‘Bugatti’ amesema amemsilimisha rasmi Mwanamitindo maarufu nchini, Hamisa Mobetto kuwa shabiki wa timu hiyo ya Jangwani kutoka Msimbazi. Hatua hiyo imejiri wakati wa tamasha la kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ ambapo msanii huyo alivalishwa jezi ya Mwananchi na Stephane Aziz KI aliyeitwa jukwaani na Haji Manara. Katika tukio…

Read More

Rais Samia, Dk Mpango wasimamisha utambulisho 

WAKATI utambulisho wa wachezaji ukiendelea, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango wasitisha zoezi hilo na kuzungumza na wananchi. Hayo yalitokea baada ya tukio la utambusho kusitishwa na kumkaribisha Makamu wa Rais ili aweze kusema neno ambapo alimpigia simu Mh. Rais Samia ili aweze kutoa…

Read More

Singida yamkomalia Adebayor | Mwanaspoti

KAMA ulifikiria Singida Black Stars imekamilisha usajili, basi utakuwa unajidanganya kwani mabosi wa kikosi hicho kwa sasa wako mbioni kukamilisha uhamisho wa winga raia wa Niger, Victorien Adebayor kutoka AmaZulu FC ya Afrika Kusini. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zililiambia Mwanaspoti kuwa, ni kweli mabosi wa Singida wanapambana kwa ajili ya kukamilisha dili hilo…

Read More

Chama afunika Kwa Mkapa | Mwanaspoti

UTAMBULISHO wa mchezaji mpya wa Yanga, Clatous Chota Chama, umeibua shangwe la mashabiki wa timu hiyo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Chama amejiunga na Yanga msimu huu akitokea Simba aliyoitumikia kwa misimu sita tofauti tangu alipojiunga nayo Julai Mosi, 2018, akitoka Klabu ya Lusaka Dynamos ya kwao Zambia. Usajili wa nyota huyo ulizua gumzo nchini…

Read More